International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Maandamano yanakuwa kwa kasi Wairan wanashusha bendera ya Jamhuri ya Kiislam na kupandisha bendera ya Jua na Simba. Kobazi wanajukumu gumu mbele yao, 1. Kuua watu kama Samia alivofanya 2...
4 Reactions
14 Replies
662 Views
Ni miaka karibia 50 ya ukandamizaji wa raia wa Iran nasa sasa wameamua kusema imetosha, wamejitoa muhanga kuikomboa nchi yao lakini media kubwa zinawapa airtime ndogo sana. Yalianza kama...
2 Reactions
8 Replies
246 Views
Kupitia mtandao wa X/Twitter, Russia imewaomba Marekani kuacha ubabe wao wa kukamata meli, pia Russia imewaomba Marekani kuwatendea vyema raia wa Russia waliotekekwa pamoja na meli iliyokuwa...
3 Reactions
6 Replies
342 Views
Tarehe 14 Desemba 2025, inaripotiwa kutokea shambulio la kigaidi katika jiji la Sydney, Australia. Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa, washambuliaji waliwasili katika fukwe za Bondi Beach na...
4 Reactions
69 Replies
2K Views
Maandamano makubwa yalizuka kote Iran huku serikali ikikata huduma ya intaneti karibu nchi nzima, kulingana na makundi ya ufuatiliaji. Hatua hiyo ilikuja wakati wananchi wakipaza sauti wakidai...
1 Reactions
9 Replies
482 Views
  • Redirect
DAH AISEE HAWA WATU WAJE AFRICA WAKATI WANANZA MAANDAMANO NILIMWAMBIA MTU WAKIUWAWA 40 WOTE NDAN DAH MDA UNAVYOENDA WAKIONGEZA VIFO NA WATU WANAJAZANA MTAAN USIKU WA LEOO BAADHI YA POLISI...
1 Reactions
Replies
Views
Serikali ya mpito nchini Venezuela imeanza kuwaachilia watu wanaosadikiwa kuwa wafungwa wa kisiasa na mashirika ya kutetea haki za binadamu, katika kile maafisa walichoeleza kuwa ni ishara ya nia...
4 Reactions
1 Replies
236 Views
https://www.instagram.com/reel/DTL2zwckvlX/?igsh=NXI4ZTdyd2h5YXhr
2 Reactions
6 Replies
334 Views
Marekani kujitoa katika mfululizo wa mashirika ya Umoja wa Mataifa yenye kuisaidia Afrika. == The U.S. government has initiated a directive to withdraw from several international organizations...
1 Reactions
5 Replies
364 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela, Diosdado Cabello, amesema katika shambulio la Marekani lililomuondoa madarakani Rais Nicolous Maduro ilisababisha idadi ya vifo ya watu 100 Hapo awali...
2 Reactions
7 Replies
380 Views
Lengo la Marekani (USA) kutaka kudhibiti au kuwa na ushawishi juu ya Greenland halimaanishi tu “kuitwaa ardhi”, bali linahusiana na maslahi makubwa ya kimkakati, kiusalama na kiuchumi. Kwa ufupi...
8 Reactions
8 Replies
561 Views
Baada ya vita vya pili kumalizika ukweli ni kwamba genius wengi kutoka ujerumani walichukuliwa na marekani , urusi pamoja na uingereza baada ya ujerumani kuionyesha dunia nguvu yao kijeshi na...
9 Reactions
44 Replies
879 Views
Wanaukumbi. Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa rais wa mpito wa Venezuela katika kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kuachiliwa kwa rais aliyeondolewa na kuzuiliwa nchini Marekani Nicolás...
1 Reactions
39 Replies
619 Views
Habari kubwa ya leo duniani imekuwa ni jeshi la US kuiteka Meli ya mafuta iliyotoka Venezuela na kudhaniwa ikielekea Russia. Meli hiyo ilikuwa na bendera ya Russia imedakwa huko Bahari ya...
8 Reactions
53 Replies
1K Views
Kama sababu ya Maduro kutekwa na Marekani ni madawa ya kulevya? Kwanini mlalamikiwa mkubwa kuhusu athari za madawa ya kulevya Marekani ambaye ni China Rais wao Xi Jinping mpaka sasa hajatekwa...
1 Reactions
8 Replies
377 Views
https://www.cbsnews.com/minnesota/live-updates/minneapolis-federal-agents-protesters-clash-portland-avenue/ https://www.youtube.com/watch?v=_rU1_3V5q2o&pp=ygUKaWNlIHBvbGljZQ%3D%3D Tindo sasa...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Australia itazindua Tume ya Kitaifa ya shirikisho kuhusu mauaji ya kigaidi ya Bondi Beach baada ya wiki kadhaa za shinikizo kutoka kwa jamii ya Wayahudi na familia za waathiriwa. Waziri Mkuu...
0 Reactions
0 Replies
104 Views
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa kauli kufuatia tukio la Januari 7, 2026, ambapo afisa wa Idara ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) alimpiga risasi na kumuua Renee Nicole Good (37), raia...
1 Reactions
0 Replies
277 Views
Ndege vita za Saudia zimeshambulia vikosi vya Yemen
5 Reactions
36 Replies
741 Views
Rais wa Colombia Gustavo Petro ameapa kuitetea nchi yake dhidi ya kile alichokiita vitisho kutoka kwa Rais wa Marekani Donald Trump. Kupitia mtandao wa kijamii, Petro, ambae aliwahi kuwa...
3 Reactions
8 Replies
377 Views
Back
Top Bottom