Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,295
Pamoja na kwamba Taifa limepata msiba mkubwa , lakini hilo haliwezi kuzuia Sikukuu za kidini zinazofanyika dunia nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe subiri tamko la BAKWATAHivi leo kumbe ni idd mimi sikuwa na habar
Salamu za rambirambi msiba wa Morogoro wametuma?View attachment 1178371
Pamoja na kwamba Taifa limepata msiba mkubwa , lakini hilo haliwezi kuzuia Sikukuu za kidini zinazofanyika dunia nzima
ndio madhara ya kupigwa BAN , unakuwa kama umezikwa hivi , hata ya duniani huwezi kuyajuaSalamu za rambirambi msiba wa Morogoro wametuma?
nawashauri na wao waitumie salamu BakwataCCM watakasirika kwa salam hizi.
CCM wameshalaaniwa.CCM watakasirika kwa salam hizi.
MazezetaSubiri wanalumumba waje ngoja niwasubiri pembeni
Hawajatuma. Hv mlivyotangaza kuwa maombolezo yameanza jana...kuna bendera yoyote nchini ilipepea nusu mlingoti jana? Au mnawaona watanzania ni mapunguani?Salamu za rambirambi msiba wa Morogoro wametuma?
kwa hiyo kumbe zile 3 za maombolezo zilianza jana ! hawa watu magumashi matupu !Hawajatuma. Hv mlivyotangaza kiwa maombolezo yameanza jana...kuna bemdera yoyote nchini ilipepea nusu mlingoti jana? Au mnawaona watanzania ni mapunguani?
Siyo magumashi tu sema wahuni kabisa.kwa hiyo kumbe zile 3 za maombolezo zilianza jana ! hawa watu magumashi matupu !
Hahahaa...... Wewe ya duniani unayapata Jf pekee?!!ndio madhara ya kupigwa BAN , unakuwa kama umezikwa hivi , hata ya duniani huwezi kuyajua