Mkuu ni tetesi au ni uhakika?CRDB bank ya mbagala imevamiwa na majambazi,mbagala hakuendeki mpaka muda huu police imeizingira bank majambazi yapo ndani ya bank kujisalimisha hayataki.
wananiudhi tu hapo wanapo toa uhai wa watuNgoja nikabe nafasi hapa.. kama ni kweli ntatoa pole kwa wafiwa. Maana majambazi ya kibongo wana tabia mbovu ya kutoa watu uhai.
Hiyo ni tabia ya watu waoga.. (kuwa na silaha na kumuua asiye na silaha)wananiudhi tu hapo wanapo toa uhai wa watu
tabia mbaya sana sababu ukiwa na silaha hata haina haja ya kuua sababu kuona silaha tu wanaogopaHiyo ni tabia ya watu waoga.. (kuwa na silaha na kumuua asiye na silaha)
Kesi ipi jf wanaokabiliwa mama makaliomakubwa?hii ni tetesi bado haina uhakika,Na isipokuwa kweli? Eeeh MUNGU saidi JF washinde ile kesi