Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Nikiwa miongoni mwa waombaji tuliopata neem ya kuhudhuria kongamano la 18 la maombi ya kutafita makao makuu ya serikali Dodoma. Miongoni mwa masomo ambayo tulipata kujifunza ni juu ya umuhimu wa...
2 Reactions
2 Replies
76 Views
Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari, kufuatia vuguvugu la kupinga wageni linaloendelea...
0 Reactions
1 Replies
50 Views
Yaani unavyopakaziwa wakati wanakudondosha utafikiri haujawahi kufanya lolote chochote. Pole sana ema ze boy.
1 Reactions
0 Replies
42 Views
Minara 758 iliyojengwa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita imeongeza upatikanaji wa mawasiliano kwa wananchi milioni 8.5 katika vijiji 1,400, hatua iliyochangia kuongezeka kwa laini...
0 Reactions
1 Replies
13 Views
Sijaingia kwenye mioyo ya watanzania ila kwa vyovyote 70% kuna jambo wanaomba,wanatamani litokee apa nchini nao wafurahi
1 Reactions
0 Replies
28 Views
Mimi ni Mkazi wa Pugu,Ninapokuwa njiani kuelekea kazini/Mjini nilikuwa nikishuhudia kuvunjwa kwa sehemu ya uzio wa shule na ujenzi wa frame za maduka.... Hiyo shule ni ya elimu ya Msingi Pugu...
5 Reactions
28 Replies
346 Views
Bi. Khadijah binti Nyambasi kutoka mkoa wa Pwani, akielezea namna mchezo wa bao unavyotumika kufanya maridhiano toka enzi za mababu. Katika mazungumzo yake aliyoyafanya kwenye Tamasha la nne la...
0 Reactions
0 Replies
7 Views
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku, ameeleza sababu za yeye kuweka wazi umri wake, akibainisha kuwa kufanya hivyo kunawasaidia watu kumwelewa na...
0 Reactions
3 Replies
100 Views
Nimetest hii AI yangu ya kichovu wamba njooni mtie nyama ๐Ÿ˜ƒ
3 Reactions
2 Replies
49 Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Evaline Wilbard Munisi amesema uzinduzi wa Ughaibuni Loan si uzinduzi wa mkopo pekee, bali ni hatua ya kujenga imani mpya...
0 Reactions
0 Replies
37 Views
Habari za wakati huu wapendwa, mimi naitwa PENDO GERVAS KALILO. Nilizaliwa mwezi Septemba mwaka 1993, Kahama. Kwa sasa ninamtafuta baba yangu mzazi ambaye anaitwa GERVAS KALILO. Sijawahi kumuona...
37 Reactions
112 Replies
2K Views
HABARI JTATU ILIYOPITA NLIISHIKWA NA BUTWAA KIDOGO KUNA MDADA NAMSAIDIA KWENYE UDHAMINI ALIOMBA KIASI CHA MILI 5 MOJA YA HIZI ASASI NKAENDA NAE NIKAMSIMAMIA ILIPOFIKA MALIPO NKAOMBA PAYMENT...
5 Reactions
10 Replies
213 Views
NILITOA UNABII NAPO TOA UNABII NATOA TAARIFA MAPEMA. MUNGU IBARIKI TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 Reactions
19 Replies
520 Views
Kwa hapa tulipofikia, akiamua aongoze mpaka achoke yeye ni kitu ambacho anaweza na chepesi sana kwake, hakuna kitu kitakachomzuia. Kuna jamaa alitoa Uzi asubuhi anasema mtanganyika ni mpumbavu na...
4 Reactions
25 Replies
375 Views
Lissu akigawa chanjo ya pepopunda huko Mahakamani leo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2 Reactions
7 Replies
231 Views
In a major political evolution signaling a sweeping generational shift, Tanzaniaโ€™s ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party has selected Deogratius John Ndejembi as its nominee for the nationโ€™s next...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
guest-1787486720
Habari ndugu zangu, naomba msaada. Niliwasilisha ombi la mafao ya mkupuo (lump sum) NSSF tarehe 31 Julai, na namshukuru Mungu nilifanikiwa kutoa alama za vidole tarehe 10 Agosti katika ofisi ya...
1 Reactions
8 Replies
140 Views
Naomba kufahamishwa na anefahamu taratibu za kupata mafao ya kuachishwa kazi NSSF Nina mwaka mmoja Nimeachishwa kazi, Mwezi wa tano mwaka huu nilifuatilia mafao yangua nssf na baada ya mwezi...
1 Reactions
6 Replies
838 Views
"No Reforms No Election sio uhaini, ni kauli mbiu ya kudai mabadiliko ya sheria na katiba kabla ya kwenda kwenye uchaguzi. Tulizunguka kwenye balozi na asasi za kiraia kuelezea ujumbe wetu kuhusu...
0 Reactions
7 Replies
146 Views
Nadhani hata yeye anajuta maana alishindwa kutumbukiza mpira nyavuni tena golikipa akiwa ameshalala..mashabiki wa timu yake wanateseka hadi leo
7 Reactions
20 Replies
326 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ