Jumuiya ya SADC inafanya maamuzi kiwepesi na kutekeleza maazimio yake ya kuilinda Congo DRC kwa mtindo wa kizimamoto.
Mwezi Mei 2023,SADC ilipitisha azimio la kupeleka jeshi lake Congo...
Washington DC
Katika tukio linalotikisa anga za kisiasa na kijeshi za Marekani, uvujaji wa mazungumzo ya siri ya maafisa waandamizi umefichua mjadala wa kina kuhusu mipango ya mashambulizi dhidi...
Eti wakuu, kuna watu huku jukwaani kutwa wanasema ya kuwa Marekani yupo after interest wakimaanisha ya kuwa Marekani huwa anapeleka askari wake sehemu yenye maslahi makubwa kama madini na Mafuta...
This is too funny!
Kungekuwa hakuna video mtu anaweza kubisha na kusema huo ni utani.
Ila, huo si utani. Ni kweli kabisa.
Jana Rais Trump kawafuturisha wafuasi wa mtume Mohamed 😂...
Leo tena maroketi kadhaa yameruswa uwelekeo wa kaskazini ya Israel na kumfanya waziri wa ulinzi wa Israel atoe onyo na vitisho kwa serikali ya Lebanon.
Kuonesha ya kuwa maroketi hayo baadhi...
Huko Marekani kama wewe ni mgeni ukiunga mkono Hamas au Wapalestina hadharani dola inakutia nyavuni na kukurudisha kwenu.
Kuna video mojawapo ya ikimuoneysha mwanafunzi aliyejulikana kwa jina la...
Eti wadau, inasemekana Tanzania iliingia katika mfumo wa vyama vingi kutokana na pressure ya world bank pamoja na IMF ili iweze kupata mikopo ya kujikwamua kiuchumi baada ya ule mdororo uliotokana...
Kufuatia kuenea kwa matangazo kwamba wananchi wa Gaza waandamana kuwapinga Hamas,wapiganaji wa makundi mchanganyiko huko Gaza wamesema wataanza kuwatafuta mapandikizi ambao wanafanya kazi za...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo
Kituo kilichotumika kuhifadhi ndege hizo ni mali ya vikosi vya anga vya Hezbollah, vinavyojulikana kama Kitengo cha 127, jeshi...
IDF: Tulishambulia kituo cha kuhifadhi ndege zisizo na rubani mali ya shirika la kigaidi la Hezbollah huko Dahiyya, Beirut.
Hivi majuzi IDF ilishambulia miundombinu katika kitongoji cha Hadahiya...
Wadau hamjamboni nyote
Iran imeamua kujipanga mapema kiusalama kwa kujenga ukuta.
Imepakana na nchi 7 za Afghanistan, Pakistan, Uturuki, Armenia, Azerbaijan and Turkmenistan na Iraq
Ukweli...
Haya mambo yaliyosahaulika kwa muda mrefu ya kutanua himaya za nchi kwa kuchukua maeneo ya nchi nyingine sasa yanashika kasi na yanazidi kuwa ya kawaida, inabidi na sisi tuangalie mmojawapo kati...
Zaidi ya watu 700 wameuawa nchini Myanmar na maelfu ya wengine kujeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 ambalo lilisikika pia katika nchi jirani.
Wengi wa walioaga dunia wako...
Jumuiya ya wanahabari barani Afrika inaomboleza kuondokewa na sauti mashuhuri, Shaka Ssali, aliyekuwa mtangazaji wa kipindi maarufu cha Straight Talk Africa kinachorushwa na Voice of America...
Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
Leo tena, kombora lingine limerushwa Israel kutoka Lebanon. Israel wamezoea ving'ora vya roketi na milipuko wakati Iron-Dome ikipopoa makombola kama vile sisi tulivyozoea kunywa kahawa au chai...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
===
Brigedia Jenerali Effie Defrin amepewa rasmi majukumu ya msemaji mpya wa Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF), akichukua nafasi...
Wadau hamjamboni nyote?
Hayo ni maandiko huwezi shindana nayo vinginevyo utakufuru
Mungu alinena na hata sasa ananena Taifa takatifu
Mungu ibariki Israel
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu...
Ni miezi miwili sasa tangu pale Jiji la Goma lianguke mikononi mwa kundi la waasi la AFC/M23. Tangu wakati huo, benki zote za biashara zimefungwa kwa maagizo ya mamlaka mjini Kinshasa. Kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.