International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Hassan Ghazaly, an Egyptian member of the African Peer Review Mechanism (APRM) Focal Point Committee and Founder of the Global Solidarity Network, formally handed over the outcomes of the 5th...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel aliyeuawa na Hamas kuwasili leo kutoka Israel Maelezo ya picha,Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel ukiagwa nchini Israel kabla ya kurudishwa Tanzania, aliuawa na...
0 Reactions
9 Replies
511 Views
Serikali ya Uholanzi imesitisha uamuzi wake wa kuingilia kampuni ya kutengeneza chipu, Nexperia, inayomilikiwa na China, baada ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili. Mnamo Septemba, serikali ya...
0 Reactions
4 Replies
403 Views
Sikutilia manani sana huko Nyuma, kumbe jamaa na mke wake ni watusi pure!! Sasa ndo naelewa kwanini Muhoozi ana chuki, kiburi na majivuno na kuwatreat waganda vibaya namna ile. Kwa miaka mingi...
12 Reactions
109 Replies
6K Views
Hivi karibuni, mataifa mawili muhimu kiuchumi barani Afrika – Afrika Kusini na Nigeria – yamekuwa shabaha ya shutuma za rais wa Marekani, Donald Trump, jambo lililozua mjadala mkubwa kimataifa...
2 Reactions
3 Replies
447 Views
Tume ya Kutathmini Uchumi na Usalama wa Marekani na China, iliyoko chini ya Baraza la Mawaziri la Marekani, hivi karibuni imetoa ripoti ya kuhusu Mpango wa Maendeleo ya Sekta za Utengenezaji za...
1 Reactions
0 Replies
206 Views
Jukwaa la Kimataifa la Nasser limeshiriki kikamilifu katika Kongamano la Vijana wa Afrika (Pan-African Youth Forum 2025) uliofanyika nchini Djibouti kuanzia Novemba 4 hadi 6, 2025, chini ya...
0 Reactions
0 Replies
148 Views
Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu alikataa ombi la Waziri Mkuu wa Norway kuzuru Israel - na ndivyo ilivyo. Norway iliunga mkono mashtaka ya ICC dhidi ya Israel, ilitambua taifa la Palestina, na...
2 Reactions
3 Replies
345 Views
Anaadika Peter Hegseth, Waziri wa Vita wa Marekani kupitia ukurasa wake wa X: "Kuua Wakristo wasio na hatia nchini Nigeria na mahali popote kunapaswa kuisha mara moja. Idara ya Vita inaandaa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Waziri mkuu aliyeondolewa madarakani nchini Bangladesh Sheikh Hasina amehukumiwa kifo na mahakama ya Dhaka bila kuwepo mahakamani kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kutokana na mandamano makubwa...
10 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakuu Mmeona wenzetu wanavyowajibika? Regardless of whether they were bullied into make the decision lakini inaonesha ni kwa jinsi gani wenzetu wanajali maoni ya wananchi maana backlash ilikuwa...
4 Reactions
6 Replies
475 Views
Sheikh Hasina, waziri mkuu wa zamani wa Bangladesh, amehukumiwa kifo na Mahakama Maalum ya Uhalifu (International Crimes Tribunal) kwa tuhuma za “Uhalifu dhidi ya binadamu” (crimes against...
0 Reactions
2 Replies
217 Views
Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh, Sheikh Hasina aliyepinduliwa na maandamano makubwa yaliyofanyika 2024, amesema anatumai marufuku dhidi ya chama chake itaondolewa kabla ya uchaguzi mkuu wa...
0 Reactions
2 Replies
359 Views
Ni tukio la siku 5 nyuma. Kuna taarifa za malori ya mafuta yaliyoteketezwa yakiwa njiani kuingia Mali baada ya kushambuliwa na makundi ya kigaidi, kama vile JNIM linalohusiana na al-Qaeda, ambayo...
1 Reactions
4 Replies
347 Views
Faharasa hupima nguvu kazi, vifaa, na rasilimali za kifedha ili kutoa “Kielezo cha Nguvu” linganishi. Katika ripoti hii, tunaangazia mataifa 10 yenye majeshi bora zaidi barani Afrika, tukielezea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Nimewaza tu hivi hili gazeti halina wahariri pamoja na cross checkers? Au hawa walikuwa wanawahi wapi to the point wamefanya kosa la wazi kama hili? ======== Gazeti maarufu la...
8 Reactions
4 Replies
640 Views
Mwanasheria kutoka Kenya, Profesa Phoebe Okowa, amechaguliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), chombo kikuu cha kimahakama cha Umoja wa Mataifa. Uchaguzi huo ulifanyika Jumatano...
0 Reactions
2 Replies
303 Views
Zina kinga kubwa sana hizi
3 Reactions
54 Replies
3K Views
Vijana sasa wanakiwasha kila sehemu, hakuna uonevu tena! Huyu waziri amejikuta anafoka hadi mishipa ya mwili mzima imemsimama lakini kamanda mwenye anajibu kwa utulivu hapa uingiii kabisa...
1 Reactions
2 Replies
285 Views
Today, we heard from AFP , which is the one of the respected and reputable news agency in the world that, according to its reliable sources in Tanzania, there are mass graves in Mabwepande and...
1 Reactions
0 Replies
584 Views
Back
Top Bottom