International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu alikataa ombi la Waziri Mkuu wa Norway kuzuru Israel - na ndivyo ilivyo. Norway iliunga mkono mashtaka ya ICC dhidi ya Israel, ilitambua taifa la Palestina, na...
2 Reactions
3 Replies
345 Views
Anaadika Peter Hegseth, Waziri wa Vita wa Marekani kupitia ukurasa wake wa X: "Kuua Wakristo wasio na hatia nchini Nigeria na mahali popote kunapaswa kuisha mara moja. Idara ya Vita inaandaa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Waziri mkuu aliyeondolewa madarakani nchini Bangladesh Sheikh Hasina amehukumiwa kifo na mahakama ya Dhaka bila kuwepo mahakamani kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kutokana na mandamano makubwa...
10 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakuu Mmeona wenzetu wanavyowajibika? Regardless of whether they were bullied into make the decision lakini inaonesha ni kwa jinsi gani wenzetu wanajali maoni ya wananchi maana backlash ilikuwa...
4 Reactions
6 Replies
475 Views
Sheikh Hasina, waziri mkuu wa zamani wa Bangladesh, amehukumiwa kifo na Mahakama Maalum ya Uhalifu (International Crimes Tribunal) kwa tuhuma za “Uhalifu dhidi ya binadamu” (crimes against...
0 Reactions
2 Replies
217 Views
Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh, Sheikh Hasina aliyepinduliwa na maandamano makubwa yaliyofanyika 2024, amesema anatumai marufuku dhidi ya chama chake itaondolewa kabla ya uchaguzi mkuu wa...
0 Reactions
2 Replies
359 Views
Ni tukio la siku 5 nyuma. Kuna taarifa za malori ya mafuta yaliyoteketezwa yakiwa njiani kuingia Mali baada ya kushambuliwa na makundi ya kigaidi, kama vile JNIM linalohusiana na al-Qaeda, ambayo...
1 Reactions
4 Replies
347 Views
Faharasa hupima nguvu kazi, vifaa, na rasilimali za kifedha ili kutoa “Kielezo cha Nguvu” linganishi. Katika ripoti hii, tunaangazia mataifa 10 yenye majeshi bora zaidi barani Afrika, tukielezea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Nimewaza tu hivi hili gazeti halina wahariri pamoja na cross checkers? Au hawa walikuwa wanawahi wapi to the point wamefanya kosa la wazi kama hili? ======== Gazeti maarufu la...
8 Reactions
4 Replies
640 Views
Mwanasheria kutoka Kenya, Profesa Phoebe Okowa, amechaguliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), chombo kikuu cha kimahakama cha Umoja wa Mataifa. Uchaguzi huo ulifanyika Jumatano...
0 Reactions
2 Replies
303 Views
Zina kinga kubwa sana hizi
3 Reactions
54 Replies
3K Views
Vijana sasa wanakiwasha kila sehemu, hakuna uonevu tena! Huyu waziri amejikuta anafoka hadi mishipa ya mwili mzima imemsimama lakini kamanda mwenye anajibu kwa utulivu hapa uingiii kabisa...
1 Reactions
2 Replies
285 Views
Today, we heard from AFP , which is the one of the respected and reputable news agency in the world that, according to its reliable sources in Tanzania, there are mass graves in Mabwepande and...
1 Reactions
0 Replies
584 Views
Takwimu zilizotolewa katika ripoti ya Mpango wa Utafiti wa China na Afrika iliyotolea na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins cha Marekani zinaonyesha kuwa, mwaka 2023, uwekezaji wa moja kwa moja wa...
0 Reactions
2 Replies
256 Views
Sylvia Bongo, mke wa Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo, pamoja na mtoto wao Noureddin, wanakabiliwa na kesi kwa tuhuma za kufuja fedha za umma. Wawili hao, wanaoishi uhamishoni mjini London...
1 Reactions
4 Replies
351 Views
Wakuu, Hio ni Kauli ya Rais mstaafu wa Marekani Bwana Barack Obama akingumzia Demokasia mwaka 2018 alipokuwa Afrika kUsini. Imesambaa tena hasa baada ya taarifa za uchaguzi Ushindi wa kimaajabu...
5 Reactions
12 Replies
637 Views
Serikali ya Ukraine imeripoti kuwa raia 1,436 kutoka Nchi 36 Barani Afrika wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita dhidi ya Ukraine, huku ikionya kuwa idadi halisi huenda ni kubwa zaidi. Kwa...
1 Reactions
4 Replies
560 Views
Knesset ya Israel imepitisha kwa usomaji wa kwanza mswada unaoruhusu kunyongwa kwa wafungwa wa Kipalestina. Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Israel (KAN), mswada huo ulipitishwa Jumatatu...
3 Reactions
4 Replies
291 Views
Mamlaka nchini Mali zimeripoti kifi cha mwanamitindo na mtengeneza maudhui maarufu TikTok, Mariame Cissé, aliyekuwa akijulikana kwa kuchapisha video za kuunga mkono jeshi la taifa hilo la. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
407 Views
Ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika umedumu kwa miongo kadhaa, na kugusa maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na elimu, uchumi na biashara, kilimo, na maeneo mengine mengi. Ushirikiano huu...
1 Reactions
0 Replies
193 Views
Back
Top Bottom