Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Kwa zaidi ya miaka 70 sasa Waisrael wamekuwa wakiwanyanyasa sana na kuwaua.
Huko Gaza na West Bank, Waisrael wanawaua kila siku.
Gaza huko Waisrael wanadhibiti karibu huduma zote za msingi.
Idadi ya vifo tokea tukio la Oktoba 7 litokee, idadi ya vifo vya Wapalestina inaongezeka kila siku huku idadi ya Waisrael waliokufa haijabadilika.
Kila nikiangalia taarifa za habari za Al Jazeera, nikiona vitoto vya Kipalestina vilivyokufa au vilivyoumia na kutapakaa damu mwili mzima, najawa na simanzi sana.
Nchi zote hizo za Kiislamu na/au Kiarabu zimeshindwa kabisa kuungana na kuwatetea wenzao.
Washirika wa Israel wenyewe hawasiti kumpiga tafu rafiki yao.
Sasa Waislam na Waarabu wanakwama wapi?
Hawana akili za kupambana na Wayahudi?
Kuna Irani, Misri, Saudia, Lebanon, Morocco, Tunisia, Falme za Kiarabu, Pakostani, na zinginezo nyingi tu.
Sasa nchi zote hizo zimeshindwa kweli kuungana na kuwasaidia Wapalestina kupigana na Israeli?
Njia pekee iliyopo kwa sasa ya kuleta amani ya kudumu kati ya Israeli na Palestina ni Israel naye kupigwa na kuumizwa kama yeye awaumizavyo Wapalestina.
Lakini kadri uwiano wa mapigo utavyokuwa umeelemea upande mmoja tu, Palestina ataendelea kuteseka sana.
Huko Gaza na West Bank, Waisrael wanawaua kila siku.
Gaza huko Waisrael wanadhibiti karibu huduma zote za msingi.
Idadi ya vifo tokea tukio la Oktoba 7 litokee, idadi ya vifo vya Wapalestina inaongezeka kila siku huku idadi ya Waisrael waliokufa haijabadilika.
Kila nikiangalia taarifa za habari za Al Jazeera, nikiona vitoto vya Kipalestina vilivyokufa au vilivyoumia na kutapakaa damu mwili mzima, najawa na simanzi sana.
Nchi zote hizo za Kiislamu na/au Kiarabu zimeshindwa kabisa kuungana na kuwatetea wenzao.
Washirika wa Israel wenyewe hawasiti kumpiga tafu rafiki yao.
Sasa Waislam na Waarabu wanakwama wapi?
Hawana akili za kupambana na Wayahudi?
Kuna Irani, Misri, Saudia, Lebanon, Morocco, Tunisia, Falme za Kiarabu, Pakostani, na zinginezo nyingi tu.
Sasa nchi zote hizo zimeshindwa kweli kuungana na kuwasaidia Wapalestina kupigana na Israeli?
Njia pekee iliyopo kwa sasa ya kuleta amani ya kudumu kati ya Israeli na Palestina ni Israel naye kupigwa na kuumizwa kama yeye awaumizavyo Wapalestina.
Lakini kadri uwiano wa mapigo utavyokuwa umeelemea upande mmoja tu, Palestina ataendelea kuteseka sana.