Marekani nako kuna utekaji? Hiki ni nini tena?

Marekani nako kuna utekaji? Hiki ni nini tena?

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
1,090
Reaction score
3,444
Wakuu,

Nimekutana na clip ya askari wa ICE wa Marekani ambao wanahusika na masuala ya uhamiaji wakiwa wanamfukuzia huyu jamaa kwenye kibaiskeli chake

Huyu jamaa ni mtu wa delivery na ili tukio limetokea huko Chicago. Huyu watu wanasema walikuwa kumkamata kutokana na kumhisi kuwa alikuwa ni mhamiaji haramu

Nataka kuuliza huko kwa Trump na penyewe kuna watu wasiojulikana?

 
ICE wamekamata watu wengi tu na kuwarudisha kwao,hamna utekaji hapo,juzi kuna wapopo walikamatwa mahakamani,kuna wadada walivamiwa kazini kwenye petrol station,
Trump kabariki hilo so huo si utekaji
 
Wakuu,

Nimekutana na clip ya askari wa ICE wa Marekani ambao wanahusika na masuala ya uhamiaji wakiwa wanamfukuzia huyu jamaa kwenye kibaiskeli chake

Huyu jamaa ni mtu wa delivery na ili tukio limetokea huko Chicago. Huyu watu wanasema walikuwa kumkamata kutokana na kumhisi kuwa alikuwa ni mhamiaji haramu

Nataka kuuliza huko kwa Trump na penyewe kuna watu wasiojulikana?

Hahahahahaha.

Askari wazembe sana hawa.
 
Huyo dogo alizingua, yeye mwenyewe ndiye aliyekuwa akiwaambia askari kuwa yeye ni muhamiaji haramu, polisi wala hawakuwa na issue naye, hao ma black wamechizika, kipindi cha nyuma kuna mwingine alikuwa akiwatishia askari na toy la pistol, masoja wakamshoot kweli, weusi wakaanza na mambo yao ya black lives matter.
 
Back
Top Bottom