Kumbe maandamano ya Wamarekani hayalengi kumpinga Trump!

Izc

JF-Expert Member
Aug 4, 2015
546
368
Maandamano ya Wamarekani dhidi ya Trump yameingia siku ya tatu sasa. Maandamano hayo yanaonekana kuwa na dhima kuu 3:

1. Wengi wa waandamanaji hasa hawapingi ushindi wake ila wana hofu kuwa utekelezaji wa sera zake kama alivyohaidi wakati wa kampeni zitawaumiza. Hili liko dhahili kabisa, mfano

=>Trump na chama chake cha Republican wanapinga ndoa za jinsia moja na utoaji mimba. Kwa hiyo gays na lesbian wanaona kama utawala wa Trump utakuwa threat kwao.

=>Trump amehaidi kuwarudisha makwao wahamiaji haramu takribani milioni 2 tena ndani ya siku 100. Kwa hiyo pia wahamiaji haramu wanaona utawala wa Trump hautakuwa rafiki kwao.

2. Democrats naona wanataka kumwondolea attention ya ku-focus katika kuunda serikali imara. Wamegundua kuwa Trump anayapa uzito maneno ya kwenye mitandao na wakati mwingine ana-paniki kwa sababu ya tweets. Kwa hiyo wanafikiri kelele za maandamano zitampunguzia umakini na hivyo kushindwa kufocus sawasawa katika uundaji wa serikali kipindi hiki cha miezi miwili kabla ya kuapa.

3. Wapo pia wanaopinga mfumo wa electral colleges.

Tuna jambo la kujifunza katika maandamano haya kama taifa.

1.Pamoja na Trump kupinga ndoa za jinsia moja sijamsikia akisema wanaoandamana ni mashoga, wasagaji na watoa mimba ambao wanajua nitawashughulikia maana anajua madhara ya kauli zake katika mshikamano na umoja wa kitaifa.

2. Vyombo vya ulinzi vimeruhusu maandamano na kubaki kuwalinda raia na mali. Polisi wanajua kuwa ni haki ya Wamerekani kutoa maoni lakini pia ni haki yao kuandamana na katiba ni zaidi ya mamlaka zote. Lakini pia kitendo cha waandamanaji kutoa ya mioyoni mwao inawapa ku-releive na mwisho wa siku majeraha ya uchaguzi yatapona haraka.
 
Kuna wahamiaji haramu ndiyo mda wao wa kurudi nyumbani sasa wakajenge nchi yao
 
Republican ni conservative party. Kinapinga ushoga tangu kuundwa kwake
Nimefatilia saana campaign Za US Wote Hillary Clinton na Trump wana support ndoa za jinsia moja... soma kwenye website yake uone
 
Nimefatilia saana campaign Za US Wote Hillary Clinton na Trump wana support ndoa za jinsia moja... soma kwenye website yake uone
Si kweli!
Soma hii artical ya NEW YORK TIMES.

The election of Donald J. Trump to the presidency sent panic through much of the lesbian, gay, bisexual and transgender community, which for the first time in eight years will face an administration hostile to its civil rights goals and a president-elect who has expressed a desire to reverse many of its political gains.

Trump Victory Alarms Gay and Transgender Groups
 
Si kweli!
Soma hii artical ya NEW YORK TIMES.

The election of Donald J. Trump to the presidency sent panic through much of the lesbian, gay, bisexual and transgender community, which for the first time in eight years will face an administration hostile to its civil rights goals and a president-elect who has expressed a desire to reverse many of its political gains.

Trump Victory Alarms Gay and Transgender Groups
Umempiga za mbavu mpuuzi kabisa bullar
Akome kupotosha na iwe fundisho kwa wapotoshaji wote!!!
 
  • Thanks
Reactions: Izc
Umempiga za mbavu mpuuzi kabisa bullar
Akome kupotosha na iwe fundisho kwa wapotoshaji wote!!!
Ni kweli mkuu wengine wanapotosha kwa makusudi wengine ni kwa kutojua misimamo ya conservative parties. Bahati mbaya hapa Tanzania hakuna Conservatives
 
Ni kweli mkuu wengine wanapotosha kwa makusudi wengine ni kwa kutojua misimamo ya conservative parties. Bahati mbaya hapa Tanzania hakuna Conservatives
Kma mm napotosha Soma hapa

Donald Trump may support gay rights, but does the Republican Party?

BY JOSH LEDERMAN, ASSOCIATED PRESS July 21, 2016 at 05:54 PM EDT

[https://cdn]

Republican presidential candidate Donald Trump speaks at a campaign event on the day several states held presidential primaries, including California, at the Trump National Golf Club Westchester in Briarcliff Manor, New York. Photo by Carlo Allegri/Reuters

CLEVELAND — Pro-gay Republicans have held Donald Trump up as the most supportive nominee in GOP history, but at this week’s Republican National Convention, their excitement is clashing with the stark realization that their party is still pushing a very different message.

While Republicans seek to broaden their appeal ahead of November’s election, the party adopted a platform that moves farther away from gay rights with a new admonition of gay parenting, adding language that says kids raised by a mother and father tend to be “physically and emotionally healthier.” On the convention’s first day, the platform maintained its opposition to gay marriage and to bathroom choice for transgender people.

Trump declares himself a “friend of the gay community,” but his nominating convention has featured awkward silences on the rare occasions when gay rights have come up. Connecticut State Rep. Cara Pavalock said that’s a reflection of how much work the party needs to do on the issue.

“I joined the party not for what it is but for what I know it will be in the future,” said Pavalock, a Trump supporter.

An explicit call for better GOP treatment of gays was to come Thursday from PayPal co-founder Peter Thiel, a Trump supporter who has faced blowback in Silicon Valley for giving the speech. Gay Republicans were eager to see what reception delegates would give Thiel, who planned to say he’s proud to be gay and disagrees with the party’s platform.

For those hoping Trump’s nomination will help repair the perception that Republicans are hostile to equality, there’s another challenge: Mainstream gay rights groups are denouncing the New York billionaire, arguing that tolerance for one minority group doesn’t excuse prejudice toward others — like Hispanics and Muslims.

Trump, who has said he’d nominate Supreme Court justices who might overturn gay marriage, has nonetheless spoken effusively about his friendships with gay people while avoiding anti-gay rhetoric that many other GOP candidates have embraced. After a gunman claiming Islamic State allegiance killed 49 people at a gay nightclub in Orlando, Florida, Trump said he’d be better than Hillary Clinton because he wouldn’t allow in Muslim immigrants who want to “murder gays.”

At the same time, Trump has rattled many voters with unflattering comments about women, while insisting Mexico sends rapists and criminals into the U.S.

“His hatred toward anybody is a huge concern,” said Jay Brown of the Human Rights Campaign, the largest gay rights group. “When he attacks women, he attacks us. When he attacks Muslims, he’s attacking us.”

Gay Republicans who attended one event in a downtown ballroom Tuesday — titled “Wake Up! (the most fab party at the RNC)” — said it promoted the message that Islam and LGBT tolerance are incompatible. Outside the party, police kept at bay protesters with signs reading “Queers Against Racism.”

Though gay rights groups have pointed to Trump’s rhetoric about other minorities as evidence of intolerance, Republicans say that’s an attempt to blur the issues to help Democrats win elections and raise money.

“They are hell-bent on keeping this a political issue,” said Republican strategist Richard Grenell.

Four years ago Grenell, who is gay, was hired by 2012 Republican nominee Mitt Romney to be his foreign policy spokesman, but resigned under pressure from social conservatives who questioned Romney’s conservatism. This week, he attended a “Big Tent Brunch” on the convention’s sidelines, hosted by the American Unity Fund, a GOP group that promotes LGBT rights.

At the brunch — held in a literal big tent at the Rock & Roll Hall of Fame, pro-LGBT Republicans sipped mimosas and mingled with transgender activist Caitlyn Jenner while a man carried a rainbow version of the Gadsden flag — a tea party symbol. Added was the phrase “Shoot Back,” employed by gun rights advocates after the Orlando shooting to suggest the victims should have been armed.

And at the Quicken Loans Arena where Trump was nominated, there were only vague allusions to gay rights from convention speakers — such as former New York Mayor Rudy Giuliani, who praised police for protecting, among others, people of “every sexual orientation.”


Umempiga za mbavu mpuuzi kabisa bullar
Akome kupotosha na iwe fundisho kwa wapotoshaji wote!!!
 
1. utekelezaji wa sera zake kama alivyohaidi wakati wa kampeni zitawaumiza.
=>Trump na chama chake cha Republican wanapinga ndoa za jinsia moja na utoaji mimba. Kwa hiyo gays na lesbian wanaona kama utawala wa Trump utakuwa threat kwao.
2.=>Trump amehaidi kuwarudisha makwao wahamiaji haramu takribani milioni 2 tena ndani ya siku 100. Kwa hiyo pia wahamiaji haramu wanaona utawala wa Trump hautakuwa rafiki kwao.
Nafikiri wanampinga Trump.
 
Nafikiri wanampinga Trump.
Wamerekani wanajua kachaguliwa kikatiba lakini pia wao wameshiriki ktik uchaguzi huo ambao umempa Trump ushindi. Wanachojaribu kufanya ni kusema matakwa yao ili waone kama atayasikia
 
Wamerekani wanajua kachaguliwa kikatiba lakini pia wao wameshiriki ktik uchaguzi huo ambao umempa Trump ushindi. Wanachojaribu kufanya ni kusema matakwa yao ili waone kama atayasikia
Kwahiyo wanapinga sera zake kabla hajaanza kuzitekeleza?
 
Back
Top Bottom