Houth wamebadili mtindo wa urushaji wa makombora yao kuishambulia Israel.Tofauti na zamani wapiganaji hao kutoka Yemen wameongeza kasi ya kusihambulia Israel hasa uwanja wa Ndege wa Ben Gurion...
Serikali ya Marekani imekifungia Chuo Kikuu cha Harvard kudahili wanafunzi wa kimataifa, na kuamuru wanafunzi wa kigeni waliopo wahamie vyuo vingine au wapoteze sifa ya kisheria ya kuishi nchini...
Vikwazo vinaathiri Urusi kwa njia mbalimbali, hasa katika nyanja za kiuchumi, kiteknolojia, kifedha, na kisiasa. Hapa ni baadhi ya athari kuu:
1. Athari za Kiuchumi
Kuporomoka kwa thamani ya...
Uingereza kusitisha mazungumzo ya biashara huria na Israel; Wizara ya Mambo ya Nje yasema hatua hiyo 'haitaizuia' Israel katika 'pambano lake na Magaidi'
Kufuatia tangazo la Waziri wa Mambo ya...
Hii ni moja ya maajabu ya dunia ukitazama hii ramani.
Waarabu wote hao kushindwa kuwalinda ndugu zao hapo Gaza dhidi ya Israel ni jambo la kushangaza sana.
Hawa wajinga wana umoja wao wa nchi za...
Hahahaaa.
Niliposikia anaenda kuonana na Trump ikulu ya Marekani, nikasema huyo anaenda kufanya nini huko?
Hakuona jinsi vile Zelenskyy alivyofanyiwa.
Haya, leo naye yamemkuta kiaina 🤣...
Swali zuri sana. Ingawa China ni mshirika mkubwa wa kibiashara wa Urusi, hawezi kusemwa kuwa ni mshirika bora kabisa kwa sababu ya changamoto zifuatazo:
1. Uhusiano Usio wa Usawa
China ina nguvu...
My Take
Naendelea kuwakumbusha nyumbu na wale kenge kwenye msafara wa mamba kwamba Serikali ya Zambia chini ya Hichilema walikuwa Wapinzani kama Lisu/Chadomo na hao hao ndio walisema wao...
When the team from Amani Girls Organization arrived at Nyalwambu Primary School in Sengerema District, Mwanza Region in 2024, the scene was heartbreaking. Jen (pseudonym), a 15-year-old girl...
Nilishangaa sana kuona Trump anafanya rejea ya kinachojiri Africa Kusini kwa kutumia video clips za mitandaoni na nakala ya vijarida flani hivi.
Je Trump alipata taarifa rasmi za CIA au alipokea...
Qatar condemns killing of Israeli embassy staffers in Washington
Qatar Munafiq, mfadhri mkuu wa magaidi duniani ambaye pia ni ndumilakuwili chui mwenye ngozi ya kondoo, inalaani mauaji ya...
Aljazeera inajulikana kuwa ni Pro palestine inatunga uongo sana kusingizia israeli
Lakini wanakutana na spana sana kwenye platforms za social media zao
Aljazeera anajaribu kuionesha dunia kuwa...
Sasa ni rasmi na hiyo ndege itakuwa retrofitted kabla haijaanza kutumika kumsafirisha Rais.
Marekani imepokea ndege iliyokusudiwa kwa ajili ya msafara wa Air Force One kutoka Qatar — zawadi...
My Take
Halafu unakutana na kina Lissu na wengine wanadanganya watu kwamba eti Dhahabu, gesi nk zinatakiwa ziwe Mali zao binafsi wazitumie wanavyojiskia 😁😁😁
Mali yote ya Chini ya Ardhi ni Mali...
Leo, katikati ya mazungumzo ya nyuklia, Khamenei aliitishia Marekani kihalisi na kuahidi kulifuta Taifa la Israel - huku akiwatetea magaidi wa Hamas huko Gaza
Alisema "Utawala wa Kizayuni ambao...
MENU
Financial Times
Sign In
Artificial intelligenceAdd to myFT
Nvidia chief Jensen Huang condemns US chip curbs on China as ‘a failure’
World’s top AI semiconductor maker says export controls...
https://www.youtube.com/live/2qqTsst4p7A?si=-AST3P5ebKD9C8hX
Huyu dogo katika umri wake wa miaka 37 lakini ana ufahamu na uelewa wa hali ya juu sana..
Jamaa unaweza kudhani ni kama wanajeshi...
Video ya kusikitisha inayosambaa mtandaoni Nigeria inaonyesha Mvulana mdogo akiwa Madrasa kafungwa kwenye mti baada ya kupigwa viboko kwasababu ya kushindwa kuisoma Qur’an kwa sauti kwa lugha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.