TANZIA: BURIANI MZEE PANJA
Mzee anayeaminika kuwa na umri mkubwa zaidi nchini, Ambilike Panja mkazi wa Ihanda wilaya ya Mbozi mkoani Songwe amefariki dunia akiwa na miaka 127.
Mtoto mkubwa wa...
Kumekua na kawaida kwa watu wanopandisha majini au mashetani au maruhani au mizimu kudai au kudaiwa kua na uwezo wa kuzungumza lugha ngeni isiyofahamika na yule mtu ambae jini linapanda kichwani...
Hivi hapo UDSM hakuna dressing Code?Mavazi wanayovaa baadhi ya wanafunzi hayana maadili.Chuo kikuu ni Taasisi nyeti na yenye heshima kwenye jamii.Suala la mavazi liangaliwe.
Mahakama Kuu imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda katika rufaa iliyokatwa na Jamhuri kupinga hukumu ya Mahakama ya Morogoro iliyokuwa imemuachia huru...
Juzi nilinuia kuwashtaki kwa mh Mbarawa hatimae jana mkandarasi angalau ameonyesha kuwajibika.
Nimetaarifiwa kuwa jana kuanzia mchana hadi usiku wa manane alianza kutengeneza kile kipande.Jambo...
Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Lushoto imewatia mbaroni watu wawili akiwemo askari mstaafu wa Jeshi la wananchi Sheubua Sempeho pamoja na mwalimu wa shule ya sekondari Edwin Sempeho kwa...
Wadau, nipo bank na runinga ya inaoneshaTBC wakionesha laivu mkutano wa CCM unaoendelea pale DODOMA, na waziri mkuu ndo anaongea ss hv.
Ambacho sijaelewa ni kwamba, huu ni mkutano wa CCM KAMA...
Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu, ilihali hajawahi hata kukusemesha, hana...
Najaribu kujiuliza tu,huu uhamisho unaendelea wa watumishi wa umma.huku wengi wao wakihama bila familia zao.yaani wanaacha waume au wake zao pamoja na watoto wao hapa Dar.hii ni kutokana na hali...
Naona Takukuru ya sasa imenoa meno!
Mwanasheria wa Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira(NEMC), Bernard Kongola na Polisi wawili wa kituo cha Mbweni wanashikiliwa na TAKUKURU kwa mada ya kuomba...
Naibu Waziri wa ujenzi Elias Kwandikwa awataka wakandarasi kuwa waadilifu na wazalendo,pia aamuru kuvunjwa jengo la ghorofa lililojengwa jirani na uwanja wa ndege.
Ukarabati wa ujenzi wa barabara...
Habari za asubuhi wana JF
Kwa masikitiko kabisa naomba niwasilishe hii hoja chungu. Taifa letu limejaa watu wanafki na wenye husda. Ni jambo la kawaida kabisa kuona watu wakimshangilia kiongozi...
Sikio la kufa kweli haliskii dawa!
Kuna jamaa anaitwa Deus ambaye ni miongoni mwa wanufaika wa msamaha wa Rais Magufuli kafanya balaa tena huko mtaani baada ya kuachiwa hivyo kapigwa tena nyundo...
Binafsi nafahamu nafahamu miradi kadhaa ya NSSF ambayo bila shaka inawaingizia mapato ya uhakika na ya sio na shaka kwa shirika la NSSF; mfano:
1.) Michango ya wanachama
1.1) Daraja la Kigamboni...
Habari za mihangaiko wanajamii wenzangu.
Kama mnavyojua Watanzania wenzangu tunaomboleza msiba ambao sio mdogo.
Labda nieleze moja kwa moja.
Leo mida ya mchana kuna mwanajeshi wa Congo (FARDC)...
Chama cha Walimu Tanzania kilianzishwa mwaka 1993 kwa lengo la kutetea haki za walimu Tanzania,Mwalimu yoyote by default anakua ni mwanachama wa chama cha Walimu Tanzania (CWT).
Kila mwezi walimu...
Uzi maalumu kwa wana JF walio zaliwa Mkoa wa Tanga hata kama haupo Tanga ila Tanga ndio Nyumbani basi husika Hapa,Dhumuni ni kufahamiana.
Tanga ndio mji unaoendelea kwa kasi Tanzania akiachana...
Fidelis Butahe, Mwananchi mwananchipapers@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Unaweza kusema mwaka 2017 ulianza na aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi...
Siyo siri kuna mambo ukiyasikia unatamani kuziba MASIKIO usiyasikie unatamani usizungumze na mtu kwa sababu unazungumza na MTU anakuambia mambo Yale Yale usiyopenda kusikia una pita sehemu...