Mtanzania

Mtanzania

Msomali Mweusi

Senior Member
Joined
Jan 20, 2018
Posts
100
Reaction score
70
Watanzania zamani tulikua tukisafiri Africa nchi karibu zote zilkua zinatupenda na kutukaribisha vizuri, sikuhizi mambo yamebadilika, je ni wapi tumekosea ? Mana tena Mtanzania Hapati heshima ndani ya Africa Kama zamani.
 
Watanzania zamani tulikua tukisafiri Africa nchi karibu zote zilkua zinatupenda na kutukaribisha vizuri, sikuhizi mambo yamebadilika, je ni wapi tumekosea ? Mana tena Mtanzania Hapati heshima ndani ya Africa Kama zamani.
Muulize Magufuli na Lemutuz ..ila nahis tabia zenu tu zakusifu ujinga.
 
Back
Top Bottom