Iwe umekutana nao mtaani, usiku,polisi central ama nyumbani kwako tuwekee kisa chako kuhusu usumbufu na majanga ya polisi wetu.....
Mwaka juzi wakati wa sikukuu ya mwaka mpya nikiwa natoka...
Wanabodi habari.
Naandika uzi huu kwa masikitiko makubwa nikiwa stendi kuu ya mabasi ya ubungo iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Binafsi kilichotekea ni kitu cha kuhuzunisha japo kinachekesha...
Buchosa. Walimu saba wanaofundisha Shule ya Msingi Soswa wilayani Sengerema wamejikuta wamelala nje pamoja na familia zao huku wawili kati yao wakiwa wamenyolewa nywele kichwani na sehemu za siri...
Niwasii ndugu zangu tutakuwa hatujatumia akili kwa kiwango cha PhD eti mtu amejiuzulu Ubunge halafu arudi pale tumchague au agombee sehemu nyingine tumchague kama angekua na umuhimu wa kuendelea...
Basi la kampuni ya SARATOGA Kigoma Mwanza lapata ajali maeneo ya Nyantakala Nyakanazi na kujeruhi watu 27. Ni wakati sasa wa kuwaombea majeruhi wapate kupona na kuwaombea safari salama wasafiri wote.
Lazima kila binadamu anaamini uwepo wa Mungu haijalishi Dini wala nini ila kuna jambo labda unahisi ni la kipekee linatokea hapa Duniani au limewahi kutokea hata kwako wewe mwenyewe mpaka...
KENYA: Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 11 ameamua kujiua baada ya ombi lake la kuhamishwa shule kukataliwa huko nchini Kenya.
Taarifa zinasema kuwa mtoto huyo kutoka kijiji cha Ongata Rongai...
*WAJIBU WA DEREVA KWA ABIRIA WAKE*
*Je, ni upi wajibu wa dereva kwa abiria* au kwa lugha nyingine dereva ana wajibu kwa watu wa ngapi? Labda tuanza na swali hili.
*Watu ambao dereva anawajibika...
Nilikuwa nahitaji kuonana na Makamu mkuu wa Chuo. Baada ya kuonana na Secretary wake utaratibu ukawa hivi.
Secretary anaingia kwa makamu mkuu wa chuo halafu anarudi na kuniuliza
"anasema...
*WAJIBU WA DEREVA KWA ABIRIA WAKE*
*Je, ni upi wajibu wa dereva kwa abiria* au kwa lugha nyingine dereva ana wajibu kwa watu wa ngapi? Labda tuanza na swali hili.
*Watu ambao dereva anawajibika...
Habarini,
Tabia ya TRA kujumlisha kodi ya 10% kaajili ya kodi ya pango la biashara kwa mfanyabiashara wakati makadilio ya kodi ni uonevu kwakweli.
Wanakwambia leta mkataba wa pango la biashara...
Pamoja kuwa stand hiyo ni kubwa na muhimu kwani inahudumia abiria wengi sana standi haina hadhi kabisa kwanza mazingira ni machafu sana inanuka mikojo inaonekana watu wanajisaidia haja ndogo hapo...
Chama cha wasafirishaji abiria TABOA kimeazimia kuonana na Rais Magufuli ili kupeleka kilio chao kuhusu sheria mpya iliyopandisha maradufu faini za makosa ya barabarani.
Wamedai sheria hiyo mpya...
Mwanamke anayejulikana kwa jina la Verediana Paschal, mkazi wa Kisimiri mkoani Mwanza ameenda hospitali na kuomba kujifungua kopo.
Madaktari/wauguzi walishangaa sana na kutaka kumpima lakini...
Dar es Salaam, January 2018: Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro has been named the winner of the 2017 national competition for health and environmental cleanliness which was held by the...
Arusha: Mawasiliano ya barabara inayounganisha Wilaya za Monduli na Karatu katika eneo la Makuyuni imekatika kutokana na mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia leo.
Hakuna gari inayoweza kutoka...
Wafanyabiashara wawili, Antonia Zacharia na Timoth Kilumile wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza, kwa kosa la uhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni 10 kwa kujipatia...
Mamlaka ya maji safi na maji taka jiiji Dar Es Salaam imesema imepokea majeruhi watano waliounguzwa na moto uliosababishwa na kupasuka kwa bomba la gesi eneo la Buguruni kwa Mnyamani wakati...