Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Jamani jamani haya mambo ni magumu.
Mwaka 2011 jamaa yangu kabisa wa kijiji kimoja akaniomba nimpe cheti changu cha form 4 afanyie application ya kujiunga na Chuo cha Maabara kule DCT Mvumi Dodoma. Wakati huo mimi niliamini kabisa hakutakuwa na system ya kutrack vyeti huku mbeleni. Maana mwaka huo nilishamaliza Chuo Kikuu Kikuu cha Sokoine ( SUA ).
Jamaa aliniomba sana mpaka kidogo alie. Akatumia mpaka watu ambao ni ndg zangu kuniwashawishi. Kidogo niingie kingi. Nikastuka aisee!
Saivi sijui ningekuwa mgeni wa nani saivi.
Maana msako wa vyeti feki ulinikumba hata mimi.
Uliwahi kumsaidia mtu cheti akatoboa ? Au ulimnyima ?
Mwaka 2011 jamaa yangu kabisa wa kijiji kimoja akaniomba nimpe cheti changu cha form 4 afanyie application ya kujiunga na Chuo cha Maabara kule DCT Mvumi Dodoma. Wakati huo mimi niliamini kabisa hakutakuwa na system ya kutrack vyeti huku mbeleni. Maana mwaka huo nilishamaliza Chuo Kikuu Kikuu cha Sokoine ( SUA ).
Jamaa aliniomba sana mpaka kidogo alie. Akatumia mpaka watu ambao ni ndg zangu kuniwashawishi. Kidogo niingie kingi. Nikastuka aisee!
Saivi sijui ningekuwa mgeni wa nani saivi.
Maana msako wa vyeti feki ulinikumba hata mimi.
Uliwahi kumsaidia mtu cheti akatoboa ? Au ulimnyima ?