International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Mtu mmoja anaesadikiwa kuwa na siraha ya moto (bunduki) alionekana katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump katika mji wa Reno! Mtu huyo ambaye ni supporter wa Hillary alikuwa amepanga kumrushia...
2 Reactions
26 Replies
7K Views
China imeonyesha hadharani ndege zake mpya za kivita aina ya J-20 ambazo zina uwezo wa kujificha na kukosa kuonekana kwenye mitambo ya rada. Ndege mbili za aina hiyo zilipaa angani kwa sekunde 60...
5 Reactions
60 Replies
11K Views
Mamlaka za Usalama nchini Marekani zimeanza uchunguzi wa uwezekano wa shambulio la kigaidi ambalo huenda likatokea kabla uchaguzi mkuu Jumanne wiki ijayo. Inadaiwa kuwa shambulio hilo huenda...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Marehemu Tupac Omar (Amaru)Shakur Kwa vijana wa siku za karibuni , hatujamsahau rapper Tupac Shakur na kibao chake cha zile mean streets za LA na ile Willd Wild West, California Love...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Image copyright HOPEWELL BAPTIST CHURCH Polisi katika jimbo la Marekani la Mississippi wanasema wanachunguza uhalifu wa chuki baada ya Kanisa linalotumiwa na watu weusi kuteketezwa na kisha...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Serikali ya Italia imetangaza kuwa mateka watatu waliotekwa nyara nchini Libya mwezi Septemba, wameachiliwa huru na wamerudishwa nchini humo. Wizara ya mambo ya nchi za nje, ilisema mateka hao...
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Mfumo wa uchaguzi wa marekani hautoi nafasi kwa raia kuchagua Rais moja kwa moja, Bali kunakuwepo na wawakilishi wa vyama vilivyoshinda katika majimbo ambao hao ndio hupiga kura kumchagua Rais...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Baadhi ya Magari yaliyochukuliwa Waendesha mashtaka kutoka Uswizi ambao wamekuwa wakifanya uchunguzi wa tuhuma za ufisadi wametwaa magari 11 ya kifahari yaliyomilikiwa na mwana wa kiongozi wa...
5 Reactions
19 Replies
5K Views
Huku watu wengi wakiwa na uraibu wa mambo tofauti kama vile unywaji wa pombe, uvutaji sigara na mambo mengine, mwanamke amekiri ana uraibu wa kuzaa watoto wengi sana Mwanamke huyo kutoka...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakati ule taifa letu (Marekani)litakapo ziacha kanuni za sheria yake kiasi cha kutunga shelia ya jumapili, kwa kitendo hiki uprotestanti utakuwa umeungana pamoja na upapa-5T712(1889)...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu amechukuliwa na watu wasiojulikana, baada ya kuonyesha bango lililokuwa na maandishi ya kumtaka rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ajiuzulu Bwana Mugabe alikuwa...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali ya Burundi imetishia kuondoa askari wake wa kulinda amani nchini Somalia katika kikosi cha Umoja wa Afrika AMISOM iwapo umoja wa ulaya, mfadhili mkuu wa kikosi hicho, hauto rejelea uamuzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hahah hii ni USA na siyo Kongo, Sudani au sijui Uganda! Where is the respect of the the so called will of the people? Nilifikiri chaguzi USA ni free and fair sasa kwa nini tunaona militias...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wasalaam, Shirika la Urusi la Irkut na Comac la uchina wamefanya maonyesho ya ndege ambazo nchi hizo mbili zinategemea kutengeneza. Mkataba wa makampuni hayo ulishasainiwa mwaka 2014 baina ya...
9 Reactions
35 Replies
50K Views
Mpango wa Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya umeingia dosari baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuagiza isijitoe mpaka Bunge liidhinishe. Serikali imesema itakata rufaa kupinga uamuzi huo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Opinion #ForeignAffairsNOV 3, 2016 Richard Miniter , CONTRIBUTOR I investigate foreign policy and national security issues. Rwanda is one of the world’s smallest countries and one of its...
2 Reactions
2 Replies
812 Views
Economic hit are highly paid professionals who cheat countries around the globe out of trillions of dollars. They funnel money from World Bank, the U. S. Agency for International Development...
4 Reactions
1 Replies
778 Views
Turkish justice minister hits out at Germany
0 Reactions
0 Replies
534 Views
Back
Top Bottom