International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Habari ndugu zangu waJF, Baada ya siku kadhaa kupita tangu litokee tukio la kuanguka ndege ya Egyptian Air May 19 2016, Taarifa nyingine iliyoripotiwa leo May 27 2016 inahusu ndege ya Korean...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Still thinking of going to France this weekend? Half the country's petrol stations have run dry, riots break out in Paris and human traffickers are waging war in Calais Up to half of the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The Mikoani Traders Ltd country manager for Rwanda, Mr Jerome Mpagaze, speaks to some of the participants in the Tanzania-Rwanda Trade Forum who toured Azania’s wheat mill in Kigali. PHOTO|SAMUEL...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Zimbabwean President Robert Mugabe has granted amnesty to all female prisoners except those on death row or serving life sentences, as prisons struggle to feed inmates due to lack of funding from...
0 Reactions
1 Replies
899 Views
Take a ride on Rwanda's smart bus - CNN Video
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Hilo bus la Uchina ni noma, litakuwa linapita juu ya magari mengine, yaani yenyewe (magari) yakiwa kwenye foleni lenyewe linapita tu juu! Maoni! Ni kama vile DART yetu tu sema sisi tumefanya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jaji nchini Uganda amewakuta na hatia ya ugaidi, mauaji na jaribio la mauaji watuhumiwa saba wa mashambulizi mawili ya mabomu wakati wa michuano ya kombe la Dunia ya mpira wa miguu mjini Kampala...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
May 9, 2016: North Korean leader Kim Jong Un listens during the party congress in Pyongyang, North Korea. (AP) Kim Jong Un may be pampered in North Korea, but the person who changed his diapers...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nchini Rwanda, mipira ya kondomu imeanza kutolewa bure katika baadhi ya mitaa jijini Kigali ambayo inaaminika kuwa imekithiri kwa ukahaba na kuwa na idadi kubwa ya walioambukia virusi vya Ukimwi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
The last ordinary HoS meeting of the East African community exposed several realities about the community. Well, matter of factly, the community is seen falling headlong. I have to state this as...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
An embrace for Hiroshima survivor... but no apology: Obama calls for a world without nuclear arms as he becomes the first serving US president to visit site of atomic bomb attack that killed...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndlozi Mbuyiseni
1 Reactions
0 Replies
636 Views
Kutoka Bungeni Afrika Kusini, Wabunge wa chama cha EFF wakifukuzwa Bungeni mnano mwezi Meyi 2016.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wizara ya mambo ya nje nchini India inasema imeitisha taarifa kutoka kwa maafisa wa jiji la Hyderabad baada ya mwanafunzi kutoka Nigeria kushambuliwa Jumatano. Mwanafunzi huyo alitibiwa...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Baadhi ya nchi za Mashariki ya kati weekend ni Ijumaa na Jumamosi, jumapili mpaka Alhamis ni siku za kazi ( mfano Jordan, Iraq)..... sijui kule Israel nako hali ikoje maana nataka kufika huko...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa yeye sio Mmarekani wala Muingereza wakati akiwahutubia karibu watu 50,000, wafuasi wake kwenye mkutano uliofanyika kwenye mji mkuu Harare kwa heshima...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Masunda Kitada Oliver alipigwa hadi kufariki na kundi moja la wanaume wa Kihindi Ijumaa iliopita baada ya majibizano mjini Delhi. Watu wawili wamekamatwa kufuatia kisa hicho Wanafunzi kutoka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais Mteule wa Ufilipino, Rodrigo Duterte aliyepewa jina la utani la ‘Digong’, anayejiandaa kuapishwa mapema mwezi ujao amegoma kuishi katika Ikulu ya nchi hiyo akidai kuwa kuna mizimu. Rais huyo...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Nchi ya Nigeria imekumbwa na uhaba mkubwa wa nyanya. Asilimia themanini ya mashamba ya nyanya katika maeneo ya kaskazini inasemekana yameharibiwa na watoto wanaokula kila kitu.Matokeo yake, bei ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kampuni ya Teksi za Uber imesema kuwa itaanzisha huduma zake katika miji ya Ghana,Tanzania na Uganda katika kipindi cha mwezi mmoja kulingana na chombo cha habari cha AFP.Uber tayari imeanzisha...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Back
Top Bottom