International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Maafisa wa polisi huko Serbia, wamemuondosha waziri mkuu wa nchi hiyo Aleksandar Vucic na familia yake, hadi maeneo salama, baada ya kupatikana kwa idadi kubwa ya silaha karibu na nyumbani kwake...
1 Reactions
0 Replies
974 Views
Clinton Extends Lead Over Trump, But FBI Reopens Email Probe — IBD/TIPP Poll
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Utafiti uliohusisha idadi ya watu 35000 umeonyesha kuwa 70% ya wamarekani walijitambulisha wao kama waumini wa dini ya kikristo, hali hii ni tofauti na ule utafiti wa mwaka 2007 ambapo ilionyesha...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Taarifa zilizopo ni kwamba kuna tetemeko kubwa LA 7.1 kwenye kipimo cha Ritcher limeikumba Italy Leo. Kuna thread iliwekwa Humu mwezi huu kwamba tutarajie uwepo wa matetemeko makubwa zaidi ya...
1 Reactions
0 Replies
549 Views
Tetemeko jingine limetokea nchini Italia ikiwa ni miezi miwili kabla ya kusahaulika tetemeko lililotokea mwezi Agosti lililoacha watu 300 wakiaga dunia. Mpaka sasa imeripotiwa watu kuuumia bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jimmy carter anashangazwa kwa nini hillary anabebwa namna hii.FBI agent anasema kwa FBI director Kufanya hivi week moja kabla ya uchaguzi ni kitu very serious na Hillary anaweza hata Kama ni...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Nato haitafuti mzozo na Urusi wala haihitaji vita vingine baridi kwa mujibu wa katibu mkuu wa jumuiya hiyo, Jens Stoltenberg. Stoltenberg anasema kuwa mipango ya kupeleka wanajeshi 4000 zaidi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
The Spanish government's announcement that is reviewing a request from Moscow to refuel the Russian flotilla heading for Syria is a welcome, if belated, gesture of solidarity with its Nato allies...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bomu lililotegwa ndani ya gari, limelipuka na kuwauwa watu kadhaa katika mji wa Benghazi, nchini Libya. Waliouwawa wanasemekana kuwa wanaharakati wa kisiasa wanaofahamika na wanaohusishwa na...
1 Reactions
1 Replies
721 Views
An Iranian Navy fleet has docked at Tanzania’s Port city of Dar es Salaam in line with the Islamic Republic’s strategy of expanding its naval presence in the high seas. The 44th flotilla of the...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Umoja wa Mataifa umefanikisha kuachiliwa kwa watoto 876 wanaozuiliwa na wanajeshi wa Nigeria na vikosi vya usalama baada ya kuteka ardhi iliyokuwa ikikaliwa na Boko Haram. Watoto hao wamekuwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanaume nchini Chongqing China, alitumia paundi 18, 118 kukarabati nyumba akidhani ni yake, kumbe alikuwa amechanganyikiwa Jamaa huyo alikuwa amenunua nyumba katika gorofa 40 ya jengo hilo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Manowari za Urusi, ambazo zilikuwa zimetarajiwa kusimama Uhispania kuongeza hazina ya mafuta, hazitasimama nchini humo tena kutokana na wasiwasi wa mataifa wanachama wa Nato. Urusi inaripotiwa...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Audio purportedly capturing director Michael Moore endorsing Donald Trump was taken out of context from Moore's latest film. CLAIM: Michael Moore has endorsed Donald Trump for president...
0 Reactions
1 Replies
980 Views
MRITHI wa Mfalme wa Abu Dhabi na Kaimu Rais, Mohamed bin Zayed Al Nahyan ameahidi kuendelea kuimarisha uhusiano baina ya nchi hiyo na Tanzania katika kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanafunzi nchini Afrika Kusini wameendelea kuandamana na wametishia kufunga vyuo vikuu vyote nchini humo ili kupinga nyongeza ya karo na mpango wa kupunguza mikopo ya karo. Vyama vya wanafunzi...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Serikali ya Rais Uhuru Kenyatta imepata pigo kwa kugundulika zaidi ya shillingi Bilioni 5 pesa za kenya za Wizara ya Afya zimeibiwa. Kwa mjibu wa taarifa zilizopatikana jioni hii kampuni...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Kenyan man shot dead after stabbing guard at American embassy in Nairobi. Last Updated Oct 27, 2016 12:59 PM AP Photo/Moses Muoki NAIROBI, Kenya -- A man was shot dead after stabbing a policeman...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
American Embassy Nairobi imevamiwa na al shabab muda mfupi uliopita bt wavamizi wameshambuliwa wameuawa wote Habar zaidi kukujia
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Sitaku kuongea maneno mengi....ile falsafa ya kufanya kazi katika kuinua uchumi yaibuka uchaguzi mkuu marekan.... INGIA KWENYE HIYO LINK
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom