Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Hongera mheshimiwa na Mtukufu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri unayoifanya ya kutumbua majipu. Endelea na mwendo huohuo mpaka sisi wanyonge tupate walau kuonja keki ya Taifa...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Nataka kujua kama ni sahihi kwa suppermaket kukosa Risiti za TRA. Mimi ninavyojua hizi risiti za daftari zina udanganyifu mkubwa sana. Hebu TRA fuatilieni hili.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hebu mtujuze mliopo karibu na barabara ya mwendo kasi kinondoni,nasikia mabasi yakiendelea na kutestiwa,gari ndogo imegongwa katika eneo hilo, na kusababisha vifo. .. Tafadhari mwenye taarifa kamili..
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Taarifa kamili hazijathibitika madhara na mali zilizo haribiwa kutokana na mvua iliyoambatana na upepo na radi kuharibu nyumba kadhaa na mifugo huko Mziha wilayani Mvomero usiku wa kuamkia leo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajukwaa, kuna habari ambazo bado sijapata uthibitisho wake kwamba kuna ajali mbaya imetokea mteremko wa mlima wa Iringa mjini kwenda Ipogolo. Inasemekana basi la kutoka Mwanza, Lupondije Bus...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani hebu mnisaidie katika hili sielewiii hivi upanishwaji wa madaraja kwa watumishi wa umma upoje mwaka huuu na ajira mpyaa vipi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Japo ukawa wanajisifu kushinda uchaguzi lakini hadi sasa hakuna mabadiliko yoyote. Nadhani mayor wa kinondoni aachane na majigambo yasiyo na maana badala yake tuone mipango uliyo nayo. Sijaona...
0 Reactions
97 Replies
8K Views
Basi la kampuni ya Budget limepata ajali mida hii Update na picha zitafuata
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kumekuwa na Sitofahamu mitandaoni zikienea kuwa mastaa hawa mapacha sasa wametengana kila mtu kuamua kuimba mziki kivyake. Hebu wenye taarifa sahihi ni wakati wa kutiririkaaa..
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Leo nilienda kumsindikiza jamaa yangu kwenye hotel moja hapa Dodoma njiani kuelekea Singida.Sehemu hiyo jina sijalishika lakini abiria wa mabasi hupata huduma mbali mbali kama chakula,vinywaji na...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Benki ya CRDB tawi la Mbagala imevamiwa na majambazi,Mbagala hakuendeki mpaka muda huu polisi imeizingira benki majambazi yapo ndani ya benki, kujisalimisha hayataki.
0 Reactions
122 Replies
26K Views
likua Mfumo unaochukiza sana na bahati mbaya sana watu wamelipishwa pesa cha ajabu ile system ilikua inafanyakazi kipindi cha mchana ,asubuhi na jioni traffic wapo pale wakiondoka hasa usiku...
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Tukio hili limetokea huko Zambia, watu wenye hasira kali wamewachoma moto vibaya mpaka kuwaua vijana waliokamatwa na Viungo vya Albino katika mfuko...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani kwa mwenye taarifa atujuze
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Waandishi wa mkoa wa Kilimanjaro ni njaa tupu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Taarifa zisizo rasmi kutoka vyanzo vyangu mbalimbali vimeeleza kuwa MKUU WA NCHI DR RAIS JPM ameiagiza TAMISEMI kufanya uhakiki wa watumishi wa umma Tanzania nzima...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wafanyakazi kiwanda cha Kahawa Moshi wagoma kwasababu hawajalipwa mishahara ya miezi nane. Hawajalipwa mishahara ya miezi nane
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna fununu nimezisika katika siku za karibuni kuwa mlima Kenya upo Arusha Kaskazini. Kuna Mwenye udhibitisho Wa hilo?
0 Reactions
2 Replies
701 Views
Ninesikia hiyo Taarifa, mwenye kujua zaidi atufahamishe.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
This comes from someone Who works in the breast cancer unit at Mt. Sinai Hospital , in Toronto .. From: Dr. Nahid Neman If there is a female you care anything about..,Share this with her...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom