Daaaah sasa Afrika wanakoelekea too much. Mke wa Babu yetu kipenzi Robert Mugabe asema kwamba Wazimbabwe wanampenda sana rais wao, wako tayari kuipigia kura maiti iendelee kuongoza nchi ya...
Kibaraka Adama Barrow -Gambia tayari ameshatimiza ahadi zake za uchaguzi zilizomuingiza madarakani kwa nguvu!
Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya nje wa nchi ya Uingereza (juu pichani) ajulikanye...
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais wa Guinea Alfa Conde amapiga marufuku Mawaziri kuwawakilisha marais wa nchi zao katika mikutano ijayo ya Umoja wa Afrika.
Mwenyekiti mpya wa Umoja huo...
U.S. Vice President Mike Pence on Saturday sought to assure allies that the Trump administration will back NATO and stand with Europe even as it looks for new ways to cooperate with Russia.
In...
Mwanamke mwenye umri wa miaka 64 amefanikiwa kujifungua mapacha -mvulana na msichana katika eneo la Burgos, kaskazini mwa Uhispania.
Hospitali ya Recoletas iliwapokea watoto hao kupitia upasuaji...
Serikali Guinea imepiga marufuku kwa muda maonyesho ya urembo baada ya mavazi ya bikini kuzua shutuma nchini humo.
Wagombea walijipanga mbele ya waziri mkuu Mamady Youla wakiwa wamevaa bikini...
Raisi wa Israel ndugu Rivlin, amependekeza kuwa Israel itwae maeneo yanayomilikiwa na Wapalestina huko West Bank, halafu badala yake wakazi wote wa Kipalestina wapewe uraia wa nchi ya Israel...
Mamlaka nchini Kenya imeanzisha harakati ya kuzishurutisha kampuni za simu nchini kuruhusu vitengo vya kijasusi kudukua mawasiliano ya raia
Mamlaka ya mawasiliano nchini humo CAK imewaandikia...
Patamu hapo ..... ...... ... I would like to tell the Russians and Wikileaks to release whatever they know about Hillary Clinton .. .. .
Donald Trump used his first press conference at the...
Haki miliki ya pichaUSBP
Image captionManati hiyo kubwa ilikuwa imefungamanishwa na ua mpakani
Maafisa wa Marekani wanaoshika doria mpakani, wamegundua manati kubwa ambayo ilikuwa...
Tunakumbuka Trump alipoingia madarakani alivikandia vyombo vya usalama USA kutia ndani CIA na FBI mara nyingine hata akaunga mkono mawazo toka Urusi dhidi ya CIA.
Sasa wameamua kumwonyesha...
Mwanafunzi wa chuo cha Cambridge ambaye alichoma noti ya £20 mbele ya masikini asiyekuwa na malazi amefukuzwa chuoni.
Ronald Coyne ni mwanafunzi wa chuo cha Cambridge aliyekuwa anasoma kozi ya...
Watu wa kujitolea wanasaidia katika juhudi za kuwaokoa nyangumi karibu 100 waliokwama kwenye ufuo wa bahari.
Nyangumi hao ni sehemu ya nyangumi 400 waliokwama baharini usiku wa kuamkia leo...
Leo wikiLeaks wameweka kwenye Mtandao wao Documents mbili kutoka Shirika la Kijajusi la Marekani kuonesha jinsi gani Marekani iliingilia Uchaguzi wa Ufaransa, Nchi nyingine kwenye List hiyo ni...
Trump's mental health debate: What is it about?
5 hours ago
From the sectionUS & Canada
Share
copyrightAFPImage captionIn a letter, a group of mental health professionals said Mr Trump was...
Mshauri mkuu wa ikulu ya White House kuhusu usalama wa taifa Michael Flynn amejiuzulu kuhusiana na uhusiano wake na maafisa wa Urusi, vyombo vya habari Marekani vinaripoti.
Bw Flynn anadaiwa...
Andrew Puzder, aliyekuwa ameteuliwa na Rais wa Marekani Donald Trump kuwa waziri wa masuala ya wafanyakazi, amejiondoa muda mfupi kabla yake kuhojiwa na wabunge.
Puzder alipoteza uungwaji mkono...
Blackberry is suing Nokia over claims that the Finnish company has made use of nearly a dozen of its inventions without permission.
The patent infringement allegations concern data transmission...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.