Ombi langu kwa wizara ya Elimu : Futeni topic ya "human Evolution" katika somo la history kwani ni uongo wakuchanganya vichwa vya wanafunzi

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,176
12,646
Huwa napata tabu sana wajomba wanapokua likizo na kuja kunitembelea mjomba wao huwa wanauliza maswali yasiyokuwa na majibu (majibu yenye ukakasi)

Sana sana maswali wanayatoa kwenye topic ya "human evolution"

Utasikia anko tumesoma history kuwa binadamu wa kwanza alikua nyani mwalimu wa history na vitabu tumesoma.

Hapo hapo unakuta wametoka mafundisho wamejifunza kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikua ni Adam.

Sasa watoto wanachanganyikiwa sana huku "nyani" huku "adamu"

Kupitia jamii forum NALIA NGWENA nawasilisha ombi langu futeni hivyo visa vya wazungu ambapo hata kwa akili ya kawaida unaona kabisa ni uongo na kuwachosha tu watoto wetu.

Nawasilisha hoja.

Screenshot_20230602-191825.jpg
 
Evolution ipo na itaendelea kuwepo... Hata maandiko matakatifu yanaonesha hivyo (rejea ukubwa wa Adam kimwili halafu linganisha na ukubwa wa kizazi hiki)

Hii ya kusema binadamu wa kwanza alikuwa ni nyani si sawa kwa sababu nyani na binadamu ni species tofauti hivyo species moja kubadilika kuwa nyingine

Ila evolution inaamini kuwa binadamu alikuwa kwenye kundi moja na nyani na sokwe lililoitwa PRIMATES ambapo walikuwa na ufanano mkubwa... binadamu akiitwa modern apes

Kutokana na uwezo mkubwa wa kiakili ambao binadamu alionao ukamfanya ajitofautishe na wenzake kwa ubunifu wa mitembeo, mikao n.k

Huu uwezo wa kiakili ndio umemfikisha binadamu katika hii technology kubwa anayoifanya na kuitumia
 
Evolution ipo na itaendelea kuwepo... Hata maandiko matakatifu yanaonesha hivyo (rejea ukubwa wa Adam kimwili halafu linganisha na ukubwa wa kizazi hiki)

Hii ya kusema binadamu wa kwanza alikuwa ni nyani si sawa kwa sababu nyani na binadamu ni species tofauti hivyo species moja kubadilika kuwa nyingine

Ila evolution inaamini kuwa binadamu alikuwa kwenye kundi moja na nyani na sokwe lililoitwa PRIMATES ambapo walikuwa na ufanano mkubwa... binadamu akiitwa modern apes

Kutokana na uwezo mkubwa wa kiakili ambao binadamu alionao ukamfanya ajitofautishe na wenzake kwa ubunifu wa mitembeo, mikao n.k

Huu uwezo wa kiakili ndio umemfikisha binadamu katika hii technology kubwa anayoifanya na kuitumia
bro evoution ipo na inaendelea
 
Huwa tunajiuliza mbona nyani, kima, tumbili, sokwe na mbega wapo kitambo na hawabadiliki kuwa binadamu. Anyway, kwa sisi walimu tunaosoma vitabu vya dini huwa tunafundisha topic hii kwa shingo upande tukijua tunababaisha wanafunzi. Ila huwa tunawaambia wakiwa shuleni waamini mambo ya shuleni na wakiwa kwenye mambo ya ibada yanayoeleza chanzo cha binadamu ni adamu na hawa waani hivyo, mwanafunzi anakuwa totally comfused atajua mwenyewe aamini ipi ni hoja sahihi
 
sasa. m
Huwa napata tabu sana wajomba wanapokua likizo na kuja kunitembelea mjomba wao huwa wanauliza maswali yasiyokuwa na majibu (majibu yenye ukakasi)

Sana sana maswali wanayatoa kwenye topic ya "human evolution"

Utasikia anko tumesoma history kuwa binadamu wa kwanza alikua nyani mwalimu wa history na vitabu tumesoma.

Hapo hapo unakuta wametoka mafundisho wamejifunza kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikua ni Adam.

Sasa watoto wanachanganyikiwa sana huku "nyani" huku "adamu"

Kupitia jamii forum NALIA NGWENA nawasilisha ombi langu futeni hivyo visa vya wazungu ambapo hata kwa akili ya kawaida unaona kabisa ni uongo na kuwachosha tu watoto wetu.

Nawasilisha hoja.
View attachment 2643821
Ni. watu tu walijaribu kufikiri, Wewe si mvivu kufikiri unajua ni Mungu ndo kakuumba na ukaridhika
 
Evolution ipo na itaendelea kuwepo... Hata maandiko matakatifu yanaonesha hivyo (rejea ukubwa wa Adam kimwili halafu linganisha na ukubwa wa kizazi hiki)

Hii ya kusema binadamu wa kwanza alikuwa ni nyani si sawa kwa sababu nyani na binadamu ni species tofauti hivyo species moja kubadilika kuwa nyingine

Ila evolution inaamini kuwa binadamu alikuwa kwenye kundi moja na nyani na sokwe lililoitwa PRIMATES ambapo walikuwa na ufanano mkubwa... binadamu akiitwa modern apes

Kutokana na uwezo mkubwa wa kiakili ambao binadamu alionao ukamfanya ajitofautishe na wenzake kwa ubunifu wa mitembeo, mikao n.k

Huu uwezo wa kiakili ndio umemfikisha binadamu katika hii technology kubwa anayoifanya na kuitumia
mtoa mada soma hii comment ujiine jinsi ghani ulivyo mweupe petro ww😂
 
Huwa tunajiuliza mbona nyani, kima, tumbili, sokwe na mbega wapo kitambo na hawabadiliki kuwa binadamu. Anyway, kwa sisi walimu tunaosoma vitabu vya dini huwa tunafundisha topic hii kwa shingo upande tukijua tunababaisha wanafunzi. Ila huwa tunawaambia wakiwa shuleni waamini mambo ya shuleni na wakiwa kwenye mambo ya ibada yanayoeleza chanzo cha binadamu ni adamu na hawa waani hivyo, mwanafunzi anakuwa totally comfused atajua mwenyewe aamini ipi ni hoja sahihi
kitambo toka lin?
 
Wanadamu wa kale waliishi hadi miaka 900 kwa mujibu wa Biblia, lakini leo wanaishi miaka takriban 100. Nini kimetokea? Evolution. Waache watoto wasome evolution.
Huwa napata tabu sana wajomba wanapokua likizo na kuja kunitembelea mjomba wao huwa wanauliza maswali yasiyokuwa na majibu (majibu yenye ukakasi)

Sana sana maswali wanayatoa kwenye topic ya "human evolution"

Utasikia anko tumesoma history kuwa binadamu wa kwanza alikua nyani mwalimu wa history na vitabu tumesoma.

Hapo hapo unakuta wametoka mafundisho wamejifunza kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikua ni Adam.

Sasa watoto wanachanganyikiwa sana huku "nyani" huku "adamu"

Kupitia jamii forum NALIA NGWENA nawasilisha ombi langu futeni hivyo visa vya wazungu ambapo hata kwa akili ya kawaida unaona kabisa ni uongo na kuwachosha tu watoto wetu.

Nawasilisha hoja.
View attachment 2643821
 
Huwa tunajiuliza mbona nyani, kima, tumbili, sokwe na mbega wapo kitambo na hawabadiliki kuwa binadamu. Anyway, kwa sisi walimu tunaosoma vitabu vya dini huwa tunafundisha topic hii kwa shingo upande tukijua tunababaisha wanafunzi. Ila huwa tunawaambia wakiwa shuleni waamini mambo ya shuleni na wakiwa kwenye mambo ya ibada yanayoeleza chanzo cha binadamu ni adamu na hawa waani hivyo, mwanafunzi anakuwa totally comfused atajua mwenyewe aamini ipi ni hoja sahihi
Tatizo haliko kwenye theory mkuu... tatizo liko kwa wale wanaoifundisha hii EVOLUTION OF MAN

Walimu wa hii topic ni more historical kuliko scientific... wakati topic inahitaji watu wenye uelewa wa HUMAN BRAIN ili kuelezea ubunifu wa binadamu ulivyoathiri maisha yake kiujumla

Labda tuitoe kwenye history tuipeleke kwenye biology wai_link na topic ya BRAIN (Nervous system)


Kitu kikubwa kinachomfanya binadamu awe more intelligent kuliko wanyama wengine ni kutokana na kuwa na ubongo wa mbele wenye mikunjo mingi hivyo kuongeza surface area...ni sehemu hii ya ubongo ndiyo inayohusika na matendo yote ya hiari kama kuongea, kutembea, kucheka,kufikiri, kufanya maamuzi n.k na hivyo kupelekea kuvifanya kwa namna ya tofauti na viumbe wengine

Hivyo kwa namna yoyote ile binadamu angeachana tu na kutembea kwa miguu mnne
 
Huwa tunajiuliza mbona nyani, kima, tumbili, sokwe na mbega wapo kitambo na hawabadiliki kuwa binadamu. Anyway, kwa sisi walimu tunaosoma vitabu vya dini huwa tunafundisha topic hii kwa shingo upande tukijua tunababaisha wanafunzi. Ila huwa tunawaambia wakiwa shuleni waamini mambo ya shuleni na wakiwa kwenye mambo ya ibada yanayoeleza chanzo cha binadamu ni adamu na hawa waani hivyo, mwanafunzi anakuwa totally comfused atajua mwenyewe aamini ipi ni hoja sahihi
Huwezi kuona wakibadilika, sababu mabadiliko kidogo huchukua maelfu ya miaka
Na pia wakibadilika sio kwamba wanakua binadamu, wanakua sokwe wa aina tofauti
Hata binadamu sio kwamba walikuwa nyani kama hawa wa sasa, ila walikuwa wana ufanano na hao nyani

Pia binadamu wanaendelea kubadilika, binadamu wa miaka 5000 ijayo hatafanana na binadamu wa sasa
 
Historia ni nini ?
Source za History ni zipi ?
Na mpaka theory ikubalike katika mainstream nini kitatakiwa kufanyika ?

Ukijibu hayo na kuyaelewa na ukaja na Hoja za kupinga hayo kwa kutumia misingi ya Historia wala hautasumbuka kufuta kitu bali theory yako itakubaliwa na kwenda mainstream...

Haya mambo hayahitaji indoctrination wala Imani bali ni kufanya due dilligence kwa kutumia misingi husika (Wewe kama ni mtu wa Imani misingi yake ni kukubali yote yalioandikwa kwenye kitabu regardless) huku kwenye historia na sayansi kuna misingi yake - Tusitake kuchanganya madesa....

To each his/her own....
 
Tatizo haliko kwenye theory mkuu... tatizo liko kwa wale wanaoifundisha hii EVOLUTION OF MAN

Walimu wa hii topic ni more historical kuliko scientific... wakati topic inahitaji watu wenye uelewa wa HUMAN BRAIN ili kuelezea ubunifu wa binadamu ulivyoathiri maisha yake kiujumla

Labda tuitoe kwenye history tuipeleke kwenye biology wai_link na topic ya BRAIN (Nervous system)


Kitu kikubwa kinachomfanya binadamu awe more intelligent kuliko wanyama wengine ni kutokana na kuwa na ubongo wa mbele wenye mikunjo mingi hivyo kuongeza surface area...ni sehemu hii ya ubongo ndiyo inayohusika na matendo yote ya hiari kama kuongea, kutembea, kucheka,kufikiri, kufanya maamuzi n.k na hivyo kupelekea kuvifanya kwa namna ya tofauti na viumbe wengine

Hivyo kwa namna yoyote ile binadamu angeachana tu na kutembea kwa miguu mnne
Hata hivyo evolution ni topic ya kwenye Biology sio History, kwenye Biology ya form 4, evolution imeelezewa kwa kirefu zaidi,

Kuna theory ya Darwin ambayo imeeleza kuhusu
Natural Selection na Survival of the fittest
 
Huwa napata tabu sana wajomba wanapokua likizo na kuja kunitembelea mjomba wao huwa wanauliza maswali yasiyokuwa na majibu (majibu yenye ukakasi)

Sana sana maswali wanayatoa kwenye topic ya "human evolution"

Utasikia anko tumesoma history kuwa binadamu wa kwanza alikua nyani mwalimu wa history na vitabu tumesoma.

Hapo hapo unakuta wametoka mafundisho wamejifunza kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikua ni Adam.

Sasa watoto wanachanganyikiwa sana huku "nyani" huku "adamu"

Kupitia jamii forum NALIA NGWENA nawasilisha ombi langu futeni hivyo visa vya wazungu ambapo hata kwa akili ya kawaida unaona kabisa ni uongo na kuwachosha tu watoto wetu.

Nawasilisha hoja.
View attachment 2643821
Uko sahihi kabisa. Hiyo topic ni ya uongo wa asubuhi kabisa. Na bila shaka hata waanzilishi wake, akiwemo Charles Darwin, huenda walianzisha hiyo Theory kwenye karne ya 19, kwa lengo tu la kuendeleza masuala ya ubaguzi kwa watu weusi na pia kuitukuza rangi nyeupe (racial superiority).

Uzuri kwa sasa tuna mapendekezo ya mtaala mpya wa elimu. Na serikali ina mpango wa kuja na Historia ya Tanzania. Naamini katika huo mtaala mpya, wanafunzi hawatafundishwa tena mambo ya uongo, na ya kufikirika kama haya.
 
Huwa napata tabu sana wajomba wanapokua likizo na kuja kunitembelea mjomba wao huwa wanauliza maswali yasiyokuwa na majibu (majibu yenye ukakasi)

Sana sana maswali wanayatoa kwenye topic ya "human evolution"

Utasikia anko tumesoma history kuwa binadamu wa kwanza alikua nyani mwalimu wa history na vitabu tumesoma.

Hapo hapo unakuta wametoka mafundisho wamejifunza kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikua ni Adam.

Sasa watoto wanachanganyikiwa sana huku "nyani" huku "adamu"

Kupitia jamii forum NALIA NGWENA nawasilisha ombi langu futeni hivyo visa vya wazungu ambapo hata kwa akili ya kawaida unaona kabisa ni uongo na kuwachosha tu watoto wetu.

Nawasilisha hoja.
View attachment 2643821
Sasa ukakasi uko wapi, sayansi na dini ni vitu viwili tofauti, acheni sayansi iwe sayansi na dini iwe dini

Mimi ndio maana nawapenda Wakatoliki kwenye shule zao elimu ya dunia inafundishwa bila kuibana, nenda shule za imani nyengine kuna walimu wapo tayari kufundisha uongo mradi wasupindishe mafunzo ya dini
 
Na tumeendelea kuuishi upumbavu huu mpaka leo .

Hivi sisi wa Africa tuna nini!??
Hiyo Theory ni ya uongo. Na ndiyo mpaka leo baadhi ya Wazungu vilaza huitumia kuwabagua Watu weusi. Hivyo naunga mkono hoja. Iondolewe kabisa kwenye mitaala yetu.

Hakuna nyani aliwahi/anaweza kugeuka kuwa binadamu. Uongo mtupu. Nyani atabakia kuwa nyani, na binadamu atabakia kuwa binadamu.

Tofauti yetu na Wazungu, Waasia, nk ni Mabara tu. Ila binafsi naamini wote tuko sawa.
 
Back
Top Bottom