Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,292
- 6,693
Siasa za kweli zipo USA trust me siyo hapa bongo maelfu ya watu wanaandamana lkn hakuna washa washa hakuna nini unadhani malekani hawana washa washa heeeee wanafata katiba uwezi kumpiga Raia ndani ya malekani kwa kisa cha kuandamana raia wa malekani hana haki ambazo zinalindwa na katiba tatizo viongozi wa africa wana hofu na Mung atawapiga lana kama Wana wakora Obama kamuunga mkono Trump na kamshawishi aondoe ahadi zake za kijinga kama za kuwafukuza waislam na kuwafukuza wahamiaji cz ndani ya jeshi la malekani pia kuna waislam wanajeshi kaelewa ukiingia Tovuti ya Trump hizo ahadi katoa siasa democrasia ya kweli ndo hiiii nimependa bure
Kingine usichokijua kuhusu Trump ni mshabiki wa ukweli wa Arsenal kwangu pia naona janga
Kingine usichokijua kuhusu Trump ni mshabiki wa ukweli wa Arsenal kwangu pia naona janga