Kinga kingdom
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 769
- 847
Nimekaa Hapa ninatafakari mtu anawezaje kuishi kama mashetani?
Sababu ya kumfanya aishi Kama shetani ni ipi?
Je tukiishi kama mashetani ni faida au hasara ipi italikumba taifa?
Je mkuu anenapo Kauli hii hajatuuza kwa mashetani katika ulimwengu wa roho?
Am just meditating the statement!
Wajuvi wa mambo ya kiroho mnisaidie kudadavua
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Sababu ya kumfanya aishi Kama shetani ni ipi?
Je tukiishi kama mashetani ni faida au hasara ipi italikumba taifa?
Je mkuu anenapo Kauli hii hajatuuza kwa mashetani katika ulimwengu wa roho?
Am just meditating the statement!
Wajuvi wa mambo ya kiroho mnisaidie kudadavua
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app