Tetemeko kubwa 7.1 laipiga Italy

Tetemeko kubwa 7.1 laipiga Italy

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,371
Reaction score
100,421
Taarifa zilizopo ni kwamba kuna tetemeko kubwa LA 7.1 kwenye kipimo cha Ritcher limeikumba Italy Leo. Kuna thread iliwekwa Humu mwezi huu kwamba tutarajie uwepo wa matetemeko makubwa zaidi ya haya. Na kwamba litakua ni jambo LA kawaida. Huenda mambo yakawa mabaya zaidi.
 
Back
Top Bottom