technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,680
- 58,677
Jarida ya The people Magazine limeripoti kuwa mwaka 2005 binti huyo akiwa Mdogo alilazimishwa na Trump kumu piga kiss pasipo lithaa yake pia alimpush kwa nguvu kwenye ukuta na kusababisha ampige denda bila ruhusa yake .
Physically Attacked by Donald Trump – a PEOPLE Writer’s Own Harrowing Story
My take : ikulu ni pagumu kweli mwaka huu?
Swali jingine hawa si ndio wanatuaminisha kwamba ni wataaramu wa vetting mbona wagombea wa mwaka huu kashifa zimekuwa kibao?
Habari hii imetangazwa pia na BBC
Physically Attacked by Donald Trump – a PEOPLE Writer’s Own Harrowing Story
My take : ikulu ni pagumu kweli mwaka huu?
Swali jingine hawa si ndio wanatuaminisha kwamba ni wataaramu wa vetting mbona wagombea wa mwaka huu kashifa zimekuwa kibao?
Habari hii imetangazwa pia na BBC