International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Rais wa Marekani Donald Trump amesema serikali yake itaanza mara moja kushughulikia ujenzi wa ukuta kati ya Marekani na Mexico. Hatua hiyo ni utekelezaji wa ahadi yake kubwa aliyoiweka wakati wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Redirect
Huyu ni Rais mstaafu Wa Mexico naona uzalendo umemshinda kaamua kutema nyongo.... Amesema Mexico haiwezi kulipia upumbavu kupoteza pesa za walipa kodi....... Amesema Marekani wakiweka kodi ya...
1 Reactions
Replies
Views
Shirika la Bloomberg Politics la nchini Marekani limeiweka Tanzania kati ya Nchi 16 hatari kisiasa na kiuchumi kwa wawekezaji. The Bloomberg Country Risk Score is a composite of 29 indicators...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nimesikia kuna mpango haramu wa nchi za Kiafrika kutaka kuivamia kivita nchi ya Gambia kwa lengo la kutaka kumtoa kwa nguvu Raisi wa nchi hiyo na kumsimika mpinzani! Sasa swali langu kipi kina...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Adama barrow awasili Gambia huku mamilioni ya wana Gambia yakijitokeza Kumlaki rais huyo chanzo Ikulu Gambia
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hii ni muda mfupi tu uliopita. Anaelekea Philadelphia [ambapo tayari Air Force One ishatua]. Yupo huko Philly kuhutubia mkutano wa GOP. Ndani ya Air Force One
5 Reactions
28 Replies
4K Views
  • Redirect
Raia ww Gambian waonesha furaha yao Kwakuwasili rais mpya Wagambia Adama barrow baada yakuwasili mamilioni yawana Gambia walijitokeza kumlaki Huku msafara ukiwa chini ya ulinzi mkali...
0 Reactions
Replies
Views
Senegalese security officials have reportedly arrested a leading member of former Gambian dictator Yahya Jammeh’s assassin team member General Borra Colley, the Freedom Newspaper can reveal. Mr...
0 Reactions
1 Replies
917 Views
MAREKANI: Viongozi waandamizi katika Idara ya Mambo ya Nje wamejiuzulu kwa madai ya kutotaka kuendelea kuwa chini ya uongozi wa rais Donald J. Trump. ======== A State Department spokesman said...
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Kuingia kwa Trump Ikulu ya White house na kuanza KAZI mara moja kama rais aliye na mawazo ya KUPATA FAIDA kumelipa soko la kifedha la NYSE, New York Stock Exchange kupanda sana zaidi ya mtangulizi...
9 Reactions
74 Replies
5K Views
Approximately 90 citizens of Somalia and Kenya have been displaced both from the United States a few hours after reports emerge that President Donald Trump will be faced by people living in the...
6 Reactions
88 Replies
9K Views
Rais mpya wa Gambia Adama Barrow, amewasili nchini humo kuchukua hatamu za uongozi, kufuatia kuondoka madarakani kwa rais wa mda mrefu Yahya Jammeh Barrow aliapishwa wiki iliyopita nchini Senegal...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
US President Donald Trump will reduce US involvement in the UN Hours after signing onto an executive order that will result in the construction of a wall along the Mexican border, the New York...
0 Reactions
3 Replies
705 Views
Russia Arrests Kaspersky Cybercrime Hunter In 'Treason Probe' OracleTop 5 C One of Russia's most successful cybercrime investigators and hacker hunter at one of the world's biggest security...
0 Reactions
3 Replies
684 Views
Hello, Hope all is well with you. May i ask what is the difference between these security organs in the USA? To me they seem to be doing the same, refer to USA election saga. Please any one who...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Donald Trump hajui hatari anayowaingiza raia wake. kama angalau angeelewa hizi chuki za kitaifa, rangi au kidini anazozijenga zinaweza kuwa na madhara kiasi gani kwa raia wake nadhani angesimama...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kufuatia Rais Donald Trump wa Marekani kuahidi kuwarudisha wakimbizi hatimae leo umeanza mpango kabambe wa kuwarudisha wasomali 90. Akizungumza na redio DW msemaji wa serikali ya Somalia amesema...
1 Reactions
1 Replies
737 Views
Banjui. Askari wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (Ecowas) wamegundua kemikali ya sumu kali iliyokuwa imetegwa kwenye vyumba vya Ikulu. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na...
6 Reactions
119 Replies
15K Views
Marekani imejikuta katika utata kuhusu jasusi wa zamani wa urusi ambae ni rais kwa sasa wa taifa hilo kubwa na lenye nguvu barani ulaya hiI ni kutokana na taarifa kutoka shirika ls ujasusi la...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom