luziiii
Member
- Jan 14, 2018
- 43
- 49
Usiku nigiza ikifika 19:00hrs 22:00hrs nimda wazinzi wanafanya yao.23:00hrs 01:00hrs mda wamakahaba
01:45hrs 04:30.mda wawachawi wanafanya yao hapo ndiopaguni.
wachawi wanafanya mambo mengi
Wanatembelea kilamutu kama huna maombi lazima wakukabe
kama wewe nimkiristo kazanakuomba,bibilia inatukumbusha kusali kila mda.
Wenzetu waislam msisahau kuswali sala zote5
02:00hrs 04:40hrs waizi nao wako bize akikukosa mwizi unakutana namchawi akikukosa Mchawi lazima mwizi apite.
Nawatakia usikumwema.... Ktk jina layesu Amen
01:45hrs 04:30.mda wawachawi wanafanya yao hapo ndiopaguni.
wachawi wanafanya mambo mengi
Wanatembelea kilamutu kama huna maombi lazima wakukabe
kama wewe nimkiristo kazanakuomba,bibilia inatukumbusha kusali kila mda.
Wenzetu waislam msisahau kuswali sala zote5
02:00hrs 04:40hrs waizi nao wako bize akikukosa mwizi unakutana namchawi akikukosa Mchawi lazima mwizi apite.
Nawatakia usikumwema.... Ktk jina layesu Amen