FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,801
- 46,923
Binafsi nafahamu nafahamu miradi kadhaa ya NSSF ambayo bila shaka inawaingizia mapato ya uhakika na ya sio na shaka kwa shirika la NSSF; mfano:
1.) Michango ya wanachama
1.1) Daraja la Kigamboni
2.) Jengo la NSSF lililopo redcross
3.) Jengo la NSSF ilala boma
4.) Mzizima towers
5.) Housing projects mbalimbali
Nina shauku ya kujua kwamba hivi vyanzo vyote huwa vinaingiza kiasi gani kwa mwaka, na matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) ni kiasi gani, na salio (net income) ni kiasi gani? Kuna mtu yeyote anaejua humu kweli?
1.) Michango ya wanachama
1.1) Daraja la Kigamboni
2.) Jengo la NSSF lililopo redcross
3.) Jengo la NSSF ilala boma
4.) Mzizima towers
5.) Housing projects mbalimbali
Nina shauku ya kujua kwamba hivi vyanzo vyote huwa vinaingiza kiasi gani kwa mwaka, na matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) ni kiasi gani, na salio (net income) ni kiasi gani? Kuna mtu yeyote anaejua humu kweli?