Basi ilikuwa trh 24 siku 1 kabla Christmas kama kawaida maza na mshua wakaniambia twende mjini kununua nguo. Basi nikajiandaa fasta huku akili yangu ikijua lazima kile kiatu ninunue.
Basi...
Wakuu embu nihabarisheni kwa uelewa wangu
Nimesikia from clouds media. Kuwa Bodi ya
Bima ya Amana itawalipa Wateja kiasi cha juu
1.5m bila kujali mteja alikuwa na kiasi gani .
Wenye kiwango...
Nimekaa Hapa ninatafakari mtu anawezaje kuishi kama mashetani?
Sababu ya kumfanya aishi Kama shetani ni ipi?
Je tukiishi kama mashetani ni faida au hasara ipi italikumba taifa?
Je mkuu...
Meneja wa wakala wa Majengo TBA mkoa wa Kigoma Mhandisi Mgalla Mashaka amekamatwa na polisi akituhumiwa kushindwa kukarabati shule ya sekondari Kigoma kwa wakati licha ya kupewa zaidi ya shilingi...
Wiki iliyopita palikuwa na mjadala uliohusisha Sumatra, Taboa na Chama cha kutetea Abiria Chakua ukirushwa live na ITV. Hii leo kwa mujibu wa taarifa ya habari 20:00hrs palikuwa na mkutano...
Naona KINAPA wakishirikiana na wenyeji wanaozunguka maeneo ya karibu ya mlima Kilimanjaro wamefanya kazi nzuri na sasa ile hali ya barafu juu ya mlima inarudi kama zamani.
Hii hali ilikuwa ni kwa...
Habari za usiku huu:
Hivi kuna ukweli kwamba kama mtu hajalala usiku basi ni Popo na kama ni Bundi ni Mchawi?
Hivi kuna ukweli kwamba viongozi wetu wanahubiri Tanzania ya Viwanda kwenye Majukwaa...
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa majini na nchi kavu, SUMATRA imeonja joto ya jiwe katika ukumbi wa polisi Mesi Arusha, pale ilipoachwa soremba na wamiliki wa magari ya usafirishaji baada ya kutoka...
Wakuu salam,
Upo ushenzi ambao niliwahi kuufanya nikiwa China mwaka ulioishia juzi ambao mpaka leo unaniumiza kichwa kweli.
Kwanza ukiwa China ni marufuku kubadili fedha ya China zaidi ya UAN...
Kikosi cha kupambana na rushwa Kiteto kinawashikilia maafisa elimu wawili wilayani Kiteto kwa tuhuma za kutumia mqdaraka yao vibaya
Taarifa za uhakikia zinaeleza kuwa moja ya sababu ya...
Ikiwa inajulikana kwamba Punda huwa ana ngozi ngumu na ni mharifu sana wa magari hasa madogo pindi anapogongwa leo kaipata fresh.
Maeneo ya Nanja Wilayani Monduli Mkoani Arusha leo january 04...
Siku moja baada ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kutangaza kuanza kampeni ya miezi mitatu ya kuwasaka wanufaika wa mikopo ambao mikopo yao imeshaiva, wadaiwa waanza...
Habari wadau;
Mimi kitaaluma ni mwanasaikolojia na kwa muda sasa nimekuwa nikifanya study ya personality development kuanzia utotoni mpaka uzeeni.Katika tafiti zangu pia ninatazama maswala ya...
January 04, 2018
BARUA YA WAZI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MHE(DR.) JOHN POMBE MAGUFULI
Mhe.Rais, kwa heshima na taadhima naomba nianze kwa...
Mamlaka husika ujumbe mzito huo kuhusu bidhaa zetu za ndani katika kuelekea uchumi wa viwanda na nchi kufikia uchumi wa kati ifika mwaka 2025.
Utatuzi wa Changamoto hii.......
JIHADHARI, HAYA NDIYO YANAITWA UCHOCHEZI KWASASA.
Kama hujajua ni kuwa ni rahisi sana kuunganishwa kwenye makosa ya uchochezi.
Sheria mpya ya Huduma za Habari ya mwaka 2016...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Jaffary Mohamed amethibitisha kuwa wanamshikila Nyandaro Kusoya mkazi wa kijiji cha Nyang'oma kwa tuhuma za kumchoma moto mikono yote mtoto wa kaka yake, Sarah...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro inamshikilia karani wa Mahakama ya Mwanzo ya Maili Sita wilayani Hai, Rose Urassa (58) kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa...
Naomba swali hili liwe mahususi kwa jeshi la polisi na wapenda usalama wote. Huu mtaa wa keko uko jijini Dar es salaam katika manispaa ya temeke. naweza kusema ni mtaa tata tangu enzi na enzi na...
Marafiki wawili*(Elias na Ben)* walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.
Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo...