Wakati waandamanaji wakijitokeza mitaani kila usiku nchini Iran, viongozi kutoka maeneo mbalimbali duniani wanakutana na hali ya kutokujua ikiwa Jamhuri ya Kiislamu inaweza kuangushwa — tukio...
Baada ya miaka mitatu ya ukimbizi wa kiserikali mjini Port Sudan, Serikali ya mpito ya Sudan imerejea rasmi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.
Hatua hii ni alama ya ushindi kwa jeshi la...
Lengo la Israel ni kutaka kutengeneza fitina ndani ya Iran ili kutengeneza mazingira ya utawala wa sasa kupinduliwa.
Utawala huu wa Kiislam uliingia kwa mapinduzi ya 1979 (wakati sisi tuko busy...
Iran imesema iko tayari kwa vita endapo Marekani itaingilia kati, kufuatia ukandamizaji mkali wa maandamano ya kupinga serikali uliosababisha vifo vya mamia ya raia. Akizungumza Jumatatu asubuhi...
Malaysia na Indonesia zimezuia matumizi ya Grok, roboti ya akili bandia (AI) inayomilikiwa na Elon Musk kupitia mtandao wa X, baada ya kubainika kuwa inatumiwa kutengeneza deepfake za kingono...
JUST NI REALITY VIEW , NGUVU KUBWA INATUMIKA KUHAKIKISHA MALI (RASILIMALI ) ZA NCHI MOJA ZINAPITIA , NA NI LAZIMA ZIPITE KWENYE NCHI KUBWA YENYE NGUVU KIJESHI ILI TUU MAISHA...
Vyanzo vya Iran vinadai kwamba Reza Kasab, kamanda wa kitengo cha makombora cha Iran huko Kashan, aliuawa wakati ndege isiyo na rubani ya kujitoa mhanga iligonga gari lake na yeye kuteka tea ndani...
Taifa la Myanmar linaendelea na zoezi la kupiga kura katika awamu ya pili ya uchaguzi, ambao hadi sasa umetawaliwa na chama kinachoungwa mkono na jeshi linalotawala, huku serikali ya kijeshi...
Ayatollah ameonywa athubutu kuua hao waandamanaji, atashushiwa mavitu na kuwahishwa kule kwa mabikira, aache watu waikomboe nchi yao kutoka kwa uzombi wa dini...
Hapa chini ni muhtasari wa historia ya hivi sasa na yanayoendelea nchini Iran — hasa jinsi ilivyofikia hali ya sasa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, pamoja na harakati kubwa za umma:
1. Asili ya...
Kwa mujibu wa chombo cha habari cha kimataifa Reuters, Serikali ya Rais Donald Trump inadaiwa kufikiria kutoa malipo ya maelfu ya dola kwa kila mkazi wa Greenland kama sehemu ya mpango wa...
Raia wa Iran wanajitoa muhanga maana kuuaga uislamu unapaswa uchinjwe kabisa, hili hapa andiko lao 'Whoever changed his Islamic religion, then kill him.'" Sahih al-Bukhari 6922
Taratibu wananchi...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema bajeti ya kijeshi ya Marekani kwa mwaka 2027 inapaswa kuwa dola trilioni 1.5 (sawa na takribani Shilingi za Tanzania trilioni 3.6 ), ikiwa ni ongezeko kubwa...
Aisee mrusi ni habari nyingne
Hili kombola likiwa ndo linafyatuliwa linatoka na kasi ya 6000km/hr na hapo ndo linapooneka tu
Baada ya hapo alionekani tena kwenye rada wala wapi linatoka kwenye...
Rais wa Côte d'Ivoire, Alassane Ouattara, amekubali kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Robert Beugre Mambe pamoja na serikali yake siku ya Jumatano, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya rais.
Hatua hiyo...
Marekani, taifa lililojengekwa kwa ujambazi na utumwa, limerudia asili yake.
Leo, limechukua mafuta ya Venezuela.
Kesho, hatujui litachukua madini ya nani.
Kesho kutwa, hatujui litawachukua...
Donald Trump says it is “up to” Chinese President Xi Jinping whether China takes over Taiwan.
“He (Xi) considers it to be a part of China, and that’s up to him what he’s going to be doing,” Trump...
Serikali ya Marekani imeishutumu Rwanda kwa kutotekeleza kwa uaminifu makubaliano ya amani yaliyotiwa saini Washington yanayolenga kuishia machafuko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.