Tuliwambia Israel hawezi kupigana na Wahouth wa Yemen, ikiwa Baba yake USA alikimbia watu wakabisha.
Leo wizara ya katiba na sheria imesambaratishwa kule Jerusalem sijui yule msafisha vyoo vya...
Hamas imesisitiza utayari wake wa kuingia katika makubaliano ya kina ya kuwaachilia mateka wote wa Israel walioko kizuizini. Kwa upande wake, kundi hilo la kigaidi linadai kusitishwa kwa vita huko...
Wanaendelea Kubweka. ISRAEL HACHEKI NA WOWOTE. ANAKUPIGIA POPOTE ANAPOTAKA. WAULIZENI IRAN WANAELEWA HILI JAMBO.
Wizara ya mambo ya nje ya Yemen imesema kuwa shambulio la Israel “linadhoofisha...
Waziri Mkuu wa Nepal, K.P. Sharma Oli, amejiuzulu kufuatia maandamano dhidi ya ufisadi ambayo yalisababisha vifo vya watu 19. Waandamanaji waliamua kutoka mitaani wakivunja amri ya kutotoka nje...
Juzi na jana palikua na habari za houthi kurusha makombora na drones israel,houthi wakidai airport ya Lod,mji wa haifa vilipigwa
Habari tulizoona ni israel kutungua hayo makombora na drones...
Mwaka 1945, watu wa China, baada ya miaka 14 ya mapambano magumu, waliwashinda kabisa wavamizi wa kijeshi wa Japan, na kuweka alama muhimu katika ushindi kamili wa Vita Kuu ya Pili Duniani dhidi...
Korea Kusini inamtuma waziri wake wa mambo ya nje kwenda Marekani katika juhudi za kuzuia hali ya kutoridhika inayozidi kuongezeka kufuatia msako wa uhamiaji kwenye kiwanda huko Georgia...
Trump anaenda kuibadili Pentagon na itaitwa Idara ya Vita
Hivi kwa hapa Tanzania Pentagon ni sawa na Taasisi gani?
Nimeogopa sana 🐼
-----------------
Rais wa Marekani, Donald Trump...
Waziri Mkuu wa Japan, Shigeru Ishiba, ameamuwa kujiuzulu baada ya chama chake cha Liberal Democratic Party, (LDP) kupoteza wingi wa viti kufuatia uchaguzi wa baraza la juu.
Vyombo vya habari vya...
Moto mkubwa umezuka katika jengo la makazi lenye ghorofa 67 lililopo Dubai Marina, na kuwalazimu wakazi takriban 4,000 kuhama kwa dharura.
Moto huo umeweza kudhibitiwa baada ya saa sita za juhudi...
Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, amefanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri Jumatatu Septemba 8, 2025 kufuatia maandamano yenye vurugu yaliyozuka nchini kote kupinga marupurupu ya...
Waziri Mkuu wa Ufaransa bwana Francois Bayrou baada ya kupigiwa kura 364 za hapana dhidi ya kura 194.
Bunge la Ufaransa kwa azimio moja limefanikiwa kumuondoa Waziri Mkuu huyo ambaye alikuwa...
Rwanda imeandika historia kuwa taifa la kwanza barani Afrika kuzindua rasmi Teksi ndege za Kielektroniki zisizo na rubani, EHang EH216-S, ambazo zitatumika kwa huduma ya usafiri wa abiria mijini...
Nchi ya marekani kila siku imekuwa ikihituhumu China kuhusu changamoto ya fentanly na matumizi yake ndani ya nchi ya marekani.
Marekani mara kadhaa inasema China ina zalisha kwa wingi na...
Idhaa rasmi za Hamas zinasambaza video inayoonyesha mtu wa Gaza aliyejitoa muhanga akiwa amevikwa sanda ya mazishi akiwahutubia wakazi wa Shati na vitongoji vya Sheikh Radwan:
“Mbona mnaogopa...
Misri imejiunga na nchi za Uturuki na UAE kuitolea maneno makali Israel ambavyo si kawaida yao.
Waziri wa mambo ya nje wa Misri amesema hakuna kuhamishwa tena kwa wakazi wa Gaza kupelekwa popote...
Kutokana na figisu za Trump na Netanyahu, UN imesema isiwe taabu.
Tunaondoka,tunahamia Geneva
Chanzo ni kumkatalia member wa UN Mahmud Abbas wa Palestina kuingia Marekani kwenye kikao cha General...
Jumanne Septemba 9, 2025 inatazamiwa kuashiria wakati wa mabadiliko katika historia ya Ethiopia. Ni tarehe ambayo ndoto ya Ethiopia iliyothaminiwa kwa muda mrefu inatimia wakati Bwawa la Grand...
Wanakumbi.
⚡️BREAKING: Vikosi vya Al-Qassam:
"Tulifikiri tulikuwa wafungwa wa Hamas; lakini ukweli ni kwamba, sisi ni wafungwa wa serikali yetu ya Netanyahu, Ben Gvir, na Smotrich."
Upinzani...
Ni Vladimir Putin ama huenda ni Putin na XI kwa mikakati Yao ya pamoja wameweza kumuingiza Kim Jon UN katika mfumo wa Dunia.
Nikisema Kim Jon UN namaanisha Korea kasakazini kama nchi tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.