Ndungu zangu wana jamiiforam nimepatwa na janga lakubomokewa na nyumba kwa mvua ile ya jana Yaani ukuta Wote umegongwa na jiwe lillilotoka kwenye kifusi Cha jirani
Nyumba ni mpya nina miezi 5...
Baada ya baadhi ya shule za msingi na sekondari za binafsi kubaki na wanafunzi wachache kumekuwa na mikakati mipya kabisa 2018.
Kubwa zaidi ni kubadili mifumo kwa kulazimisha wanafunzi kulala...
Kwa yeyote anaefahamu chuo, tasisi au sehemu yoyote ambapo yanatolewa mafunzo ya CCTV camera installation anifahamishe city vifuatavyo
-mahari mafunzo yanapotolewa???
-muda wa mafunzo
-Gharama za...
Madereva Bodaboda wa wa Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wamekula kiapo cha uaminifu cha kuwalinda watoto wa kike dhidi ya vitendo vya ngono na mimba za utotoni zinazo sababisha kukatisha haki...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mohammed Aboud Mohammed akizungumza na waandishi wa habari huko kituo cha televisheni cha serikali (ZBC) Zanzibar
Jabir Idrissa
KUNA uhalifu...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuanzia Aprili mwaka huu serikali yake itaanza kuwalipa wafanyakazi wa umma kima cha chini cha mshahara cha...
Kwa siku kadhaa kumekuwepo no taarifa Juu ya babucha ya nchini Uganda kutumia dawa Aina ya formaline kuhifadhia Nyama ili isiharibike,
Formaline nini? Hii ni dawa inayotumika Katibu miili...
Tanzania tumenunua ndege, chadema na Tundu Lisu wakaamua kupigania Muzungu akamate Ndege yetu kwa sababu Muzungu anatudai, huyu ni Mtanzania kafanya hivyo, sababu ni kwamba anamchukia Raisi...
Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J: PM kichocheo cha kukua kwa uchumi[emoji23]...
Habari wakuu natumaini mu wazima wa afya,naomba niende kwenye lengo la uzi wangu moja kwa moja
Wakuu kwa sasa nasoma chuo na pia naishi mwenyewe ila kuna mtu ambaye ananifadhili kila kitu lakini...
Hakika kipengele cha kunyamvua na kujumlisha,wakiwa wanasoma magazeti Maulidi Kitenge a.k.a chumvi,Gerald Hando,Musa Kipanya na Irene Kilenga wanajua kuyasoma na kudadavua bila uwoga wowote ni...
Wanajamvi her ya Christmas na mwaka mpya, Leo n siku ya mwisho ya mwaka. Asa katika Uzi huu naomba tuambizane kero ambazo hutaki zijiludie tena mwaka kesho.
Kero yako inaweza ikawa mazingira ya...
Ukiondoa tu ' Mabodigadi ' wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambao wengi wao bado miili yao ni ile ile tokea Mwalimu alipotutoka na inaridhisha hata kimwonekano lakini ' Mabodigadi ' wa...
Wakuu.
Hili wimbi la wanaume kuvaa suruali za kubana sana nalo serikali iliangalie kwa kina maana haiwezekani kabisa maadili yawe kwa wanawake tu hata sisi wanaume turudi kwenye mstari mnyoo...
Hospitali ya wilaya Babati MRARA Mkoani Manyara imekuwa hospitali yenye kutoa huduma nzuri na bora kwa akina mama/wazazi.
Na kwa miaka miwili 2016-2017 katika kitengo cha huduma ya afya ya...
Behind every successful man there's a woman behind them
Leo imenibidi nizungumzie msemo huu maarufu ambao unapendwa sana kusemwa pale mwanaume anapofanikiwa kwenye maisha "Eti behind every...
Chama cha mapinduzi ccm kimemtelekeza mwanachama wake na Msanii wao Wastara Sajuki ambae aliokuwa kwenye kikundi cha Mama Ongea na Mwanao.
Msanii huyo Licha ya kuwa Mlemavu aliamua kupambana ili...
Nani anapenda kuonyesha mapungufu?
Tanzania ni nchi ambayo watu wake wamejengwa kwa hofu kuu , Hofu ya kushindwa kuifananisha Leo na kesho , Hofu ya kuhoji maswali tata yenye mustakabali mzuri Wa...
Waungwana kuna tetesi zinaenea kwa kasi kwamba, ktk nchi ya Msumbiji kijiji cha Nangadi, Jana tarehe 9 saa tano usiku amezaliwa mtoto.
Baada tu ya kuzaliwa amefumbua macho na kuweza kuongea...
Jana nilibahatika kutazama habari za michezo kupitia channel hii ya televisheni.
Nilijiuliza maswali mengi sana, hivi hawa ripota wa habari za michezo waliopo huko mikoani na hata hapa Dar hawana...