Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Najua kuna watu watanipinga lakini ukweli ni kwamba kuhusu hawa watu wanaotokea jamii ya watusi. Ambao asilimia kubwa wanapatikana maeneo ya ukanda wa maziwa makuu,kanda ya ziwa nchini,kigoma...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Serekali itoe adhabu ya kifungo cha miezi sita jela kwa mabinti wanao beba mimba kishamba
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu,habari ya mapumziko (waliopumzika)habari ya majukumu(wanaoendelea na kazi)? Mimi ni muajiriwa ninafanya kazi Dar es salaam.Bado sijajijenga sana,ofisi imeamua kuniamishia Dodoma,natafakari...
1 Reactions
22 Replies
10K Views
Wakuu sina sababu ya kuwatusi wataalamu wetu katika Nyanja ya ubunifu na ujenzi serikalini lakini nimekuwa najiuliza maswali ambayo siku zote kwangu haina majibu.! Hivi tatizo letu kubwa ni nini...
1 Reactions
4 Replies
730 Views
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amewasilisha majina ya viongozi wa halmashauri ambazo hazijaanza kutekeleza zoezi hilo kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
katika likizo ya mhula wa kwanza miaka ya 90- nilipewa pesa kiasi cha sh2000 nikajinunulie sare za shule kaptura 1000+1000 shati Njia iliyokuwa inaingia sokoni kwa upande wa nilikotokea kulikuwa...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Wanabodi nimeona hii tabia inakuwa sana hasa kwa familia za mijini,sasa sielewi kwamba ni usasa ama vipi!!Hii tabia ya wazazi kuwapa watoto wachezee simu eti gemu!!hivi hizi simu si zina mionzi,je...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Je umewahi kujikuta unafanya maamuzi yanayokukosesha raha ,,, unajikuta unafanya jambo moja kisha unaacha na kurukia lingine ,,,,, unafanya biashara hii kabla haijawa sawa unaaacha na kuamia...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Volkswagen banks on ride hailing service to sell cars in Rwanda SATURDAY JANUARY 20 2018 A Volkswagen production line at the Kenya Vehicles Manufactures (KVM) in Thika. The German carmaker...
1 Reactions
0 Replies
655 Views
>> Msamaha ni neno dogo sana lakini linabeba uzito zaidi ya tani mia moja ......... kusema samahni kunaweza kukuon gezea thamani kubwa isiyo elezeke... samaahani yaweza rudisha mahusiano yaliyo...
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Baada ya kuamka leo nimekuta punguzo la ajabu kutoka MB 5000 Hadi MB 3000 Kutoka matumizi ya siku 30 ya mwanzo hadi matumizi ya siku 5 kwa sasa
1 Reactions
64 Replies
9K Views
Waandishi wa habari tumuunge mkono Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni Salum Mwalim kwa ajili ya maendeleo yetu. Anaandika Christina Mwagala Jana kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo...
6 Reactions
45 Replies
5K Views
Mara nyingi sana kwa wanaotumia usafiri wa daladala katika pilika pilika za kusaka tonge hapa mjini ambapo kuna kiwango fulani cha nauli kilichowekwa na SUMATRA kulingana na umbali wa sehemu moja...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau, Kwa mujibu wa mimi mwenyewe na Facilitators wangu walioko Ofisi za uhamisho jijini Arusha ni kwamba Ofisi za Uhamiaji jijini Dar es Salaam/Serikali haina vitabu vya Passport kubwa na Stock...
5 Reactions
121 Replies
16K Views
KUSOMA VITABU VINGI KWA MUDA MFUPI. ******************************************** Baada ya kuweka listi yangu ya vitabu nilivyosoma mwaka jana marafiki wengi walikuwa ‘impressed’ na kuanza kutamani...
15 Reactions
31 Replies
8K Views
Chukua tahadhari kwa wale wanaomiliki usafiri ikitokea hii harafu upo speed Muombe Mungu wako
1 Reactions
4 Replies
2K Views
[emoji93]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watanzania zamani tulikua tukisafiri Africa nchi karibu zote zilkua zinatupenda na kutukaribisha vizuri, sikuhizi mambo yamebadilika, je ni wapi tumekosea ? Mana tena Mtanzania Hapati heshima...
0 Reactions
3 Replies
562 Views
mimi niliajiriwa na kampuni y ambayo inahusika na kazi za ulinzi (y sio jina sahihi) na nikasaini mkataba na hio kampuni na kuelewana kulipwa mshahara wa tsh.50,000 kwa mfano,(sio kiasi sahihi)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jinsi mnavyoongoza magari asubuhi kuanzia Mbagala mpaka Posta na jioni kutokea posta/Kariakoo kwa hakika mnastahili pongezi!Keep it up
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…