Sueky
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 320
- 204
Salama lakini?
Binafsi nilitokea kumpenda sana Huyu dkt Slaa kipindi kile akiwa mwana siasa.
Hii ilichagizwa na Siasa zake na uwakilishaji wake wa Hoja zenye tafiti.
Napenda sana mtu wa data zenye tafiti za kutosha wakati wa kuongea kuwakilisha hoja.
Stlyle yake ya hotuba ilinivutia nimpende japo sikuwahi kumwamini hata siku moja sababu mimi huwa siamini wanasiasa.
Ningeomba Mheshimiwa Rais asimtupe mbali na Tanzania kimipaka.
Nasema hivyo kwasababu huyu ndugu Slaa bado anamachungu mengi sana na Taifa hili.Kilichompata ni ajali ya kisiasa.
Analo deni kubwa moyoni lakuwatumikia watanzania.
Huyu Ndugu angepewa wizara ningefurahi sana sana.
Najua anayo ndoto japokuwa siamini kama anaamini ataitimiza ndoto ndani ya CCM.
Binafsi nilitokea kumpenda sana Huyu dkt Slaa kipindi kile akiwa mwana siasa.
Hii ilichagizwa na Siasa zake na uwakilishaji wake wa Hoja zenye tafiti.
Napenda sana mtu wa data zenye tafiti za kutosha wakati wa kuongea kuwakilisha hoja.
Stlyle yake ya hotuba ilinivutia nimpende japo sikuwahi kumwamini hata siku moja sababu mimi huwa siamini wanasiasa.
Ningeomba Mheshimiwa Rais asimtupe mbali na Tanzania kimipaka.
Nasema hivyo kwasababu huyu ndugu Slaa bado anamachungu mengi sana na Taifa hili.Kilichompata ni ajali ya kisiasa.
Analo deni kubwa moyoni lakuwatumikia watanzania.
Huyu Ndugu angepewa wizara ningefurahi sana sana.
Najua anayo ndoto japokuwa siamini kama anaamini ataitimiza ndoto ndani ya CCM.