Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Nafikiri hii tabia ya kutowajibka ndio imetufikisha happa tulipo;;ndugu zangu naona kwa tv kumbe jengo hili n ubia wa bw ladha na nhc;ndugu yangu nehe;mia tumekuwa tukiamini uwezi saini cheki...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu, Nimepita hapa kuwamegea kidogo mambo machache ya kustajabisha niliyoyaona wiki tatu zimepita nikiwa nimetembelea Manispaa ya Shinyanga. Mambo yenyewe ni:- 1.Mji kuna vumbi...
2 Reactions
50 Replies
9K Views
Sio sababu ya kaya ndio mseme vijana wanakua wezi... Sio sababu ya kaya ndio mseme wabunge wanatukana... Sio sababu ya kaya ndio mseme Mimi Malaya.. Sio sababu ya kaya mseme vijana wamepoteza...
1 Reactions
4 Replies
779 Views
1. Mtu anakuona umejilaza na macho umefunga anakuuliza umelala?..... Hapana najaribu kufa. 2. Mvua inanyesha halafu unatoka nje kisha mtu anakuuliza unakwenda na hii mvua?..... Hapana nitakwenda...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
Jibu swali lolote kati ya yafuatayo ambayo yatakuwa yamekugusa na unayo majibu. 1. Kitu gani umewahi kufanya ambacho haujivunii nacho daima? 2. Kitu gani umewahi kufanya ila unajutia siku zote...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Nilishangaa sana juzi pale wale wasomeshaji walipolipuka kwa shangwe baada ya kupewa peremende. Lakini sawa hata watoto ukiwaletea peremende huwa wanashangilia sana. kazi njema wasomeshaji.
1 Reactions
1 Replies
790 Views
Habari wanajamii forum nimekuwa nikifatilia sana hizi tamthilia kama LEGEND OF THE SEEKER,MERLIN,na zingine zinazoendana na hizo lakini nimegundua hizi tanthilia za hawa jamaa zinatumia akili...
0 Reactions
3 Replies
862 Views
MBINGA, RUVUMA: Mwanafunzi wa darasa la tatu wa shule ya msingi Lukai iliyopo kijiji cha Amani Makolo amekutwa na ujauzito wa miezi minne aliosema aliupata baada ya kubakwa akiwa anatoka kanisani...
0 Reactions
137 Replies
13K Views
1:mkimaliza kuongea mniambie niendelee kufundisha 2:baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule 3:kama unajua kuliko Mimi njoo ufundishe wewe 4:ulikuja peke yako na utaondoka peke...
6 Reactions
61 Replies
7K Views
Wanajamvi leo mkusanya kodi amenidai kodi ya takataka kwenye kiofisi changu cha tigo pesa cha ajabu ofisi yangu haina takataka na wala sijawahi ona gari ya takataka ikipita...jamani au ni tapeli...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu nadhani kwa hali ilipofikia mtu pekee ambaye naona ataimudu wizara ya nishati ni Mh Makonda. Pamoja na mapungufu yake ila huyu bwana ni mbunifu na mpambanaji, nafikiri akipewa wizara ya...
9 Reactions
72 Replies
6K Views
Wakuu Fast jet ilikuwa inasemekana ndio kampuni bora zaidi ya ndege isiyokuwa ya kiserikali lakini kampuni hii wamekuwa wababaishaji sana sasa hivi wa huduma mbovu zisizokuwa za kueleweka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sina uhakika kama mashine ya kuoshea vyombo ipo! Lakini akitokea mtu akaibuni aina ya mashine yakuoshea vyombo vya nyumbani itatusaidia Sana ss mabachela na kutuondolea hii tabu tunayopata...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
UOGA NA AIBU NDO MUHIMIL MKUU WA UMASIKINI NA UFUKARA. Leo hii mtaani wamejaa Graduates, Majumbani wamejaa Magraduate,Kazini watu wanafanya kazi huku wana nung'unika tu. Leo hii Wazazi/walezi...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Kumekuwa na wimbi la watu kuwatumia walemavu kama mtaji kwa maslahi binafsi. Suala hili limekuwa po kwa muda ila naona kama wanateswa juani wameeba vikombe na vikapu vya kuombea chochote. Mbezi...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Mtwara. Abiria wanaosafiri katika msimu huu wa kuelekea sikukuu wametahadharishwa kutokula au kunywa vitu watakavyopatiwa ndani ya magari na watu wasiowafahamu. Pia wametakiwa kutoa taarifa kwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna mtu anashauri eti zile dola zilizokamatwa JKNIA kwa kuingizwa nchini bila kufuata utaratibu nazo zichomwe moto kama vifaranga vilivyoingizwa pia bila kufuata utaratibu.. ili kuonesha...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wazungu kwanza tukubali ni watu wajanja sanana IQ zao sio za kawaida yaani kwanza tu kutitawala hiyo ni kigezo tosha. Wazungu walikaa chini wakaona moja ya njia za kufanya watu hasa Waafrica wawe...
0 Reactions
4 Replies
903 Views
Tofauti na mikoa mingine huku maisha ni nafuu sana Pia kuna fursa za aina tofauti hasa kilimo uvuvi na mifugo Gharama za ujenzi ni nafuu. Na hali ya hewa ni nzuri kupindukia Nafikiri kustaafia...
20 Reactions
222 Replies
41K Views
Nimesikiliza kwa mshtuko na mshangao mkubwa habari kwamba baadhi ya wanasiasa wa Zanzibar hasa wajumbe wa Baraza La Wawakilishi wanataka upelekwe mswada katika Baraza hilo wa kuongeza muda wa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…