International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Trump ametoa kandarasi kqa kampuni ya boeng kutengeneza ndege za kizazi cha sita ambacho kitajulikana kama F-47
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Mamlaka ya Mapato Ghana (GRA) imeanza uchunguzi wa mtindo wa maisha wa bilionea Richard Amarh-Quaye baada ya kufanya sherehe ya kifahari ya kuzaliwa yenye iliyogharimu dola milioni 2, ikihusisha...
7 Reactions
55 Replies
4K Views
Habari za hivi punde ni kuuwawa kwa kiongozi wa mapambo wa jeshi la Rwanda nchi Congo. Majeshi ya Rwanda yapo nchini Congo yakisaidiana na majeshi ya M23. Mara kadhaa Paul Kagame amekuwa...
44 Reactions
197 Replies
13K Views
Usiku wa kuamkia leo,2:30, houthi walifyatua makombora ya balistiki na cruise kuelekea israel na kudai kupiga shabaha, kiongozi wao saree alitoa taarifa hiyo Upande mwingine israel imedai...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiwaza, makampuni ya kupima viwanja yanavyoongezeka na upanuzi wa viwanja kwenye Majiji, miji, halmashauri, vijiji na vitongoji. Bahati mbaya sioni juhudi za kuwaza juu ya maeneo ya...
5 Reactions
9 Replies
754 Views
Jeshi la Yemen (Yemen armed forces) limetoa matangazo na vipeperushi kwa Wakazi wa mji wa Tel Aviv kuondoka haraka katika mji huo kwakua siyo salama tena. Hii inafuatia mashambulizi ya makombora...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Brigedia Jenerali Hamdan Naji Saleh al-Jabali, afisa mwingine mkuu katika shirika la kigaidi la Houthi la Yemen aliuawa. Houth waanza kuonja joto la jiwe!!
17 Reactions
30 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kazi ya kuua Viongozi wa magaidi ya Hamas imeanza upya huko Mashariki ya kati kwa vifo vya makamanda 2 waandamizi IDF na Shin Bet wametangaza kuwa maafisa wawili...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Vurugu imezuka kati ya polisi na waandamanaji nje ya Bunge la Israel baada ya waandamanaji kuzuia lango kuu la Bunge. Tukio hilo lilitokea kabla ya wabunge wa Knesset kupiga kura kuhusu bajeti...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Kijana mdogo amekwenda na maji majuzi, Magaidi yanalia, Yatanyamaza yatasahau kisha yataendelea tena kulipua Sijaona watu wenye "chicken brain" kama magsidi. Good Job IDF
2 Reactions
5 Replies
627 Views
Waziri mkuu wa Lebanon ambaye anaiunga mkono Hizbullah ameonya juu ya kuzuka kwa vita upya baada ya jeshi la Israel kushambulia maeneo kadhaa ya nchi hiyo na kusababisho vifo visivyopungua 7...
3 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari za karibuni kabisa zinasema uwanja mkuu wa ndege wa Israel wa Ben Gurion umepokea makombora kadhaa kutokea upande wa Gaza ikidhaniwa ni Hamas ndio walioyarusha. Hapo juzi na mapema leo...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
20 March 2025 Kigali, Rwanda Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Uganda (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amewasili Kigali, Rwanda. Picha : Muhoozi Jenerali Kainerugaba alipowasili...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Raia wa Marekani wamepigwa na butwaa baada ya mwandishi wa gazeti la Atlantic ambaye ni mhariri kudai aliungwa kimakosa na waziri wa Ulinzi wa US katika group la WhatsApp lilikouwa likijadili...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema kwamba rasmi wa Hamas aliyekuwa akilengwa, Ismail Barhoum, alikuwa waziri mkuu mpya wa Gaza. Katz alithibitisha kuwa Jeshi...
6 Reactions
66 Replies
4K Views
Mkurugenzi Mtendaji Samsung Electronics Han Jong-Hee aAmefariki kutokana na mshtuko wa moyo siku ya Jumanne,hiini kulingana na msemaji wa kampuni kubwa ya teknolojia ya Korea Kusini. Han...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Ofisi ya Rais inasema Rais Joao Lourenco anataka kuangazia kazi yake kama mwenyekiti wa Umoja wa Afrika KIGALI, Rwanda Angola imejiyoa jukumu lake kama mpatanishi mkuu wa Umoja wa Afrika kati ya...
2 Reactions
8 Replies
692 Views
Nchi za kusini mwa jangwa la Sahar mpaka sasa ndio zimebaki chini ya ukoloni mamboleo na hawajaonesha dhamira ya kuachana na ukoloni huo. Eneo hilo lenye utajiri mkubwa unaokodolewa macho na...
8 Reactions
12 Replies
849 Views
Profesa Luciano Zaccara wa chuo kikuu huko Qattar amesema kuvukwa kwa mstari mwekundu na Israel huko Gaza hakuna athari yoyote. Matamko yote yaliyotolewa na umoja wa mataifa na jumuiya kadhaa...
3 Reactions
16 Replies
845 Views
1. UTANGULIZI Sheria za vita, zinazojulikana kama International Humanitarian Law (IHL), ni kanuni zinazodhibiti mwenendo wa vita na migogoro ya silaha ili kulinda raia na wahanga wa vita. Sheria...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom