My favourite line quote Putin alipoongea na waandishi wa habari.
''But we know that technologies advance, we een know in which year the Americans will accomplish a new missile, which will be...
Kwangu mimi D.Trump ni bonge la Inspiration, sijawahi kuona mtu strong-willed kama D.Trump, ukichukulia yote yanayomkumba Trump ni binadamu wachache sana wanaoweza kuhimili hiyo Stress Test na...
By Clement Uwiringiyimana | KIGALI
Nearly 200 nations have agreed a legally binding deal to cut back on greenhouse gases used in refrigerators and air conditioners, a major move against climate...
Wakati Rais Barrack Obama alipochaguliwa kuwa kiongozi wa Marekani mwaka 2008 alikuja kauli Mbiu Change We Can Believe In. Rais Obama anaondoka madarakani akiacha dunia hii si salama na kama kuna...
Serikali ya Nigeria imetoa agizo kuwa wanawake wanaovaa suruali za kubana wachapwe viboko hadharani ili kufanya jamii iwe na adabu kabisa.
Je, unauonaje uamuzi huu?-Voice of Zigua
Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema kuwa watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kiislamu wamewaua wanajeshi 12 wakati wa shambulizi katika kuzuizi cha jeshi eneo la rasi ya Sinai.
Wanajeshi 8...
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amejibu onyo kutoka kwa mkewe ambaye alikuwa ametahadharisha kwamba hatamuunga mkono uchaguzi mkuu ujao iwapo hatafanya mabadiliko serikali.
Bi Aisha, kwenye...
Ni ajabu na kweli ati
Rais wa nchi anapotea vipi na kwa nini apotee? Au amejiteka mwenyewe? Maana toka atoke kwenye kikao marekani yapata mwezi sasa wamalawi hawamwoni rais wao
Mke wa Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari, ameonya kuwa huenda asimuunge mkono mumewe kwenye uchaguzi mkuu ujao iwapo kiongozi huyo hatafanya mabadiliko kwenye serikali yake.
Kwenye mahojiano na...
Barack Obama Rais wa marekani kupitia chama cha Democratic amesema Jana kuwa Trump ni mbaguzi wa hali ya juu na hawezi kuwa Rais wa taifa kubwa kama marekani .
Amesema video iliyovuja na...
Maafisa kumi waliokuwa wakihusika na ulipuaji wa bomu la nyuklia kwa amri ya rais wasaini barua ya kupinga Trump kukabidhiwa jukumu la ulipuaji wa nyuklia endapo atashinda na kuwa Rais wa...
Rwanda’s liberation struggle initiated by the Rwanda Patriotic Front (RPF) on October 1, 1990 was an occasion for a series of commitments of French alongside HABYARIMANA’s regime that they would...
News broke that some people in the ruling Democratic Progressive Party (DPP) plan to bump Vice President Saulos Chilima off so that a favourite of theirs can take over power in the event of...
Samuel Mugarula, Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda amevumbua njia ya kutengeneza mabomu ya kutoa machozi (Tear Gas) ambayo hutumika na vikosi vya polisi mara nyingi kuzima...
Je uamuzi uliochukuliwa na hilo shirika la Umoja wa Mataifa ni sawa?
The proposal "strongly condemns the Israeli escalating aggressions and illegal measures against the Waqf Department and its...
Fifa has agreed to study options for expanding the World Cup to 40 or 48 teams for 2026 in greater detail, says council member Michel D'Hooghe.
The proposals will be made at the football world...
Former South Sudan first vice president Riek Machar at a past event. AFP PHOTO
South Sudan rebel leader Riek Machar, a pariah for the West since his call last month for renewed civil war...
Simon Elliot (Elliot Shimon) aka Abu Bakr Al-Baghdadi was born of two Jewish parents and is a Mossad agent.
French Report ISIL(ISIS) Leader Al-Baghdadi Jewish Mossad Agent!
by Veterans Today...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.