International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

https://youtu.be/q8uXdVufUEs?si=cgGrgR7FdEkqomkl Maskini Hamas! Mpaka wanatia huruma. Wale kati yao walio na akili watakuwa wanajutia sana uamuzi wao wa Oktoba 7, 2023. Msemaji wao aitwaye...
18 Reactions
69 Replies
2K Views
Magari aina ya Toyota Pick-Up ya Red-cross yaliyotolewa kwa ajili ya zoezi la ubadirishanaji Mateka na baada Magaidi wa Hamas kuyang’ang’ania na kuanza kuyatumia kwenye shughuli za kigaidi leo...
11 Reactions
101 Replies
5K Views
Mamia ya watu wameandamana Gaza katika maandamano makubwa zaidi ya kupinga Hamas tangu vita na Israel kuanza, wakidai kundi hilo liondoke madarakani. Wanaharakati waliosambaza video mitandaoni...
10 Reactions
91 Replies
4K Views
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amedai kwamba Vladimir Putin "atakufa hivi karibuni" huku tetesi zikienea kuhusu afya yake. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Paris baada ya mkutano...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Tofauti na baadhi ya watu walivyokuwa wakidai kwamba Russia walikuwa hawaathiriki na vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa na mataifa ya magharibi lakini sasa ukweli umedhihirika kwamba Russia...
3 Reactions
7 Replies
821 Views
Wadau hamjamboni nyote? Waziri wa Nishati, Eli Cohen, ameagiza Shirika la Umeme la Israel (IEC) kusitisha mara moja usambazaji wa umeme kwa Ukanda wa Gaza, katika kile kinachoonekana kuwa ni...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Sajenti wa IDF Yosef Haim Tzvi Serlin, mwenye umri wa miaka 19 kutoka Jerusalem, alianguka wakati wa mazoezi ya kivita na Kitengo cha 504 kaskazini mwa Israel siku ya...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Kulingana na shirika la habari la kipalestina la Wafa,maelfu ya watu yaliingia kwenye vichohcoro vya vifusi vya nyumba zao zilizovunjwa wakiimba kwa sauti huku wamebeba mabango wakisema hawataki...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Msemaji wa kundi la wanamgambo la Hamas Abdel-Latif Al-Qanoua ameuawa katika shambulio la anga la Israel kaskazini mwa Gaza. Taarifa hizo zimeripotiwa na vyombo vya habari vyenye mafungamano na...
3 Reactions
5 Replies
569 Views
Rais wa Namibia, makamu wa Rais na mawaziri wa wizara nyeti zikiwemo za fedha, mambo ya nje, mambo ya ndani, usalama na uhamiaji wote ni wanawake!
21 Reactions
107 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa za hivi punde za motomoto zinasema IDF wamefanya shambulizi kali la anga huko Syria Mlengwa hajajulikana bado ila naahidi kuwa nitawajuza nani kaliwa kichwa...
2 Reactions
2 Replies
440 Views
Wakristo 70 wamepatikana wakiwa wamekatwa vichwa katika kanisa moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika shambulio la hivi punde dhidi ya waumini kaskazini mashariki mwa nchi...
7 Reactions
190 Replies
7K Views
Miaka na miaka sekta ya afya Marekani imekuwa ikilalamikiwa sana kwamba ni ghali sana na inayonyima watu wengi fursa ya matibabu. Hivi karibuni mpaka CEO wa kampuni ya afya alilimwa risasi na...
1 Reactions
2 Replies
450 Views
Tangu China itoe pendekezo la “Ukanda Mmoja, Njia Moja”, nchi za Afrika zimekuwa washiriki muhimu. Kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita, kwa kufuata kanuni za kushauriana kwa pamoja, kujenga kwa...
0 Reactions
2 Replies
455 Views
President Trump on Tuesday signed a sweeping executive action to overhaul U.S. elections that would require documentary proof of citizenship to register to vote in federal elections and mandate...
0 Reactions
1 Replies
446 Views
Meli za kivita za Marekani zinazoongozwa na HSS Harry Truman zimepigwa na makobora kadhaa kutoka kwa wanamgambo wa Houth sambamba na kushambuliwa kwa maaeneo kadhaa ndani ya Israel ikiwemo...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Raia wa Gaza sasa akili zimerudi Waikataa Hamas lakini Hamas wamewamininia risasi waandamanaji. Trump alisema Hamas itaenda kuishi kuzimu, huenda maneno yake yanaenda kutimia. Viongozi wa Hamas...
5 Reactions
6 Replies
751 Views
Hati ya kurasa 281 iliyopatikana na gazeti la The Times inaonyesha mipango ya utawala wa Trump kuhusu maelfu ya miradi ya misaada ya kigeni. Utawala wa Trump unakusudia kusitisha msaada wa...
0 Reactions
1 Replies
472 Views
Emanuel Macron " Tunahitaji kuimarisha urafiki na ushirikiano wetu na Captain Ibrahim Traore wa Burkina Bee huku tukiendelea kumshawishi Ufaransa kujenga Kambi zetu za Kijeshi nchini kwake"...
17 Reactions
21 Replies
1K Views
Raia wa Gaza wamerudi kuwa wakimbizi tena baada ya kurudi Gaza. Na Hamas wanazidi kufyekwa kila siku. Siku zote wamama na watoto ndio wahanga wa vita. Ukisikiliza vilio vya wamama katika clip...
5 Reactions
13 Replies
922 Views
Back
Top Bottom