MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 15,559
- 39,242
Habari za asubuhi wana JF
Kwanza kabisa niwatakie waislamu wote Ijumaa Karim. Pili bila ya kupoteza muda kwa sisi wahenga tuliokula chumvi (wazee wa zamani wanaakili sana wanajua ukiwa mtu mzima utakua umezama chumvini sana), hawa jamaa pwagu na pwaguzi nafikiri mnawakumbuka. Hakuna mtu yoyote mwenye nakala ya kazi zao? Kama hakuna embu tukumbushane kidogo kazi zao, nilikua nafurahi sana zamani nikiwasikia.
Kwanza kabisa niwatakie waislamu wote Ijumaa Karim. Pili bila ya kupoteza muda kwa sisi wahenga tuliokula chumvi (wazee wa zamani wanaakili sana wanajua ukiwa mtu mzima utakua umezama chumvini sana), hawa jamaa pwagu na pwaguzi nafikiri mnawakumbuka. Hakuna mtu yoyote mwenye nakala ya kazi zao? Kama hakuna embu tukumbushane kidogo kazi zao, nilikua nafurahi sana zamani nikiwasikia.