Waziri wa Mambo ya ndani Venezuela asema idadi ya vifo katika shambulio la Marekani ni watu 100

Waziri wa Mambo ya ndani Venezuela asema idadi ya vifo katika shambulio la Marekani ni watu 100

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,946
Reaction score
2,987
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Venezuela, Diosdado Cabello, amesema katika shambulio la Marekani lililomuondoa madarakani Rais Nicolous Maduro ilisababisha idadi ya vifo ya watu 100

Hapo awali, Caracas haikuwa imetoa idadi ya waliouawa, lakini jeshi lilichapisha orodha ya majina 23 ya wanajeshi wake waliofariki. Maafisa wa Venezuela wamesema kuwa sehemu kubwa ya kikosi cha ulinzi cha Maduro iliuawa “kwa damu baridi,” huku Cuba ikisema kuwa wanajeshi na maafisa wa ujasusi wake waliokuwapo Venezuela pia waliuawa.

1767855237673.png


1767855260899.png

===========

Venezuela's interior minister Diosdado Cabello said late on Wednesday that 100 people died in the U.S. attack which removed President Nicolas Maduro from power on Saturday.

Caracas have not previously given a number for those killed, but the army posted a list of 23 names of its dead. Venezuelan officials have said a large part of Maduro's security contingent was killed "in cold blood," and Cuba has said of its military and intelligence services in Venezuela were killed.

Source: Reuters
 
Sisemi kuuawa ni halali lakini hawafikii aliouwa sa100,na America ameuwa watu wasio wa taifa lake hapa kwetu sa100 aliuwa ndugu za waliomchagua ili awaongoze.

Yaani walitoka kumchagua asubuhi jioni wakaweka matanga ya ndugu zao,ajabu hii!
 
.."damu baridi"..(cold blood)!Mleta uzi,epuka kutuletea taarifa kwa tafsiri "sisisi "!Utaua watu kwa kuvunja mbavu zao.
 
Laana hii...
Sisemi kuuawa ni halali lakini hawafikii aliouwa sa100,na America ameuwa watu wasio wa taifa lake hapa kwetu sa100 aliuwa ndugu za waliomchagua ili awaongoze.

Yaani walitoka kumchagua asubuhi jioni wakaweka matanga ya ndugu zao,ajabu hii!
 
Back
Top Bottom