STUKA M1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,432
- 7,024
Jaman, nyie Airtel huku pande za Lindi mbona mnazngua na sikukuu kama hii..!!
Nimenunua bando la maana hapa, ile nizame kwa mtandao nijivinjari na maburudani ila mtandao hata 3G haishiki.. Tatizo nn jamani...[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Nimenunua bando la maana hapa, ile nizame kwa mtandao nijivinjari na maburudani ila mtandao hata 3G haishiki.. Tatizo nn jamani...[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]