1st Debate (FULL):
2nd Debate (LIVE):
UPDATE
Donald Trump vows to jail Hillary Clinton if he wins White House
A defiant Donald Trump on Sunday attacked former President Bill Clinton...
Kampuni ya Samsung imesitisha kabisa uzalishaji wa simu zake za Galaxy Note 7, imechukua hatua hiyo baada ya kubaini hata mpya zinazotengenezwa sasa kuna uwezekano mkubwa zikawa zinalipuka kama za...
Vikosi vya usalama nchini Myanmar vimesema kuwa watu 17 wameuawa wakiwemo polisi tisa, mauaji hayo yametokea katika kituo cha polisi huko katika mpaka wa nchi hiyo na Bagladesh
Afisa mmoja wa...
D.Trump!
Baada ya kuona kila wanaposhika na kupotosha ili kuzuia gharika la D.Trump ambaye ni kipenzi chetu wengi na cha Dunia kwa ujumla, maelite wa USA&Co. wameendeleza character assassination...
KILE KINACHOENDELEA BURUNDI JE KINASADIFU HISTORIA YAKE?
Makala yangu no 01. Juu ya ziara yangu East, Central & Great lake zone of Africa.
Na. Comred Mbwana Allyamtu.
Burundi ndio taifa lenye...
BANGO KUBWA LA PUTIN LAWEKWA NEW YORK
Polisi walifika na kuliondoa muda mfupi baada ya picha za bango hilo kuanza kusambazwa sana katika mitandao ya kijamii.
Bango kubwa lenye picha ya Rais...
Korea Kaskazini inadaiwa kutekeleza jaribio la tano na kubwa zaidi la kifaa cha nyuklia, maafisa wa jeshi la Korea Kusini wamesema.
Rais wa Korea Kusini Park Geun-hye ametaja jaribio hilo kuwa...
Antonio Guiterres (67) kutoka nchini Ureno kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Huyu jamaa naona kuwa anafaa sana wakati huu. Ataweza kuifanya UN kurudi kwenye mstari na kuwa visible tena...
Russia Confirms Arms Deal to Supply China With S-400 Air Defense Systems
10:23 13.04.2015 (updated 16:13 13.04.2015)
The system can engage up to 36 targets with 72 missiles simultaneously...
Mwanafunzi akimfuata mwalimu
Mwalimu mmoja nchini Russia aliokolewa na wanafunzi wake darasani baada ya kumzuia mwenzao asimshambulie mwalimu huyo mwenye makamo.
Tukio hilo lilitokea kwenye mji...
Baada ya kuongezeka presha ya kumtaka mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha republicans kujiondoa kwenye kinyang'anyiro ikiwemo watu maarufu ndani ya chama chake na vyombo vya habari, Donald Trump...
Kwa mujibu wa kituo cha tv NTV Kenya gwiji la R&B atalipwa jumla ya ksh 90,000,000 dakika 90 atakazo tumbuiza mashabiki Mombasa.
According to NTV Kenya, the singer gets paid KSh 1,000, 000 per...
Urusi imepeleka mtambo wa kuzuia makombora na ndege unaoitwa SA-23 huko Syria . SA-23 ni toleo jipya la S-300VM ambalo limeboreshwa zaidi ili kuendana na hali ya sasa ya kivita huko Syria ...
Jimbo la Alabama, nchini Marekani, limemwondoa kazini jaji mkuu aliyekaidi uamuzi wa mahakama ya juu kuhusu ndoa za jinsia moja.
Ray Moore aliagiza kwamba wapenzi wa jinsia moja wanyimwe vyeti...
Putin asitisha mkataba wa nyuklia kati ya Urusi na Marekani
Makombora ya Topol RS-12M yakiwa nje ya Moscow, 2008
Plutonium hutumiwa kutengeneza makombora ya nyuklia kama haya ya Topol...
Mwanamuziki maarufu kutoka nchini Marekani Chris Brown, aliwasili jijini Mombasa na kujikuta akizua gumzo baada ya kuitupa chini na kuivunja simu ya kiganjani ya shabiki mmoja.
Tukio hilo...
Mgombea urais wa chama cha Republican Marekani, Donald Trump, ameomba msamaha kwa matamshi machafu aliyotoa kuhusu wanawake katika kanda ya video iliyozuka ya miaka 11 iliopita.
Katika kanda...
Hawa ni mahasimu wakubwa wa kivita baina ya nchi zao yaani palestina na Israeli hapa walikutana kwenye moja ya tukio kubwa la msiba wa aliyewahi kuwa Waziri mkuu na Rais wa Israeli ndugu Shimon...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.