Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Tatizo ni kwamba neno 'Uchochezi' halijatamkwa mahali popote kwenye sheria hizo wala kwenye Sheria ya Utangazaji 1993 ambayo ndio msingi wa kuundwa kwa sheria hizo. Wala kwenye Sheria ya Mamlaka...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanabodi,Ijumaa Kareem. Hivi kuna ubaya ( dhambi) kwa Mkristo kumiliki mali (utajiri) ambao either ni Wa kurithi au umeupata kwa juhudi zako mwenyewe? Naona kama utajiri na Ukristo havina...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau, sheria mpya ya mitandao inapiga marufuku kupiga picha ama video na kuisambaza mitandaoni. Matumizi ya Sheria hii ilitaka kutumiwa kwa yule kijana aliepiga picha za hostel ya JPM iliyopata...
8 Reactions
92 Replies
11K Views
Tanzania inaongoza kwa Nchi za Afrika kama jedwali linavyoonesha hapo juu. wale wachawi wa Nchi hii ambao mmetumwa kupinga kila kitu karibuni..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nadhani Polisi wanafanya mzaha kwenye mambo serious. Juzi Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma, SACP Gilles Muroto alisema kwamba walipokamata Nabii Tito walimpeleka hospitali ya Mirembe na...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kumekuwapo na ukengemfu Kidogo kuhusu hii alama, wengi wetu tukiishia kusema ni masonic sign. Ila ukipata kujisomea kwenye Lugha za alama ambazo ni maarufu kwa jamii ya viziwi, lugha alama hii...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu Amani Iwe Kwenu Naomba mwenye Mawasiliano na Afsa Elimu -Msingi -Ilala Anisaidie Nina Shida Nae Muhimu Nafahamu Kuweka Mawasiliano Binafsi Hapa Sio Vizuri Lakini Waweza Ni pm au Ukaweka Ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa hivi karibuni, waendesha bodaboda wanachangia asilimia 13 ya mimba za utotoni nchini. Matumizi ya bodaboda, ama pikipiki kwaajili ya biashara, yameongezeka sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo ni siku ya nane hakuna maji Kahama kwa sababu TANESCO wamewakatia umeme, sisi wananchi tunalipa bili kwa wakati na usipolipa unakatiwa maji hivi hela zetu zinaenda wapi? Kama wangetenga kila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Katika kitu ambavyo Kikwete amefeli kwenye utawala wake ni kutojali na kutowezesha wizara, idara na vyombo vyote ambavyo vina mamlaka ya kukuza, kuendeleza lugha ya Kiswahili. Tusisahau kuwa...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Kuna matukio kadhaa yametokea kwa baadhi ya watanzania kupotea na kupatikana baada ya muda fulani,lakini cha ajabu hawasemi walikuwa wapi,walihojiwa nini na hata sababu za kupotea kwao zilikuwa...
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Polisi Mkoani Kilimanjaro inamshikilia mfanyabiashara wa majengo Moshi kwa madai ya kumbaka binti yake wa kuzaa wa umri wa miaka 22. Taarifa zinadai mfanyabiashara huyo akifanikisha nia yake ovu...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Nimekua mtafiti mda mwingine hatarishi rejea thread yangu hii;Naomba mwongozo ninataka nitengeneze parachuti nitumie kuruka nalo Nimefanikiwa kutengeneza parachute kwa turubai ngumu kipimo...
11 Reactions
63 Replies
9K Views
Serikali ya awamu ya Tano imeamua kuchukua uamuzi wa kuhamishia Makao Makuu ya Serikali Mkoani Dodoma. Kwa hakika hatuna shaka na uthubutu huu, wakati Wizara karibia zote na baadhi ya Taasisi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nimefanya takwimu kidogo jijini Dar es Salaam nimeona magari ya Aina ya IST na RAUM yameongezeka kwa kasi barabarani siku za karibuni na aina za magari mengine zimeanza kupotea hii...
0 Reactions
7 Replies
932 Views
Tido Mhando,ukiacha yeye kuwa mkurugenzi katika mashirika kadhaa makubwa ya utangazaji,anashikilia rekodi ya kuwa mtu pekee duniani aliyefanikiwa kufanya mahojiano na marais wote duniani...
27 Reactions
59 Replies
15K Views
Habari za asubuhi wana JF Kwanza kabisa niwatakie waislamu wote Ijumaa Karim. Pili bila ya kupoteza muda kwa sisi wahenga tuliokula chumvi (wazee wa zamani wanaakili sana wanajua ukiwa mtu mzima...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Ijumaa ya wiki iliyopita nilikwenda ofisi za TRA kufuatilia leseni yangu ambayo nilikwishailipia wiki tisa (9) zilizopita. Hii ni mara ya tatu kwenda kuulizia kama leseni yangu iko tayari. Kila...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Kazoea kunitumia sms hizi. Habari Ya Huko Tabora Kijana Wangu Kevini Ninakushukuru Sana Kwa Zawadi Uliyo Nitumia Lakini Nadhani Hata Wewe Mwenyewe Umeamini Kuwa Ndagu Yangu Haina Madhara Si...
0 Reactions
3 Replies
804 Views
Dar es Salaam. Invitations to the annual World Economic Forum (WEF) in Davos are sent to individuals, not countries, Foreign Affairs minister Augustine Mahiga clarified yesterday. This is the...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…