hii video imetajwa kuwa; Binti hakufulahishwa na baba yake kuzidiwa kwenye mdahalo
ingekuwa hapa kwetu sijui kama kuna chombo cha habari kingeruhusiwa kutoa tukio kama hilo
Jarida ya The people Magazine limeripoti kuwa mwaka 2005 binti huyo akiwa Mdogo alilazimishwa na Trump kumu piga kiss pasipo lithaa yake pia alimpush kwa nguvu kwenye ukuta na kusababisha ampige...
October 12, 2016
Unguja, Zanzibar
Speaker of the House of Representative Zanzibar, Hon. Zubeir Ali Maulid plead for more seats in the East African Legislative Assembly
Zanzibar demands for 9 seats...
Wakuu hii habari iliwahi kuletwa humu ndani lakini watu wengi tulidhani ni masihara. Sasa katika pitapita zangu kwenye page ya BBC swahili nimekutana nayo hii habari.
10 Oktoba 2016
Rais...
kituo kikubwa cha habari Kenya cha Citizen kimeripoti kupotea kwa Rais wa Malawi, Peter Mutharika ambae hajarudi nchini kwake tangu alivyoondoka kuelekea New York Marekani kwenye mkutani mkubwa wa...
Kampuni ya Samsung Electronics iko katika hatari ya kupata hasara ya jumla ya Bilioni 37 za Kitanzania kutokana na kuwataka watu waliokuwa wamenunua jumla ya simu 2.5 milioni mwezi Septemba...
Burundi ina mpango wa kujitoa ICC ikidai mahakama hiyo ni kandamizi na ni kwa ajili ya kuzionea nchi za Áfrika pekee, wakati huo huo mataifa makubwa yakiisii isijitoe.
Nini maoni yako na hii...
www.dailymail.co.uk/news/article-3828623/Dramatic-moment-class-rises-defend-elderly-teacher-aggressive-student-headphones-pulled-out.html
Watakuwa wa primary hawa.
Mtoto alikuwa kaweka ear...
FBI Reopened Hillary Email Case…CONFIRMS She Lied About…
This could be the nail in the coffin for Hillary Clinton.
Among the nuggets of information buried in the FBI case files about Clinton’s...
Mfalme wa Thailand Bhumibol Adulyadej, mfalme aliyetawala kwa muda mrefu zaidi duniani, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88, ikulu ya nchini hiyo imetangaza.
Alikuwa ametawala kwa miaka 70...
Serikali ya Rwanda imepiga marufuku uagizaji na usambazaji wa simu za kampuni ya Samsung aina ya Galaxy Note 7.
Hatua hiyo imechukuliwa siku chache baada ya kampuni hiyo ya Korea Kusini kutangaza...
Ndugu zangu ninavyoona mimi very soon United State of America itakuwa failed state na majimbo yote ya USA kutawanyika kama ilivyotawanyika majimbo ya USSR kwa sababu zifuatavyo:
1. Kushindwa...
Washington: Theodore McCarrick, served as Archbishop of Washington, D.C from 2001 to 2006, and was elevated to the cardinalate in 2001. In Catholic theology, to be a prophet, to earn that title...
National Security Agency whistleblower Edward Snowden, has made a new controversial claim, saying that he possessed some classified information proving that Osama Bin Laden is still alive...
Ni nuksi tu..! Kampuni ya vifaa vya electronic Samsung imejikuta pabaya tena.
Wiki chache tu baada ya kuagiza wateja wake warejeshe zaidi ya simu milioni moja mpya za Galaxy Note 7, kutokana na...
SIMON ALLISON
POLITICS
23 APR 2012 06:37 (SOUTH AFRICA)
France has never really let go of its African colonies, nor have those colonies ever really let go of France. It’s a tangled...
Kwanini natamani Trump ambwage Clinton?
MIEZI michache iliyopita tukiwa tunajitayarisha kushiriki katika kipindi cha “Maoni” cha Redio Ujerumani (DW) niliwaambia washiriki wenzangu kwamba...
Samsung imetoa wito kwa watu wenye simu aina ya Galaxy Note 7 kuzizima mara moja huku ikifanya uchunguzi kubaini ni kwa nini simu hizo, hata zile ambazo kampuni hiyo ilikuwa imethibitisha kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.