Cuba imethibitisha kwamba wanajeshi wake 32, waliotambuliwa kama wanajeshi na polisi, waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani iliyosababisha kukamatwa kwa kiongozi wa Venezuela Nicolás Maduro...
Ndege za jeshi la marekani zinaingia kwa wingi uingereza na nchi zingine za ulaya ikiwemo uturuki
Inaongeza wasiwasi kwamba huenda Iran itakumbwa na kile kilichoikumba Venezuela
Iran kwa upande...
Katika enzi ambapo utandawazi na Mapinduzi ya Nne ya Viwanda yanapokutana, mageuzi ya kidijitali yamekuwa nguvu muhimu ya kuhimiza maendeleo. Kwa bara la Afrika, mageuzi ya kidijitali si kama tu...
Ndege nyingi za Jeshi la Anga la Marekani zimeonekana zikiondoka katika kambi mbalimbali nchini Marekani na pia kwenye kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Uingereza, zikielekea Mashariki ya Kati...
Russia imeivamia Ukraine, inaua watu, uchumi etc etc
China "inaikalia" Taiwan kinyume na matakwa ya wananchi wa Taiwan. Leo wanatoka na matamko ya kuilaani USA.
Moral authority hawana kuisema USA!
Kumbe Warusi ni hamna kitu[emoji23] unajua natype huku nacheka tu washirika wake wananyolewa tu yeye yupo tu.
Ukiachana Cuba, Venezuela ndo alikua mshirika wa uhakika wa Moscow kwenye eneo la...
Raisi wa Marekani Donald Trump ameidhinisa idara ya Ujasusi ya Marekani CIA kuanza mchakato wa kuuondoa utawala wa raisi wa Venezuela Nicolas Maduro, baada ya kiongozi huyo kukataa kufanywa...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema serikali ya mpito ya Venezuela imekubali kuipatia Marekani mamilioni ya mapipa ya mafuta yatakayouzwa kwa bei ya soko la kimataifa, huku mapato yakielezwa...
Serikali ya Marekani imeishutumu Rwanda kwa kutotekeleza kwa uaminifu makubaliano ya amani yaliyotiwa saini Washington yanayolenga kumaliza machafuko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo...
Serikali ya Burkina Faso imesema imefanikiwa kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Ibrahim Traoré, ikimtuhumu aliyekuwa rais wa mpito, Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba, kuwa mpangaji...
Kufuatia Operesheni ya kumkamata Rais Maduro, Serikali ya Marekni ilitoa taarifa kuwa mtu wa ndani ya Serikali ya Venezuela na mshirika wa CIA alisaidia kuwezesha kujua mienendo ya Rais Maduro na...
Bei ya mafuta duniani ilishuka baada ya taarifa kwamba Marekani imefikia makubaliano na Venezuela ili kupokea hadi dola bilioni 2 za mafuta yaliyokuwa yakipelekwa China, hatua iliyosababisha...
Baraza la Ulinzi la Kitaifa la Iran limetoa taarifa inayopendekeza kwamba linaweza kuanzisha shambulio la mapema dhidi ya Israeli(Preemptive-Strike)‼️
"Usalama, uhuru, na uadilifu wa eneo la Iran...
Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa tathmini "mbinu tofauti" zitakazosaidia kuchukua eneo la Greenland, ikiwa ni pamoja na matumizi ya kijeshi, White House ilisema.
Ikulu ya White House...
🚨 ISRAELI YAFUNGUA ULINZI WA MPAKA WA KIZAZI KIJACHO
Magari yanayojiendesha, ndege zisizo na rubani, na ndege nyepesi sasa zinaunganishwa katika mfumo mmoja wa ulinzi wa mpaka unaoendeshwa na AI...
Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Venezuela wa 2024, María Machado mpinzani aliyekuwa na nguvu na akimsumbua Maduro alizuiwa na Tume ya Uchaguzi (CNE) kugombea. Alipigwa "ban" ya kisiasa. Viongozi wengine...
Watu wengi mtakuwa mmeiona hii video ya Donald Trump akisema "we want our oil back" Tafsiri ya karibu ni "tunataka turudishiwe mafuta yetu". Trump anaonekana akidai hadharani kuwa mafuta ya...
Raia wa Marekani walijitokeza barabarani Chicago na Washington Jumamosi kupinga hatua ya kijeshi ya Marekani nchini Venezuela, wakisema ni uamuzi wa kifalme na wa kibeberu ambao haukupitishwa na...
Baada ya taarifa kusambaa kuwa rais wa Venezuela alichukuliwa na vikosi vya Marekani, wengi waliuliza swali moja: Urusi na China walikuwa wapi? Kwa nini hawakuingilia kumlinda mshirika wao?
Jibu...
Kiongozi wa upinzani wa Venezuela aliyeondolewa madarakani, Maria Corina Machado, amemwambia Sean Hannity kuwa anataka kumpa Donald Trump Tuzo yake ya Amani ya Nobel baada ya Rais huyo kukataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.