getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,824
Wakuu
Fast jet ilikuwa inasemekana ndio kampuni bora zaidi ya ndege isiyokuwa ya kiserikali lakini kampuni hii wamekuwa wababaishaji sana sasa hivi wa huduma mbovu zisizokuwa za kueleweka..
madharani huduma ya ndege kutoka Dar kwenda mbeya imekuwa na usumbufu mkubwa sana.! Wanaa ahirisha safari zao mara kwa mara.!
Kwa hili Fast jet hamfai kuelezwa kuwa ni kampuni bora ya huduma za ndege Nchini.
Fast jet ilikuwa inasemekana ndio kampuni bora zaidi ya ndege isiyokuwa ya kiserikali lakini kampuni hii wamekuwa wababaishaji sana sasa hivi wa huduma mbovu zisizokuwa za kueleweka..
madharani huduma ya ndege kutoka Dar kwenda mbeya imekuwa na usumbufu mkubwa sana.! Wanaa ahirisha safari zao mara kwa mara.!
Kwa hili Fast jet hamfai kuelezwa kuwa ni kampuni bora ya huduma za ndege Nchini.