Hawa watakuja kujuta kama Walibya tu.
Kwa tuliowahi kuishi Iran tunajua kule viongozi wao na wananchi wao wana msemo wao kwamba "Iran is made for Iranians".... huo msemo hutumika kulenga kwenye...
Iran (Uajemi) ni Taifa la kale, sawa ilivyo kwa Syria, Iraq (Babylon), Galatia & Efeso (Uturuki), Rumi (Italy), Korinto (Greece), Misri na Kush (Ethiopia)
Iran, baada ya kuingiliwa na misimamo...
Iran iliombwa, baada ya siku kadhaa za majadiliano nyeti ya kidiplomasia, kujiondoa katika mazoezi ya kijeshi ya nchi za BRICS yaliyokuwa yakifanyika kwenye pwani ya Afrika Kusini na kukubali...
United States President Donald Trump has said the US has carried out a “large-scale strike” against Venezuela and its leader, President Nicolas Maduro.
In a post on Truth Social, Trump claimed...
“Once again, our joint interagency forces sent a clear message this morning: ‘there is no safe haven for criminals,'” it said.
It did not say why the tanker was targeted or offer further...
Greenland, kisiwa kikubwa cha Aktiki kilicho sehemu ya Ufalme wa Denmark ambacho pia Trump anakimezea mate , kiko takribani kilomita 3,200 kaskazini-mashariki mwa Marekani. Kina utajiri mkubwa wa...
Tusidanganyane kwamba unataka kupika pilau kwa kiasi cha shilingi 3000 kila kitu.
Bila hawa wenzetu wasingekuwa na kuweka pesa sana kwenye tafiti leo Japan wasingekuwa na teknolojia kubwa sana...
Botswana imethamini utawala bora kama vile almasi
Mwenendo wa nchi unaonyesha kwamba majaliwa ya asili si majaaliwa wala laana utawala huamua matokeo.
‘Laana ya rasilimali’ au kitendawili cha...
Raia wa Iran wamamua liwalo na liwe, hawataki kuongozwa na dini ya muarabu.... Wanataka uhuru.
Kawaida Waajemi, yaani Persians huwa watu wenye akili sana, ukisoma historia yao kabla dini ya...
Zaidi ya watu 500 wameuawa katika machafuko yanayoendelea Iran, kundi la haki za binadamu limesema Jumapili, huku Tehran ikionya kuwa itashambulia kambi za kijeshi za Marekani endapo Rais Donald...
Wakuu,
Nimekutana na clip hii huko duniani na nimepata maswali sana
Nimeona kuna huyu jana kashika bango akiwa anataka kile kilichofanyika kule Venezuela kifanyike huko huko South Africa...
Iran Inapo Wanyonga Wasaliti hadharani Hua Inamaanisha Tazama Venezuela imempoteza kiongozi mashuhuri kisa tamaa ya Fedha.
“Hakuna Rais huchukuliwa kama kuku bila usaliti wa ndani” Huu ni ukweli...
Wizara ya Ulinzi ya Denmark imesema wanajeshi wa nchi hiyo wana wajibu wa kufyatua risasi na kushambulia moja moja, hata bila kupata amri kutakuwa na jaribio lolote la kuivamia Greenland kwa...
Mnaokaa na kusubiri kuanguka kwa utawala wa Iran mtasubiri sana.
Hakuna serikali ya Iran itayoanguka kwa wakati huu.
Wananchi washashtukia mchezo mapema tu US na Israel wakiingilia ndo hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.