Jinsi Magaidi wanavyotengenezwa

Jinsi Magaidi wanavyotengenezwa

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,358
Reaction score
4,631
Habari wadau;
Mimi kitaaluma ni mwanasaikolojia na kwa muda sasa nimekuwa nikifanya study ya personality development kuanzia utotoni mpaka uzeeni.Katika tafiti zangu pia ninatazama maswala ya sexuality development na Gender identity.Mara nyingi huwa ninapenda kuyatafiti ya maswala ambayo yaka katika grey areas katika tamaduni,siasa,mapenzi n.k.Kiasi kikubwa cha tafiti zangu kwa sasa sio kwa ajili ya public consumption hasa kwa kuwa nyingi ya hizi mada ni sensitive na mahitimisho yangu ni controversial.

Leo nataka nizungumzie suala la Ugaidi(Terrorism) na namna ugaidi unavoanza.Kwanza nifafanue kidogo maana ya ugaidi kwamba ni matumizi ya vitisho kwa ajili ya kulazimisha kusikilizwa.Wengi huishia hapo na mara zote tumefikia kuwaona magaidi kuwa ni watu wabaya bila kusahau kuwa kimsingi watu hufanya ugaidi baada ya kufanyaiwa ugaidi wa kimfumo(Systematic Terrorism)

Ninapozungumzia Systematic Terrorism nazungumzia matumizi ya nguvu yaliyo ndani ya mfumo wa kijamii au kiserikali ambaye ama yanakubaliwa na wengi au hata wachache ambao wana nguvu.Mfano ni matumizi ya mamlaka ya kisiasa kuminya uhuru wa watu fulani,kutishia watu kuua wapinzani na kuwatishia.Mambo haya yote pamoja na utungaji wa sheria kandamizi ni namna ambazo zinatumika katika Systemic Terrorism.Systemic terrorism inaweza kuwa justified kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama,kulinda amani n.k.

Ingawa wakati yanapofanyika huwa watu wanaweza wasione madhara lakini ugaidi wa kimfumo mara nyingi hukua na kufika mahali na kuwa ni unyanya saji na dhuluma na matokeo yake baadhi ya wanajamii hujiona kama wao ndio wanaonyanyaswa.watendaji wa ugaidi huu hufika mahali wakaanza kuwa wabaguzi katika utekelezaji wa mambo hayo na hii upelekea baadhi ya watu kujiona kwamba wako marginalized.

Kama ilivyo kawaida ,ukandamizaji wowote haudumu.Hufika wakati yule mkandamizwaji huamua kutaka kujitetea na hapo ndipo huibuka aina ya magaidi wanaoogopwa na kuchukiwa zaidi.Hawa ni magidi ambao ni non selective na ambao huuwa watu ambao hawana hatia na huwa tayari kufa katika kutetea kila wanachoamini.Hawa hujitoa mhanga maisha yao wenyewe ila wadai haki yao ni tofauti na magaidi wa systemic ambao ni selective na huwa wanalinda maisha yao.

Magaidi hawa wengi wao hutengenezwa kama matokeo ya mfumo tishio.


Nini lengo la andiko langu hili?

Lengo langu ni kuwaasa wana JF muyatazame kwa karibu matukio yote yanayotokea popote hapa nchini ambayo yanalenga kuwakandamiza watu kwa namna yoyte ile.Kama mko katika mfumo na mna nafasi ya maamuzi basi mfahamu kuwa pamoja na wanadamu kuwa nauwezo wa kuvumilia lakini uwezo wakuvumilia unamwisho wako hivyo nimuhimu mzingatie yafuatayo:

  1. Kwanza wasikilizeni na kwa kuwasikiliza namaanisha muwaache waseme.
  2. Pili kama kuna mifumo kandamizi ambayo haina maslahi ya msingi basi iondosheni,iwe ni sheria kandamizi,au watu wenye element za ubaguzi basi waondoeni kwani hofu huzaa chuki na chuki huzaa ugaidi
  3. Tatu nchi hii niyetu sote,Watanzania tunapendana,tusianze kufundishana chuki.tushirikiane kujenga nchi ila tusinyanyasane bali tuheshimiane
  4. Wanasiasa wawe makini na kauli zao lakini hata inapobidi kusema basi watu washindane kwa hoja sio viroja
  5. Viongozi wa dini tuepuka kauli tata
  6. Viongozi wa serikali tuheshimu wananchi,haitoshi tu kusema bali na matendo yetu yaonyeshe hilo
  7. Wananch tuheshimu serikali ili tusiiogopa,hii ni serikali yetu tuwasaidie wafanye kazi vizuri
Nitoe Angalizo:Walioko Magerezani ni Watanzania kama ambavyo walioko huru.Walioko makaburini ni raia watanzania kama walio hai.Wanaotawala ni raia wa Tanzania kama walivyo wapinzani.Wajinga ni raia wa Tanzania kama walivyo werevu.Tusifundishane uoga kwani uoga huzaa chuki na chuki ni adui wa kwanza wa Tumaini la Watu

I stand to be corrected


Wasalaam

PBK
 
Habari wadau;
Mimi kitaaluma ni mwanasaikolojia na kwa muda sasa nimekuwa nikifanya study ya personality development kuanzia utotoni mpaka uzeeni.Katika tafiti zangu pia ninatazama maswala ya sexuality development na Gender identity.Mara nyingi huwa ninapenda kuyatafiti ya maswala ambayo yaka katika grey areas katika tamaduni,siasa,mapenzi n.k.Kiasi kikubwa cha tafiti zangu kwa sasa sio kwa ajili ya public consumption hasa kwa kuwa nyingi ya hizi mada ni sensitive na mahitimisho yangu ni controversial.

Leo nataka nizungumzie suala la Ugaidi(Terrorism) na namna ugaidi unavoanza.Kwanza nifafanue kidogo maana ya ugaidi kwamba ni matumizi ya vitisho kwa ajili ya kulazimisha kusikilizwa.Wengi huishia hapo na mara zote tumefikia kuwaona magaidi kuwa ni watu wabaya bila kusahau kuwa kimsingi watu hufanya ugaidi baada ya kufanyaiwa ugaidi wa kimfumo(Systematic Terrorism)

Ninapozungumzia Systematic Terrorism nazungumzia matumizi ya nguvu yaliyo ndani ya mfumo wa kijamii au kiserikali ambaye ama yanakubaliwa na wengi au hata wachache ambao wana nguvu.Mfano ni matumizi ya mamlaka ya kisiasa kuminya uhuru wa watu fulani,kutishia watu kuua wapinzani na kuwatishia.Mambo haya yote pamoja na utungaji wa sheria kandamizi ni namna ambazo zinatumika katika Systemic Terrorism.Systemic terrorism inaweza kuwa justified kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama,kulinda amani n.k.

Ingawa wakati yanapofanyika huwa watu wanaweza wasione madhara lakini ugaidi wa kimfumo mara nyingi hukua na kufika mahali na kuwa ni unyanya saji na dhuluma na matokeo yake baadhi ya wanajamii hujiona kama wao ndio wanaonyanyaswa.watendaji wa ugaidi huu hufika mahali wakaanza kuwa wabaguzi katika utekelezaji wa mambo hayo na hii upelekea baadhi ya watu kujiona kwamba wako marginalized.

Kama ilivyo kawaida ,ukandamizaji wowote haudumu.Hufika wakati yule mkandamizwaji huamua kutaka kujitetea na hapo ndipo huibuka aina ya magaidi wanaoogopwa na kuchukiwa zaidi.Hawa ni magidi ambao ni non selective na ambao huuwa watu ambao hawana hatia na huwa tayari kufa katika kutetea kila wanachoamini.Hawa hujitoa mhanga maisha yao wenyewe ila wadai haki yao ni tofauti na magaidi wa systemic ambao ni selective na huwa wanalinda maisha yao.

Magaidi hawa wengi wao hutengenezwa kama matokeo ya mfumo tishio.


Nini lengo la andiko langu hili?

Lengo langu ni kuwaasa wana JF muyatazame kwa karibu matukio yote yanayotokea popote hapa nchini ambayo yanalenga kuwakandamiza watu kwa namna yoyte ile.Kama mko katika mfumo na mna nafasi ya maamuzi basi mfahamu kuwa pamoja na wanadamu kuwa nauwezo wa kuvumilia lakini uwezo wakuvumilia unamwisho wako hivyo nimuhimu mzingatie yafuatayo:

  1. Kwanza wasikilizeni na kwa kuwasikiliza namaanisha muwaache waseme.
  2. Pili kama kuna mifumo kandamizi ambayo haina maslahi ya msingi basi iondosheni,iwe ni sheria kandamizi,au watu wenye element za ubaguzi basi waondoeni kwani hofu huzaa chuki na chuki huzaa ugaidi
  3. Tatu nchi hii niyetu sote,Watanzania tunapendana,tusianze kufundishana chuki.tushirikiane kujenga nchi ila tusinyanyasane bali tuheshimiane
  4. Wanasiasa wawe makini na kauli zao lakini hata inapobidi kusema basi watu washindane kwa hoja sio viroja
  5. Viongozi wa dini tuepuka kauli tata
  6. Viongozi wa serikali tuheshimu wananchi,haitoshi tu kusema bali na matendo yetu yaonyeshe hilo
  7. Wananch tuheshimu serikali ili tusiiogopa,hii ni serikali yetu tuwasaidie wafanye kazi vizuri
Nitoe Angalizo:Walioko Magerezani ni Watanzania kama ambavyo walioko huru.Walioko makaburini ni raia watanzania kama walio hai.Wanaotawala ni raia wa Tanzania kama walivyo wapinzani.Wajinga ni raia wa Tanzania kama walivyo werevu.Tusifundishane uoga kwani uoga huzaa chuki na chuki ni adui wa kwanza wa Tumaini la Watu

I stand to be corrected


Wasalaam

PBK
Nilikuwa siamini kinachoendelea hapa kama kingelitokea Tazania tuliyoizoea ya mani na upendo. Nimeelewa kuwa wanaojilipua kumbe wana just course! (najua nitashambuliwa, but let me say it). Wapalestina kama wana feelings kama ulizozianisha, basi tuna wajibu wa kujitafakari tena uongozi wetu! Kwa mfano, hili la Lisu , Saanane, Azory etc yamekaa tayari kwenye nyoyo za watu, yapo yanawasukuma wafanye nini, na lini ...... tuyaepuke haya , bado tuna nafasi ya kurekebisha.
andiko lako ni zuri lakini Lumumba watasema ni uchocgezi!
 
mkuu nimesoma threa
d yako lkn bado sijapata kile nilichotalaji kukipata
lbda nikuulize swari au maswari
1. UGAIDI ni nini ?
2. ili mpaka tukio liitwe la KIGAIDI inatakiwa liwe la aina gani
3. ili mtu mpaka uitwe GAIDI unatakiwa uwe na VIGEZO gani ambavyo vitakutambulisha kuwa wewe ni GAIDI
4.GAIDI ni mtu wa aina gani hasa
mzungu;mwarabu,black ,black afrcan ,muislamu ,mwarabu mfunga vilemba ,mtu mwenye msimamo mkali wa dini, mkrsto,mtetea haki sawa mpagani, mbeba bendela nyeusi au ni mpinga ubaguzi wa rangi au ni yupi hasa
 
mkuu nimesoma threa
d yako lkn bado sijapata kile nilichotalaji kukipata
lbda nikuulize swari au maswari
1. UGAIDI ni nini ?
2. ili mpaka tukio liitwe la KIGAIDI inatakiwa liwe la aina gani
3. ili mtu mpaka uitwe GAIDI unatakiwa uwe na VIGEZO gani ambavyo vitakutambulisha kuwa wewe ni GAIDI
4.GAIDI ni mtu wa aina gani hasa
mzungu;mwarabu,black ,black afrcan ,muislamu ,mwarabu mfunga vilemba ,mtu mwenye msimamo mkali wa dini, mkrsto,mtetea haki sawa mpagani, mbeba bendela nyeusi au ni mpinga ubaguzi wa rangi au ni yupi hasa
Lengo langu sio kuelimisha ila kuchangamsha fikra,Gaidi ni mtu yeyote,anayefanya matendo ya kitisho kwa lengo la ama kueleze maoni au hisia zake au kudai haki yake.Mara nyingi magaidi huamini kuwa matendo yao yatafanya mambo yaende kama wanvyotaka na mara nyingine hutaka kisasi tu.Yote kwa yote Gaid aweza kuwa mtoto wako pale nyumbani anayeamua kuvunja sahani kwa sababu anataka kitu fulani kutoka kwako ingawa katika kupunguza makali huyo tutamuita mkaidi.

Gaidi hatambuliki kwa jina anatambulika kwa matendo kama unafahamu historia ya hivi karibuni basi huhitaji mifano.Ninachotaka kusisitiza hapa ni kitu kinaitwa retaliation ambacho ndicho ambacho hutokea pale mtu anapominywa na kunyanyaswa na kunyimwa uhuru.Wakati wa mvutano basi hutokea magaidi wakazaliwa na kujinasaba kama watu wanaosimamia maswala fulani
 
Habari wadau;
Mimi kitaaluma ni mwanasaikolojia na kwa muda sasa nimekuwa nikifanya study ya personality development kuanzia utotoni mpaka uzeeni.Katika tafiti zangu pia ninatazama maswala ya sexuality development na Gender identity.Mara nyingi huwa ninapenda kuyatafiti ya maswala ambayo yaka katika grey areas katika tamaduni,siasa,mapenzi n.k.Kiasi kikubwa cha tafiti zangu kwa sasa sio kwa ajili ya public consumption hasa kwa kuwa nyingi ya hizi mada ni sensitive na mahitimisho yangu ni controversial.

Leo nataka nizungumzie suala la Ugaidi(Terrorism) na namna ugaidi unavoanza.Kwanza nifafanue kidogo maana ya ugaidi kwamba ni matumizi ya vitisho kwa ajili ya kulazimisha kusikilizwa.Wengi huishia hapo na mara zote tumefikia kuwaona magaidi kuwa ni watu wabaya bila kusahau kuwa kimsingi watu hufanya ugaidi baada ya kufanyaiwa ugaidi wa kimfumo(Systematic Terrorism)

Ninapozungumzia Systematic Terrorism nazungumzia matumizi ya nguvu yaliyo ndani ya mfumo wa kijamii au kiserikali ambaye ama yanakubaliwa na wengi au hata wachache ambao wana nguvu.Mfano ni matumizi ya mamlaka ya kisiasa kuminya uhuru wa watu fulani,kutishia watu kuua wapinzani na kuwatishia.Mambo haya yote pamoja na utungaji wa sheria kandamizi ni namna ambazo zinatumika katika Systemic Terrorism.Systemic terrorism inaweza kuwa justified kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama,kulinda amani n.k.

Ingawa wakati yanapofanyika huwa watu wanaweza wasione madhara lakini ugaidi wa kimfumo mara nyingi hukua na kufika mahali na kuwa ni unyanya saji na dhuluma na matokeo yake baadhi ya wanajamii hujiona kama wao ndio wanaonyanyaswa.watendaji wa ugaidi huu hufika mahali wakaanza kuwa wabaguzi katika utekelezaji wa mambo hayo na hii upelekea baadhi ya watu kujiona kwamba wako marginalized.

Kama ilivyo kawaida ,ukandamizaji wowote haudumu.Hufika wakati yule mkandamizwaji huamua kutaka kujitetea na hapo ndipo huibuka aina ya magaidi wanaoogopwa na kuchukiwa zaidi.Hawa ni magidi ambao ni non selective na ambao huuwa watu ambao hawana hatia na huwa tayari kufa katika kutetea kila wanachoamini.Hawa hujitoa mhanga maisha yao wenyewe ila wadai haki yao ni tofauti na magaidi wa systemic ambao ni selective na huwa wanalinda maisha yao.

Magaidi hawa wengi wao hutengenezwa kama matokeo ya mfumo tishio.


Nini lengo la andiko langu hili?

Lengo langu ni kuwaasa wana JF muyatazame kwa karibu matukio yote yanayotokea popote hapa nchini ambayo yanalenga kuwakandamiza watu kwa namna yoyte ile.Kama mko katika mfumo na mna nafasi ya maamuzi basi mfahamu kuwa pamoja na wanadamu kuwa nauwezo wa kuvumilia lakini uwezo wakuvumilia unamwisho wako hivyo nimuhimu mzingatie yafuatayo:

  1. Kwanza wasikilizeni na kwa kuwasikiliza namaanisha muwaache waseme.
  2. Pili kama kuna mifumo kandamizi ambayo haina maslahi ya msingi basi iondosheni,iwe ni sheria kandamizi,au watu wenye element za ubaguzi basi waondoeni kwani hofu huzaa chuki na chuki huzaa ugaidi
  3. Tatu nchi hii niyetu sote,Watanzania tunapendana,tusianze kufundishana chuki.tushirikiane kujenga nchi ila tusinyanyasane bali tuheshimiane
  4. Wanasiasa wawe makini na kauli zao lakini hata inapobidi kusema basi watu washindane kwa hoja sio viroja
  5. Viongozi wa dini tuepuka kauli tata
  6. Viongozi wa serikali tuheshimu wananchi,haitoshi tu kusema bali na matendo yetu yaonyeshe hilo
  7. Wananch tuheshimu serikali ili tusiiogopa,hii ni serikali yetu tuwasaidie wafanye kazi vizuri
Nitoe Angalizo:Walioko Magerezani ni Watanzania kama ambavyo walioko huru.Walioko makaburini ni raia watanzania kama walio hai.Wanaotawala ni raia wa Tanzania kama walivyo wapinzani.Wajinga ni raia wa Tanzania kama walivyo werevu.Tusifundishane uoga kwani uoga huzaa chuki na chuki ni adui wa kwanza wa Tumaini la Watu

I stand to be corrected


Wasalaam

PBK

Umeandika mambo ya msingi sana,, Ila watawala huwa hawalijui ilo,, au huwa wanalijua sema tu kibri kinakuwa kimewajaa,,
hata Firauni Aliwafanyia kila mateso wana wa Israel, ,na Mungu alimneemesha Firauni alikuwa tajiri aswa, Nabii Musa alimpelekea kila ishara iliyotoka kwa Mungu Firauni ili tu awache huru na mateso wana wa israel, lakini bwana Firauni Ndio kama alipanda mori ya kufanya maasi kwa waja wa Mungu,,
Aliwatesa wana wa israel aswa,, na alifikia mpka kuwaua watoto wachanga wa kiume na kuwaacha hai watoto wa kike. Aliwatesa Kwa kipindi kisichopungua miaka thelasini mpka arobaini ya utuuzima wa Nabii Mussa,,, lakini wapi,, hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho duniani, mwisho wa siku Firauni na Jeshi lake na mawaziri wake,wote walizamishwa kwenye mto Nile, ,, na wale waliokuwa wanateswa miaka yote katika nchi,,Mungu akawanyanyua ndio wakawa watawala,

Kwaiyo hata haya madhira wanayopitia watanzania yakutekwa na watu wasiojulikana, ,wengine kupigwa risasi, na kuzuiliwa kusema ila kile wapendacho wakuu katika nchi,, Iko siku yatakwisha tu, Mungu ndio anajua yatakwishaje hata kama itachukua miaka,, kuna Nchi zilipita kwenye tawala za kikatili duniani,,lakini leo wale wale watawala waliokuwa wanafanyia hayo mateso na madhira, wengine wapo jela,na wengine wapo chini ya ardhi
 
Huu ni uchambuzi murua.

Tunasoma historia ili tusirudie makosa yaliyowahi kufanyika huko nyuma sehemu mbalimbali duniani na ambayo matokeo yake yalikuwa ni majanga kwa jamii husika.

Ili kuepukana na kujenga mifumo gandamizi ya kiutawala ambayo matokeo yake dhahiri ni majanga, jumuia ya kimataifa imeweka Tangazo la Haki za Binadamu (la UN) ambalo lina kanuni zinazopaswa zifuatwe na mataifa yote ili kujenga jamii zinazoheshimu haki na uhuru wa binadamu.

Hii ni hatua kubwa katika ustaarabu wa binadamu.

Pamoja na kwamba Tangazo la Haki za Binadamu limo katika katiba yetu, katiba hiyo hiyo inampa rais madaraka ya kiimla (autocratic powers) kitu ambacho ni kikwazo kwa mfumo wa kidemokrasia uliojengwa katika misingi ya mgawanyo wa madaraka, utawala wa sheria na checks and balances kuwepo. Matokeo ya hali hii ni kuwepo kwa utitiri wa sheria gandamizi ambazo zinaminya haki za raia.

Hivyo kwa mfumo wa kiutawala uliopo nchini, kama taifa Tanzania haiko salama.
 
Ili mada yako ikamilike napenda uzungumzie kile kinachoitwa FALSE FLAG TERROR ambayo kimsingi asilimia 85% ya matukio ya kigaidi kwa sasa duniani yanatokana na ugaidi huu.
 
Ili mada yako ikamilike napenda uzungumzie kile kinachoitwa FALSE FLAG TERROR ambayo kimsingi asilimia 85% ya matukio ya kigaidi kwa sasa duniani yanatokana na ugaidi huu.
Naamini kama siko sahihi False Flag Terror hutumiwa zaidi na hawa wanao advocate Systemic Terror huku lengo lao likiwa nikuendelea kuwakandamiza hawa ambao abaadye wakichoka hujeuka kuwa Magaidi kweli kweli.Naweza kosolewa
 
Back
Top Bottom