Clayton Paul
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 2,250
- 4,773
" Tunahitaji kuimarisha urafiki na ushirikiano wetu na Captain Ibrahim Traore wa Burkina Bee huku tukiendelea kumshawishi Ufaransa kujenga Kambi zetu za Kijeshi nchini kwake"
Ibrahim Traore
" Umekuwa na marafiki wengi Ulaya Kama Canada,USA, Ujerumani, Uingereza tuoneshe ni wapi katika nchi hizo ulijenga Kambi zenu ? "
Mtu anaekusema wewe ni maskini ila ukimfukuza hataki kuondoka huyo ndio maskini ?