Nipo Arusha kwa muda wa siku 3. Duka gani na lipo mtaa gani nitapata viatu vya kiume standard kabisa? Nimeenda Nakumat na Woolworth, viatu vipo bahati mbaya vinavyonitosha nimekosa.
Maduka...
Kama ilivyo ada linapotokea jambo la kuisumbua serikali hasa katika masuala yanayoonekaa kugusa jamii basi serikali utenga donge zito na "nono" kwa ajiri ya kuwalipa "walaghai" wasaidie kuilaghai...
Jana nilikuwa nazungumza na mmoja wa rafiki zangu, ambaye amechukua mkopo kutoka benki mwanzoni mwa mwaka huu. Alipata 10ml. Aliponieleza kiasi anachotakiwa kurudisha ndio nilichoka. Anatakiwa...
DARAJA LA DR. DAU
Daraja la Dr. Dau
Daraja la Kigamboni
Hicho hapo chini ni kipande kidogo cha maneno niliyoandika kiasi cha miaka minne iliyopita katika taazia ya marehemu Abubakar...
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman ameeleza sababu zilizomfanya atoe msimamo binafsi kwenye Bunge la Katiba uliosababisha aachishwe kazi na Rais Ali Mohamed Shein...
Wakuu tulivyomzoea Mheshimiwa Mrema uchapakazi wake hauna mfano, na hilo limedhihirika alivoteuliwa na rais kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Parole kazi alioifanya pamoja na mbwembwe sio mchezo. Lakini...
Hii ni kwa wale wote wasiokuwa na Nyumba au kiwanja.
Kutokana na hali ya maisha kuwa mbaya mtaani wale mwenzangu na mimi wasiokuwa na vijumba au kiwanja tujiandae tukusanye vihela muda huu...
Leo Novemba 14 ni Siku ya Kisukari Duniani 2016
*KisukariNiTatizoNchiniTanzania*
Ugonjwa wa Kisukari ni tatizo linalopamba moto hapa nchini kwetu. Takwimu za mwaka 2015 zinaonyesha kuwa kulikuwa...
Kama heading yangu inavyojieleza, sisi wakaazi wa maeneo ya Mbezi, Kimara na kwingine ambao tunatumia usafiri huu tunapata tabu sana na usafiri huu wa sasa. Unapanda Mbezi kwa foleni unakuja...
Wanajamvi katika harakati za maisha nikaona kea sasa kutokana na shughuli zangu basi si vibaya kumiliki gari ili kuweza kwendana na kasi ya hili jiji na maisha kwa ujumla.
Basi nikaanza kupitia...
Kama ndiyo kungekuwa na soko la vitu hivyo kwenye world trade, wataalam wa mambo wanadai kuwa ubungo wa Mwafrika kibei usingeshikika.
Kwa vigezo vifuatavyo...
Ubungo wa mwafrika haujatumika...
NINA WADOGO ZANGU WAWILI, nawaita wadogo zangu kwasababu nimewasomesha tangu form za chini hadi wamefaulu kupata maksi za kujiunga vyuo vikuu mwaka huu. mmoja ni yatima kabisa Hana baba wala mama...
Habari wanandugu,
Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.
Kwa muda mwingi tumeshuhudia...
YAWEZEKANA MIFUMO DUME IMETUFANYA TUSAHAU KUJADILI WANAWAKE WENYE UVUMILIVU MKUBWA.
Pasi na shaka walio wengi tunamfahamu mama yetu (Bi. REGINA LOWASSA);
Huyu kwangu na muona ni mama mwenye nguvu...
Habarini wote,
Nasikitishwa na ufanywaji kazi wa jeshi langu la polisi hususani kituo cha kitunda shule, huku ninapokaa eneo la Kipunguni - Kitunda relini, kuna maskani moja ya muda mrefu sana ya...
Hilo limetokea jumapili iliyopita nimenukuu kama ilivyo hapo.
Ndio tunatakiwa kuwa waangalifu maana ni hatari mno.
"Kijana akiiba leo Kanisani St. Albans katika Ibada ya Pili. Dada aliyebiwa...
Walipochangisha hawakusema michango kwa ajili ya"taasisi za umma zilizoathiriwa na tetemeko'' walisema wananchi walioathirika natetemeko kagera, Sasa leo hiitena iweje wanasema michangonikwaajiri...
Ajali mbaya ya Basi Kampuni ya Best line linalofanya safari za Mbeya Mwanza, limepata ajali asubuhi hii, Maeneo ya Chimara Mkoani mbeya baada ya kuacha njia na kupinduka.
Majeruhi ni wengi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.