Ulishawahi kuona nchi yoyote ya afrika imetuma waangalizi wa uchaguzi wakasimamie uchaguzi Ulaya na Marekani?
Je kuna jumuia au taasi ya aina yoyote iliyowahi kwenda kusimamia uchaguzi Ulaya na...
Donald Trump amefanikiwa rasmi kuwa Presumptive nominee wa urais wa Republican Party baada ya kufikisha idadi ya wawakilishi(delegates) 1238 ikiwa ni 2 zaidi ya delegates 1236 wanahitajika...
Jana meli ya wakimbizi ilizama katika pwani ya Libya, jeshi la majini la Italia limewaokoa watu 500. Watu 7 wamefariki, na idadi ya vifo huenda ikaongezeka.
===========================
At least...
Raisi wa ,,USA baby" Barack Obama amekumbana na kisiki kikubwa ktk kwa Wazungu wa nchi hiyo hasa Majimbo ya North Carolina, Alabama, Arizona, Georgia, Maine, Louisiana, Oklahoma, Texas, West...
Image copyrightGETTY
Image captionMaandamano ya Immortal Regiment yalifanyika tarehe 9 Mei
Msomi mbishani kutoka Urusi amependekeza mamilioni ya watu waliofariki wakati wa Vita Vikuu vya Pili vya...
Indonesia has toughened its punishments for child rapists to include the death penalty and chemical castration.
It follows outrage over several recent violent crimes, including the gang-rape and...
A Russian Sukhoi Superjet 100 (SSJ100) plane has been delivered to Irish CityJet airline, its first European customer, the United Aircraft Corporation said on Tuesday.
According to the...
Shirika la Taifa la Nishati ya Nyuklia la China limekubaliana na Sudan kuhusu mpango wao wa kuijengea nchi hiyo Kinu cha kwanza cha Nyuklia katika mkataba uliosainiwa Jumatatu kati ya nchi hizo...
Hata ningekua mimi, ukiona umezidiwa darasani, unadesa, unapiga chabo, na huo ndo ujanja.
Ukiweza kununua wataalamu wa mwenzako nunua,ukiweza kununua kifaa cha mwenzako kwa ajili ya kukopi na ku...
Makanisa ya Kiprotestanti maeneo ya kati nchini Ujerumani yatakuwa yakiwapa waumini fursa ya kuingia katika mtandao, kwa kuwawekea huduma ya wi-fi bila malipo.
Huduma hiyo itapatikana katika...
Peter Hitchens mwanahistoria, anaelezea vizuri sana uoga walio nayo Waingereza huko EU ndiyo maana wanataka kutoka baruti, karibia wanapiga kura ya maoni kama wawe EU au wachomoe, sasa kulingana...
David Cameron kiongozi wa taifa la Uingereza taifa lenye uchumi wa tano kwa ukubwa duniani amemnunulia mke wake gari iliyotumika (used) aina ya Nissan micro yenye dhamani ya dola 2000 kwa ajili ya...
PRESS RELEASE
On 19th May 2016, Miss Caroline Buisman, a Dutch lawyer who was on a trip to assist Rwanda’spolitical prisoner Mrs. Victoire Ingabire Umuhoza in a trial before the African Court on...
Rais wa Somalia ametaka kuwepo kwa njia mwafaka ya kuwarejesha nyumbani wakimbizi kutoka taifa lake,huku Kenya ikisisitiza kuwa itaendelea na mpango wake ya kuifunga kambi kubwa duniani.
Kambi ya...
APPLE will never be great as it once was after deviating from almost all JOB's ideas. The launch of iPhone 6s plus and introducing stylus was another step in the wrong direction. Apple continues...
Waandamanaji wanaompinga mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump wamekabiliana na polisi katika jimbo la New Mexico.
Walikuwa wakiandamana katika eneo ambapo Bw. Trump...
Ni vigumu kuamini kuwa kitu kama hiki kipo duniani lakini ndo ukweli wenyewe kuwa warusi si watu wa kawaida hata kidogo, muda mwingine unaweza ukasema awa jamaa ni wachawi maana vitu...
Mji mmoja katika jimbo la Rajasthan nchini India umevunja rekodi baada ya kusajili vipimo vya juu vya joto vya hadi 51 C,ikiwa ni vya juu tangu kuanzishwa kwa rekodi za viwango hivyo ,kulingana na...
Russia sends 2,400 tons of food to North Korea
By Elizabeth Shim
May 19, 2016 at 12:24 PM
SEOUL, May 19 (UPI) -- Russia has sent North Korea 2,400 tons of food aid at a time when the country...