mtanganyika mpya
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 424
- 302
Hili suala mafuta ya petrol na diesel kuendelea kupanda bei wakati katika soko la dunia mafuta bei imeshuka nashindwa kuelewa nafasi ya EWURA katika hii biashara naoana kama wanaongeza bei kuwaufaisha wafanya biashara wakati watumiaji tunazidi kuumia.